< Wahebrania 4 >

1 Kwa hiyo, kwa kuwa bado ahadi ya kuingia rahani iko wazi, tujihadhari ili hata mmoja wenu asije akaikosa.
Lino Lesa walatulayeti tukatambule kupumwina nkwalikwamba, twela kuba bantu bacetuka kwambeti kapatakaba muntu naba umo eshakalilwe kutambula kupumwina uko nkwalalaya.
2 Kwa maana sisi pia tumesikia Injili iliyohubiriwa kwetu, kama nao walivyosikia; lakini ujumbe ule waliousikia haukuwa na maana kwao, kwa sababu wale waliousikia hawakuuchanganya na imani.
Pakwinga nenjafwe tulanyumfu Mulumbe Waina mbuli naboyo ncebalonyumfwa. Mulumbe ngobalanyumfwa paliya ncewalensa, pakwinga balanyumfowa baliya kutambula mu lushomo sobwe.
3 Sasa sisi ambao tumeamini tunaingia katika ile raha, kama vile Mungu alivyosema, “Kwa hiyo nikaapa katika hasira yangu, ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’” Lakini kazi yake ilikamilika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
Neco afwe otwashoma Lesa tulakutambulunga kupumwina nkwalatulaya. Cili mbuli mwine ncalambeti, “Ee, ndalakalala ne kulumbileti, ‘Nteti bakengile mucishi ncendalikuyanda kubapeti bakapumwinemo.’” Lesa walambeco nambi calikubeti ncito yakendi ya kulenga cishi yalikuba yapwa.
4 Kwa maana mahali fulani amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: “Katika siku ya saba Mungu alipumzika kutoka kazi zake zote.”
Pakwinga mu Mabala napamo palembweti, “Lesa mpwalapwisha ncito yakendi yonse walapumwina pa busuba bwa busanu ne bubili.”
5 Tena hapo juu asema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”
Kayi pa makani opelawa Lesa walambeti, “Nteti bakengilepo mu musena wakendi wa kupumwinamo.”
6 Kwa hiyo inabaki kuwa wazi kwa wengine kuingia, nao wale wa kwanza waliopokea Injili walishindwa kuingia kwa sababu ya kutokutii.
Lesa walabambeti nabambi nibakengile mu mumusena wa kupumwininamo. Nomba abo balatanguna kunyumfwa Mulumbe Waina baliya kwingilamo cebo ca kukana kushoma ncalamba Lesa.
7 Kwa hiyo Mungu ameweka siku nyingine, akaiita Leo, akisema kwa kinywa cha Daudi baadaye sana, kwa maneno yaliyotangulia kunenwa: “Leo, kama mkiisikia sauti yake, msiifanye mioyo yenu migumu.”
Ecebo Lesa ncalabambila bushiku nabumbi ubo mbwalakungeti “Lelo”. Ebushiku mbwalikwamba Lesa kupitila muli Dafeti, mpopalapita byaka bingi mpwalamba mu Mabala awa ngotulambapo kendi alambangeti, “Na lelo munyumfwe liswi lya Lesa, kamutayumisha myoyo”
8 Kwa maana kama Yoshua alikuwa amewapa raha, Mungu hangesema tena baadaye kuhusu siku nyingine.
Na Yoswa nalacikonsha kwingisha bantu mu kupumwina nkwalalaya Lesa, nshinga Lesa nalabula kwambapo sha busuba nabumbi.
9 Kwa hiyo basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu;
Pacebo ico, bushiku bwa kupumwina kwa bantu ba Lesa mpobucili, mbuli Lesa ncalapumwina pa busuba bwa busanu ne bubili.
10 kwa kuwa kila mmoja aingiaye katika raha ya Mungu pia hupumzika kutoka kazi zake mwenyewe, kama vile Mungu alivyopumzika kutoka kazi zake.
Pakwinga muntu lengili mukupumwina kwa Lesa ekwambeti lapumwini ku ncito shakendi mbuli Lesa ncalapumwina mpwalapwisha ncito shakendi.
11 Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha hiyo, ili kwamba asiwepo yeyote atakayeanguka kwa kufuata mfano wao wa kutokutii.
Neco katwelekeshani cangofu kukutambula kupumwina uko, kutineti kapataba muntu naba umo eshakalilwe kukutambula cebo ca kukana kushoma.
12 Kwa maana Neno la Mungu li hai tena lina nguvu. Lina makali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili, hivyo linachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, viungo na mafuta yaliyo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.
Pakwinga Maswi a Lesa nayumi kayi akute ngofu. Alumata kupita cibeshi calumata konse konse. Akute kutimbula pakati ne kushika pekala buyumi ne mushimu, kayi ne pekala mafupa ne mikolofupa. Kayi Maswi a Lesa akute kuyubulula bintu mbyebakute kuyeya ne mbyebasuni bantu.
13 Wala hakuna kiumbe chochote kilichofichika machoni pa Mungu. Kila kitu kimefunuliwa na kiko wazi machoni pake yeye ambaye kwake ni lazima tutatoa hesabu.
Paliya cintu ncela kwalilwa Lesa kucibona, ukute kubibona bilengwa byonse mbuli ncebibele pakwinga byonse bili pantangalala, ni kulyendiye nkotwela kucanika ne mulandu wa bintu mbyotwali kwinsa.
14 Kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu kuliko wote ambaye ameingia mbinguni, Yesu Mwana wa Mungu, basi na tushikamane sana kwa uthabiti na ule ukiri wa imani yetu.
Neco katupitilishani kwitatisha mwangofu lushomo lwetu, pakwinga tukute Shimulumbo Mukulene wapita bonse, uyo walakengila kwilu kuli Lesa. Uyu ni Yesu Mwanendi Lesa.
15 Kwa kuwa hatuna Kuhani Mkuu asiyeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu wetu, lakini tunaye mmoja ambaye alijaribiwa kwa kila namna, kama vile sisi tujaribiwavyo: lakini yeye hakutenda dhambi.
Shimulumbo Mukulene ngotukute nteyo wela kubula kutunyumfwila nkumbo otwalefuka sobwe. Shimulumbo wetu walasunkwa munshila shonse mbuli ncetulasunkwanga, nsombi nendi paliya bwipishi mbwalensa.
16 Basi na tukikaribie kiti cha rehema kwa ujasiri, ili tupewe rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.
Neco katubani bashinisha kayi katuseng'enani pepi ku cipuna ca Bwami bwa Lesa uko kuli kwina moyo, nkweshakatunyumfwile nkumbo ne kutubonesha kwina moyo pa cindi ncetulayandanga lunyamfo.

< Wahebrania 4 >