< Joeli 1 >

1 Neno la Bwana ambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli.
Goe sia: dedei amo da Hina Gode Ea Youelema olelei amo dedei. Youele da Bidiuele ea mano.
2 Sikilizeni hili, enyi wazee; sikilizeni, ninyi nyote mnaoishi katika nchi. Je, jambo kama hili lilishawahi kutokea katika siku zenu au katika siku za babu zenu?
Dilia noga: le dawa: ma! Fada: i dunu dilia dunu huluane Yuda soge ganodini esalebe dilia nabima. Dilia da goe hou doaga: be da ba: ila: ? Dili goi hadi agoai esaloba amola dilia ada ilia da goe hou hamobe ba: bela: ?
3 Waelezeni watoto wenu, na watoto wenu wawaambie watoto wao, na watoto wao kwa kizazi kitakachofuata.
Dilia manoma amo sia: olelema. Amola ilia da ilia manoma olelemu, amalu ilia da ilia mano fisa mabe ilima olelemu.
4 Kilichosazwa na kundi la tunutu nzige wakubwa wamekula, kilichosazwa na nzige wakubwa parare wamekula, kilichosazwa na parare madumadu wamekula.
Danuba: gilisi agoane misini, ha: i manu sagai amo ea lubi na dagoi amola goe danuba: ilia fisili ahoasea, bu danuba: eno maha amola, ilia da ha: i manu sagai lubi amo na ebelesa.
5 Amkeni, enyi walevi, mlie! Pigeni yowe enyi wanywaji wote wa mvinyo, pigeni yowe kwa sababu ya mvinyo mpya, kwa kuwa mmenyangʼanywa kutoka midomoni mwenu.
Gola midi dilia wa: legadole didigia: ma, Waini hano nawane feloai dunu dilia amola dima. Waini efe fage amo da gaheabolo waini hano hamoma: ne ilegei Da gugunufinisi dagoi.
6 Taifa limevamia nchi yangu, lenye nguvu tena lisilo na idadi; lina meno ya simba, magego ya simba jike.
Danuba: ilia da gegesu dunu wa: i bagade agoai, ilia da ninia soge amoma gegemusa: ahoa. Ilia da gasa bagade amola ili idimu da hamedeidafa. Ilia bese da laione wa: me ea bese sosoa: i amola mei agoai diala.
7 Limeharibu mizabibu yangu na kuangamiza mitini yangu. Limebambua magome yake na kuyatupilia mbali, likayaacha matawi yake yakiwa meupe.
Ilia da ninia waini fage legesu efe amo wadela: lesi amola figi dulu amo na ebelei. Ilia da ifa gadofo sosoga: i dagoi amola amoda da soa: ya: i agoane afadenei.
8 Omboleza kama bikira aliyevaa nguo ya gunia anayehuzunika kwa ajili ya mume wa ujana wake.
Dunu fi dilia huluane didigia: ma, dilia musa: uda a: fini laloba didigia: su amo dunu bogoloba didigia: su agoane.
9 Sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji zimekatiliwa mbali kutoka nyumba ya Bwana. Makuhani wanaomboleza, wale wanaohudumu mbele za Bwana.
Debolo diasu ganodini ilia gagoma amola waini da Hina Godema imunu da hamedafa. Gobele Salasu dunu ilia da bagade da: i dioi. Abuliba: le? Bai gobele salasu liligi Hina Godema imunu da hame gala.
10 Mashamba yameharibiwa, ardhi imekauka; nafaka imeharibiwa, mvinyo mpya umekauka, mafuta yamekoma.
Ifabi ganodini da ha: i manu afaedafa da hame ba: sa. Amola osobo da wadela: lesi dagoi amola waini efe da huluane biogia: i ba: i, amola olife ifa huluane da biole wadela: lesi dagoi.
11 Kateni tamaa, enyi wakulima, lieni, enyi mlimao mizabibu; huzunikeni kwa ajili ya ngano na shayiri, kwa sababu mavuno ya shambani yameharibiwa.
