< Hosea 7 >

1 kila mara nilipotaka kumponya Israeli, dhambi za Efraimu zinafichuliwa na maovu ya Samaria yanafunuliwa. Wanafanya udanganyifu, wevi huvunja nyumba, maharamia hunyangʼanya barabarani,
Na da Na fi Isala: ili amo bu uhinisimusa: amola ili bu bagade gaguma: ne hamomusa: dawa: sea, Na da ilia wadela: i hou hamonanebe fawane ba: sa. Ilia enoma enoma wamolasa. Ilia da inia diasu gadelale sa: ili, wamolasa. Ilia logoga eno dunu gagulaligili, liligi wamolasa.
2 lakini hawafahamu kwamba ninakumbuka matendo yao yote mabaya. Dhambi zao zimewameza, ziko mbele zangu siku zote.
Na da ilia wadela: i hou hame gogolemu. Be ilia da amoga hamedafa dawa: Ilia wadela: i hou da ilia hou huluane sisiga: sa. Amola Na da amo wadela: i hou ayale ba: lumu hamedei.”
3 “Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao, wakuu wao kwa uongo wao.
Hina Gode da amane sia: sa, “Dunu da wadela: le ilegele, hina bagade amola ea ouligisu dunu ilima ogogosa.
4 Wote ni wazinzi, wanawaka kama tanuru ambayo moto wake mwokaji hana haja ya kuuchochea kuanzia kukanda unga hadi umekwisha kuumuka.
Ilia huluane da odoga: su dunu. Ilia higa: i hou da laluga gobele nasu ganodini ginabisibi agoane gala. Agi ga: gi hamosu dunu da falaua momagele, agi ga: gi egegema: ne, lalu gegesosa. Amo ogogosu dunu ilia hou da agoaiwane gala.
5 Katika sikukuu ya mfalme wetu wakuu wanawaka kwa mvinyo, naye anawaunga mkono wenye mizaha.
Ilia da hina bagade ea lolo nabe esoga, hina bagade amola ea ouligisu dunu ilima waini hano bagade iabeba: le, hina amola ea ouligisu dunu da feloale amola gagaoui agoane ba: i.
6 Mioyo yao ni kama tanuru, wanamwendea kwa hila. Hasira yao inafoka moshi usiku kucha, wakati wa asubuhi inalipuka kama miali ya moto.
Dafawane! Ilia da wadela: i ilegei hamobeba: le, gobele nasu lalu agoane nesu. Gasi afaega ilia ougi da nenanu, hahabe lalu agoane heloa: gala: i.
7 Wote ni moto kama tanuru; wanawaangamiza watawala wao. Wafalme wake wote wanaanguka, wala hakuna yeyote kati yao aniitaye mimi.
Ilia ougi da gia: i bagadeba: le, ilia da ilia ouligisu dunu fane lelegei. Ilia hina bagade huluane da eno baligia enoenoia fane lelegei dagoi ba: i, be dunu afae da Nama ili fidima: ne hamedafa sia: ne gadosa.”
8 “Efraimu anajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate ambao haukuiva.
Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili dunu da agi ga: gi gogobei agoane gala. Ilia da ili sisiga: le fifi asi gala da ili fidimu dawa: sa.
9 Wageni wananyonya nguvu zake, lakini hafahamu hilo. Nywele zake zina mvi hapa na pale, lakini hana habari.
Be ilia ga fi ili fidimu dawa: beba: le, ilila: gasa da fisi dagoi ba: sa. Be amo ilia hame dawa: Ilia eso da mugamu gadenei, be amo ilia hame dawa:
10 Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yake, lakini pamoja na haya yote harudi kwa Bwana Mungu wake wala kumtafuta.
Isala: ili fi dunu ilia gasa fi hou da fedege agoane ilima diwaneya udidisa. Se nabasu hou bagade da ilima doaga: i dagoi. Be amo mae dawa: le, ilia da Na, ilia Hina Gode, Nama hame sinidigi.
11 “Efraimu ni kama hua, hudanganywa kwa urahisi na hana akili: mara anaita Misri, mara anageukia Ashuru.
Isala: ili da gagaoui musuni defele, udigili dadoula hahagila ahoa. Degabo ilia da Idibidi ilia ili fidima: ne wele adole ba: sa. Amalu, ilia Asilia amoma hehenasa.
12 Wakati watakapokwenda, nitatupa wavu wangu juu yao; nitawavuta chini waanguke kama ndege wa angani. Nitakaposikia wakikusanyika pamoja, nitawanasa.
Be ilia da sio agoane baligili ahoasea, Na da ili gagulaligima: ne, efega ididiginisimu. Ilia wadela: i hou bagade hamobeba: le, Na da ilima se imunu.
13 Ole wao, kwa sababu wamepotoka kutoka kwangu! Maangamizi ni yao kwa sababu wameniasi! Ninatamani kuwakomboa, lakini wanasema uongo dhidi yangu.
Ilia da wadela: lesi dagoi ba: mu! Ilia da Na yolesiagai amola Nama lelei dagoi. Ilia da wadela: lesi dagoi ba: mu! Na da ili gaga: musa: dawa: i, be ilia da Nama ogogole fawane nodone sia: ne gadosu.
14 Hawanililii mimi kutoka mioyoni mwao, bali wanaomboleza vitandani mwao. Hukusanyika pamoja kwa ajili ya nafaka na divai mpya, lakini hugeukia mbali nami.
Ilia da Nama moloiwane hame sia: ne gadoi. Be ilia da udigili hame lalegagui dunu agoane, ili gobele gisalu gagala: sa amola a: iya gusa: sa. Ilia da gagoma amola waini hano adole ba: ma: ne sia: ne gadosea, ilia da hame lalegagui dunu agoane ilia da: i fofa: ginisisa. Dafawane! Ilia da lelesu dunudafa!
15 Niliwafundisha na kuwatia nguvu, lakini wanapanga mabaya dhidi yangu.
Na da ili fofoi amola ilima gasa i. Be ilia da Na wadela: ma: ne ilegesu.
16 Hawamgeukii Yeye Aliye Juu Sana, wako kama upinde wenye kasoro. Viongozi wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya maneno yao ya jeuri. Kwa ajili ya hili watadhihakiwa katika nchi ya Misri.
Ilia da Na yolesili, gasa hame ogogosu ‘gode’ ilima fa: no bobogelalu. Ilia da guga: loi oulali defele, molole hamomu hamedei. Ilia ouligisu dunu da gasa fili sia: beba: le, ilia da ludulala se nabawene bogomu. Amasea Idibidi dunu da oumu.

< Hosea 7 >