< Yeremia 44 >

1 Neno hili lilimjia Yeremia kuhusu Wayahudi wote waishio Misri, huko Migdoli, Tahpanhesi na Memfisi, katika nchi ya Pathrosi kusema:
[the] word which to be to(wards) Jeremiah to(wards) all [the] Jew [the] to dwell in/on/with land: country/planet Egypt [the] to dwell in/on/with Migdol and in/on/with Tahpanhes and in/on/with Memphis and in/on/with land: country/planet Pathros to/for to say
2 “Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Mliona maangamizi makubwa niliyoyaleta juu ya Yerusalemu na juu ya miji yote ya Yuda. Leo imeachwa ukiwa na magofu
thus to say LORD Hosts God Israel you(m. p.) to see: see [obj] all [the] distress: harm which to come (in): bring upon Jerusalem and upon all city Judah and look! they desolation [the] day: today [the] this and nothing in/on/with them to dwell
3 kwa sababu ya uovu waliokuwa wameufanya. Walinikasirisha kwa kufukiza uvumba na kwa kuabudu miungu mingine ambayo kamwe wao, wala ninyi, wala baba zenu hawakuifahamu.
from face: because distress: evil their which to make to/for to provoke me to/for to go: went to/for to offer: offer to/for to serve: minister to/for God another which not to know them they(masc.) you(m. p.) and father your
4 Tena na tena, niliwatuma watumishi wangu manabii ambao walisema, ‘Msifanye jambo hili la kuchukiza ambalo nalichukia!’
and to send: depart to(wards) you [obj] all servant/slave my [the] prophet to rise and to send: depart to/for to say not please to make: do [obj] word: because [the] abomination [the] this which to hate
5 Lakini hawakusikiliza wala hawakujali, hawakugeuka ili kuuacha uovu wao, wala hawakuacha kufukiza uvumba kwa miungu mingine.
and not to hear: hear and not to stretch [obj] ear their to/for to return: repent from distress: evil their to/for lest to offer: offer to/for God another
6 Kwa hiyo hasira yangu kali ilimwagika, ikawaka dhidi ya miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu, na kuifanya ukiwa na magofu kama ilivyo leo.
and to pour rage my and face: anger my and to burn: burn in/on/with city Judah and in/on/with outside Jerusalem and to be to/for desolation to/for devastation like/as day: today [the] this
7 “Basi hili ndilo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Kwa nini kujiletea maafa makubwa kama haya juu yenu kwa kujikatilia mbali kutoka Yuda wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, hata kujiacha bila mabaki?
and now thus to say LORD God Hosts God Israel to/for what? you(m. p.) to make distress: evil great: large to(wards) soul: myself your to/for to cut: eliminate to/for you man and woman infant and to suckle from midst Judah to/for lest to remain to/for you remnant
8 Kwa nini kuichochea hasira yangu kwa kile ambacho mikono yenu imekitengeneza, mkaifukizia uvumba miungu mingine huko Misri, mahali mlipokuja kuishi? Mtajiangamiza wenyewe na kujifanya kitu cha kulaania na shutumu miongoni mwa mataifa yote duniani.
to/for to provoke me in/on/with deed hand your to/for to offer: offer to/for God another in/on/with land: country/planet Egypt which you(m. p.) to come (in): come to/for to sojourn there because to cut: eliminate to/for you and because to be you to/for curse and to/for reproach in/on/with all nation [the] land: country/planet
9 Je, mmesahau uovu uliotendwa na baba zenu, na wafalme na malkia wa Yuda, na uovu uliofanywa na ninyi na wake zenu katika nchi ya Yuda na barabara za Yerusalemu?
to forget [obj] distress: evil father your and [obj] distress: evil king Judah and [obj] distress: evil woman: wife his and [obj] distress: evil your and [obj] distress: evil woman: wife your which to make in/on/with land: country/planet Judah and in/on/with outside Jerusalem
10 Mpaka leo hawajajinyenyekeza au kuonyesha heshima, wala hawajafuata sheria yangu na amri nilizoweka mbele yenu na baba zenu.
not to crush till [the] day: today [the] this and not to fear: revere and not to go: walk in/on/with instruction my and in/on/with statute my which to give: put to/for face: before your and to/for face: before father your
11 “Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Mimi nimekusudia kuleta maafa juu yenu, na kuiangamiza Yuda yote.
to/for so thus to say LORD Hosts God Israel look! I to set: make face my in/on/with you to/for distress: harm and to/for to cut: eliminate [obj] all Judah
12 Nitawaondoa mabaki ya Yuda waliokusudia kwenda Misri kukaa humo. Wote wataangamia huko Misri, wataanguka kwa upanga au kufa kwa njaa. Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana, watakufa kwa upanga au njaa. Watakuwa kitu cha kulaania na cha kutisha, cha laumu na shutumu.