Ifabi ouligisu dunu! Dilia waini sagai ganodini hawa: hamosu dunu! Dilia figi sagai ganodini hawa: hamosu dunu huluane! Dilia huluane bagade asigili didigia: ma. Bai widi amola bali amola ha: i manu bugi huluanedafa da wadela: lesi dagoi.
12 Mzabibu umekauka na mtini umenyauka; mkomamanga, mtende na mtofaa, miti yote shambani, imekauka. Hakika furaha yote ya mwanadamu imeondoka.
Ha: i manu ida: iwane legesu ifa, figi amola waini efe huluane da biogia: i, amaiba: le dunu fi ilia da da: i dioi bagade ba: sa.
13 Vaeni nguo ya gunia, enyi makuhani, muomboleze; pigeni yowe, enyi mnaohudumu madhabahuni. Njooni, vaeni nguo ya gunia usiku kucha, enyi mnaohudumu mbele za Mungu wangu; kwa kuwa sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji zimezuiliwa kufika katika nyumba ya Mungu wenu.
Gobele Salasu dunu dilia da oloda amoga hawa: hamonana! Dilia abula gisa: le amola wadela: i eboboi abula salawane dini ima. Gasi ganodini dilia Debolo diasu ganodini didigia: sa esala hadigima. Bai gala: ine amola waini hano Godema ima: ne da hame gala.
14 Tangazeni saumu takatifu; liiteni kusanyiko takatifu. Iteni wazee na wote waishio katika nchi waende katika nyumba ya Bwana Mungu wenu, wakamlilie Bwana.
Dilia dunu fi ilima ha: i hame nasu hou hamoma: ne sia: ma amola dunu huluanema gilisimusa: sia: ma. Ouligisu dunu huluane amola Yuda fi dunu ilia huluane Debolo diasu ganodini gagadoma. Amasea, Hina Godema wele sia: ma!
15 Ole kwa siku hiyo! Kwa kuwa siku ya Bwana iko karibu; itakuja kama uharibifu kutoka kwa Mwenyezi.
Hina Gode Ea Eso da gadeneidafa. Amo esoga Hina Gode Gasa Bagadedafa, se bagade gaguli misunu, amola beda: i bagadewane ba: mu.
16 Je, chakula hakikukatiliwa mbali mbele ya macho yetu: furaha na shangwe kutoka nyumba ya Mungu wetu?
Ninia ba: loba da ha: i manu huluane da wadela: lesi dagoi ba: mu, amola Godema hahawane gilisisu hou Debolo ganodini da hamedafa gala.
17 Mbegu zinakauka chini ya mabonge ya udongo. Ghala zimeachwa katika uharibifu, ghala za nafaka zimebomolewa, kwa maana hakuna nafaka.
Fage amo osobo hafoga: i ganodini amo da dasagia: i. Amola fage da afae agoane hamedafa amola hawa: legesu diasu ganodini da hamedafa gala. Gala: ine ha: i manu legesu diasu da hagia: i diala amola huluane dasagia: i dagoi.
18 Jinsi gani ngʼombe wanavyolia! Makundi ya mifugo yanahangaika kwa sababu hawana malisho; hata makundi ya kondoo yanateseka.
Bulamagau ea ha: i nasu gisi da hamedafa amola ili da ha: giwane ga: ea gusa: sa. Amola sibi ilia da ha: i manu hameba: le, ilia da: i da geloga: gia: iba: le se naba.
19 Kwako, Ee Bwana, naita, kwa kuwa moto umeteketeza malisho ya mbugani na miali ya moto imeunguza miti yote shambani.
Hina Gode, na Dima dini iawane, Dima sia: ne gadosa! Bai ha: i manu da huluane biogia: i dagoi. Amola ifa amola gisi amola ha: i manu huluane da laluga nei agoai ba: sa.
20 Hata wanyama wa porini wanakuonea shauku; vijito vya maji vimekauka, na moto umeteketeza malisho yote ya mbugani.
Amolawane, ohe fi ilia da ha: ga Dima dini iaha. Bai hano huluane da hale dagoi.

< Joeli 1 >