and to take: take [obj] remnant Judah which to set: make face their to/for to come (in): come land: country/planet Egypt to/for to sojourn there and to finish all in/on/with land: country/planet Egypt to fall: kill in/on/with sword in/on/with famine to finish from small and till great: large in/on/with sword and in/on/with famine to die and to be to/for oath to/for horror: appalled and to/for curse and to/for reproach
13 Nitawaadhibu wale waishio Misri kwa upanga, njaa na tauni kama nilivyoiadhibu Yerusalemu.
and to reckon: punish upon [the] to dwell in/on/with land: country/planet Egypt like/as as which to reckon: punish upon Jerusalem in/on/with sword in/on/with famine and in/on/with pestilence
14 Hakuna hata mmoja wa mabaki ya Yuda ambaye amekwenda kuishi Misri atakayeepuka au kunusurika ili kurudi katika nchi ya Yuda, ambayo wanaitamani sana kurudi na kuishi ndani yake, hakuna hata mmoja atakayerudi isipokuwa wakimbizi wachache.”
and not to be survivor and survivor to/for remnant Judah [the] to come (in): come to/for to sojourn there in/on/with land: country/planet Egypt and to/for to return: return land: country/planet Judah which they(masc.) to lift: trust [obj] soul: appetite their to/for to return: return to/for to dwell there for not to return: return that if: except if: except survivor
15 Kisha wanaume wote ambao walijua kwamba wake zao walikuwa wakifukiza uvumba kwa miungu mingine, pamoja na wanawake wote waliokuwako, yaani, kusanyiko kubwa na watu wote walioishi nchi ya Misri na Pathrosi, wakamwambia Yeremia,
and to answer [obj] Jeremiah all [the] human [the] to know for to offer: offer woman: wife their to/for God another and all [the] woman [the] to stand: stand assembly great: large and all [the] people [the] to dwell in/on/with land: country/planet Egypt in/on/with Pathros to/for to say
16 “Hatutausikiliza ujumbe uliotuambia katika jina la Bwana!
[the] word which to speak: speak to(wards) us in/on/with name LORD nothing we to hear: hear to(wards) you
17 Hakika tutafanya kila kitu tulichosema tutakifanya: Tutafukiza uvumba kwa Malkia wa Mbinguni na tutammiminia sadaka zetu za kinywaji kama vile sisi na baba zetu, wafalme wetu na maafisa wetu tulivyofanya katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu. Wakati ule tulikuwa na chakula tele, tulikuwa matajiri wala hatukupata dhara lolote.
for to make: do to make: do [obj] all [the] word: thing which to come out: speak from lip our to/for to offer: offer to/for queen [the] heaven and to pour to/for her drink offering like/as as which to make: do we and father our king our and ruler our in/on/with city Judah and in/on/with outside Jerusalem and to satisfy food and to be pleasant and distress: harm not to see: see
18 Lakini tangu tulipoacha kumfukizia uvumba Malkia wa Mbinguni na kummiminia sadaka za kinywaji, hatupati chochote, na tumekuwa tukiangamizwa kwa upanga na njaa.”
and from the past to cease to/for to offer: offer to/for queen [the] heaven and to pour to/for her drink offering to lack all and in/on/with sword and in/on/with famine to finish
19 Wanawake wakaongeza kusema, “Wakati tulipomfukizia uvumba Malkia wa Mbinguni na kummiminia sadaka zetu za kinywaji, je, waume zetu hawakujua kwamba tulikuwa tukitengeneza maandazi kwa mfano wake, na kummiminia yeye sadaka za kinywaji?”
and for we to offer: offer to/for queen [the] heaven and to/for to pour to/for her drink offering from beside human our to make to/for her bun to/for to shape her and to pour to/for her drink offering
20 Ndipo Yeremia akawaambia watu wote, wanaume na wanawake waliokuwa wakimjibu,
and to say Jeremiah to(wards) all [the] people upon [the] great man and upon [the] woman and upon all [the] people [the] to answer [obj] him word to/for to say
21 “Je, Bwana hakukumbuka na kufikiri juu ya uvumba uliofukizwa katika miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu na ninyi pamoja na baba zenu, wafalme wenu, maafisa wenu na watu wa nchi?
not [obj] [the] incense which to offer: offer in/on/with city Judah and in/on/with outside Jerusalem you(m. p.) and father your king your and ruler your and people [the] land: country/planet [obj] them to remember LORD and to ascend: rise upon heart his
22 Bwana alipokuwa hawezi kuendelea kuvumilia matendo yenu maovu na mambo ya machukizo mliyoyafanya, nchi yenu ilikuwa kitu cha kulaania na kuachwa ukiwa pasipo wakazi, kama ilivyo leo.
and not be able LORD still to/for to lift: bear from face: because evil deed your from face: because [the] abomination which to make and to be land: country/planet your to/for desolation and to/for horror: destroyed and to/for curse from nothing to dwell like/as [the] day: today [the] this
23 Kwa sababu mmefukiza uvumba na kufanya dhambi dhidi ya Bwana, nanyi hamkumtii wala kufuata sheria yake au amri zake au maagizo yake, maafa haya yamekuja juu yenu, kama mnavyoona sasa.”
from face: because which to offer: offer and which to sin to/for LORD and not to hear: obey in/on/with voice LORD and in/on/with instruction his and in/on/with statute his and in/on/with testimony his not to go: walk upon so to encounter: chanced [obj] you [the] distress: harm [the] this like/as day: today [the] this
24 Kisha Yeremia akawaambia watu wote, pamoja na wanawake, “Sikieni neno la Bwana, enyi watu wote wa Yuda mlioko Misri.
and to say Jeremiah to(wards) all [the] people and to(wards) all [the] woman to hear: hear word LORD all Judah which in/on/with land: country/planet Egypt
25 Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Ninyi na wake zenu mmeonyesha kwa matendo yenu kile mlichoahidi mliposema, ‘Hakika tutatimiza nadhiri tulizoziweka za kumfukizia uvumba na kummiminia sadaka za kinywaji Malkia wa Mbinguni.’ “Endeleeni basi, fanyeni yale mliyoahidi! Timizeni nadhiri zenu!
thus to say LORD Hosts God Israel to/for to say you(m. p.) and woman: wife your and to speak: promise in/on/with lip your and in/on/with hand your to fill to/for to say to make: do to make: do [obj] vow our which to vow to/for to offer: offer to/for queen [the] heaven and to/for to pour to/for her drink offering to arise: establish to arise: establish [obj] vow your and to make: do to make: do [obj] vow your
26 Lakini sikieni neno la Bwana, enyi Wayahudi wote mnaoishi Misri: ‘Ninaapa kwa Jina langu lililo kuu,’ asema Bwana, ‘kwamba hakuna hata mmoja atokaye Yuda anayeishi popote Misri ambaye kamwe ataomba tena kwa Jina langu au kuapa, akisema, “Hakika kama Bwana Mwenyezi aishivyo.”
to/for so to hear: hear word LORD all Judah [the] to dwell in/on/with land: country/planet Egypt look! I to swear in/on/with name my [the] great: large to say LORD if: surely no to be still name my to call: call to in/on/with lip all man Judah to say alive Lord YHWH/God in/on/with all land: country/planet Egypt
27 Kwa maana ninawaangalia kwa ajili ya madhara, wala sio kwa mema. Wayahudi walioko Misri wataangamia kwa upanga na njaa, hadi wote watakapoangamizwa.
look! I to watch upon them to/for distress: harm and not to/for welfare and to finish all man Judah which in/on/with land: country/planet Egypt in/on/with sword and in/on/with famine till to end: destroy they
28 Wale watakaonusurika upanga na kurudi katika nchi ya Yuda kutoka Misri watakuwa wachache sana. Ndipo mabaki wote wa Yuda waliokuja kuishi Misri watakapojua ni neno la nani litakalosimama, kwamba ni langu au lao.
and survivor sword to return: return [emph?] from land: country/planet Egypt land: country/planet Judah man number and to know all remnant Judah [the] to come (in): come to/for land: country/planet Egypt to/for to sojourn there word who? to arise: establish from me and from them
29 “‘Hii itakuwa ndiyo ishara kwenu kwamba nitawaadhibu mahali hapa, asema Bwana, ili mpate kujua kuwa onyo langu la madhara dhidi yenu hakika litatimizwa.’
and this to/for you [the] sign: miraculous utterance LORD for to reckon: punish I upon you in/on/with place [the] this because to know for to arise: establish to arise: establish word my upon you to/for distress: harm
30 Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Nitamtia Farao Hofra mfalme wa Misri mikononi mwa adui zake wanaoutafuta uhai wake, kama vile nilivyomtia Sedekia mfalme wa Yuda mikononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, adui aliyekuwa akiutafuta uhai wake.’”
thus to say LORD look! I to give: give [obj] Pharaoh (Hophra) (Pharaoh)-hophra king Egypt in/on/with hand: power enemy his and in/on/with hand: power to seek soul: life his like/as as which to give: give [obj] Zedekiah king Judah in/on/with hand: power Nebuchadnezzar king Babylon enemy his and to seek soul: life his

< Yeremia 44 >