< Filemoni 1 >

1 Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, pamoja na Timotheo ndugu yetu: Kwa Filemoni rafiki yetu mpendwa na mtendakazi mwenzetu,
Njame paulo, uli mujele pacebo cakusebensela Yesu Klistu. Ndi pamo ne mukwetu Timoti, tulalembelenga njobe Filimoni omukwetu wasunika, kayi musebenshi munetu,
2 kwa dada yetu mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:
ne Apiya mukwetu mutukashi, Akipasi mushilikali munetu munkondo ya Mushimu kayi ne mubungano uyo uli mung'anda yakobe.
3 Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
Luse ne lumuno lube nenjamwe kufuma kuli Lesa Bata betu ne Mwami Yesu Klistu.
4 Siku zote ninamshukuru Mungu ninapokukumbuka katika maombi yangu,
Ndalumbunga Lesa wakame cindi conse ndakuyeyanga mipailo.
5 kwa sababu ninasikia juu ya imani yako katika Bwana Yesu na upendo wako kwa watakatifu wote.
Pakwinga ndanyumfunga sha lusuno ne lushomo lwakobe kuli bashoma bonse, kayi ne lushomo muli Yesu Klistu.
6 Naomba utiwe nguvu katika kuishuhudia imani yako, ili upate kuwa na ufahamu mkamilifu juu ya kila kitu chema tulicho nacho ndani ya Kristo.
Ndapailinga kwambeti lwikatano ndokute pamo nenjafwe mulushomo, ulusebenseshe cangofu kwambeti ubeshibishe byonse mbyotwalatambula pacebo ca Yesu Klistu.
7 Upendo wako umenifurahisha mno na kunitia moyo, kwa sababu wewe ndugu, umeiburudisha mioyo ya watakatifu.
Mukwabo, lusuno ndokute lulankondweleshe kayi ulanjuminishi pakwinga ulakondweleshe moyo wakame ne bashoma nabambi bonse.
8 Hata hivyo, ingawa katika Kristo ningeweza kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo kutenda,
Pacebo ico ame ndelela kukwambila muli Klistu ncowelela kwinsa.
9 lakini ninakuomba kwa upendo, mimi Paulo, mzee na pia sasa nikiwa mfungwa wa Kristo Yesu,
Nsombi pacebo ca lusuno ame ndakusengenga ndemucekulu, kayi lino ndili mujele pacebo ca kusebensela Klistu.
10 nakuomba kwa ajili ya mwanangu Onesimo, aliyefanyika mwanangu nilipokuwa kwenye minyororo.
Neco ndasengelenga Onesimo kuli njamwe pakwinga ni mwaname muli Klistu, pakwinga mpondalikuba mujele ndalaba baishi kubintu bya kumushimu.
11 Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.
Kaindi nkalikukute ncito kulinjobe, nsombi lino ngauba ne ncito kuli njobe ne njame.
12 Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu hasa.
Ndamubweshenga kulinjobe, pakwinseci ndabeti ndakutumini moyo wakame wonse.
13 Ningependa nikae naye ili ashike nafasi yako ya kunisaidia wakati huu nikiwa kifungoni kwa ajili ya Injili.
Ngankondwa kuba nendi kuno, mpondicili mujele pacebo ca kukambauka Mulumbe Waina, kwambeti anyamfwenga pabusena bwakobe.
14 Lakini sikutaka kufanya lolote bila idhini yako, ili wema wowote uufanyao usiwe wa lazima, bali wa hiari.
Necikabeco nkandayandanga kwinsa cintu ciliconse kantana ndikwipusha, kutineti ngaucinsa mwakukukakatisha, nsombi usuminishe mwakusunguluka.
15 Huenda sababu ya yeye kutengwa nawe kwa kitambo kidogo ni ili uwe naye daima. (aiōnios g166)
Mpani Onesimo walakushiyowa kwakacindi kang'ana kwambeti akese akekale nenjobe kwacindi conse. (aiōnios g166)
16 Si kama mtumwa, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu mpendwa. Yeye ni mpendwa sana kwangu na hata kwako zaidi, yeye kama mwanadamu na kama ndugu katika Bwana.
Lino nte musha nsombi wapita musha, nimukwenu muli Klistu. Ame ndimusuni neco, nenjobe welela kumusuna, pakwinga nimusha kayi ni mukwenu muli Mwami Yesu Klistu.
17 Hivyo kama unanihesabu mimi kuwa mshirika wako, mkaribishe kama vile ungenikaribisha mimi mwenyewe.
Na njame munobe, mutambule mbuli ncowela kuntambula.
18 Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.
Na walakwinshila caipa nambi kukweleta cintu ciliconse, upe njame mulandu.
19 Ni mimi Paulo, ninayeandika waraka huu kwa mkono wangu mwenyewe. Nitakulipa. Sitaji kwamba nakudai hata nafsi yako.
Lino ndakulembelenga kalata ne makasa akame, “Ame nde Paulo ninkalipile.” Pakwambeco, nkandelela kukwanusha kwambeti nkongole njonkutile nibuyumi bwakobe.
20 Ndugu yangu, natamani nipate faida kwako katika Bwana, uuburudishe moyo wangu katika Kristo.
Lino omwanse wame nenjame unyamfweko pacebo ca Mwami. Unkondwelesheko mbuli mukwenu muli Klistu.
21 Nikiwa na hakika ya utii wako, nakuandikia, nikijua kwamba utafanya hata zaidi ya yale ninayokuomba.
Ndakulembelenga ibi bintu, pakwinga ndashoma kwambeti nubinse mbyondakusenge. Kayi ndicinsheti nucikonshe kwinsa kupita pa bintu ibi.
22 Jambo moja zaidi: Niandalie chumba cha wageni, kwa kuwa nataraji kurudishwa kwenu kama jibu la maombi yenu.
Ndasengenga kayi, eti ukamambileko cipinda pakona, pakwinga ndashoma kwambeti Lesa nakakumbule mipailo yenu nekumbwesha kulinjamwe.
23 Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu, anakusalimu.
Epafulasi uyo ngondi nendi mujele cebo ca Yesu, lamupanga mitende.
24 Vivyo hivyo Marko, Aristarko, Dema na Luka, watendakazi wenzangu wanakusalimu.
Maliko, Alisitako ne Dema kayi ne Luka basebenshi baname naboyo balamupanga mitende.
25 Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.
Luse lwa Mwami Yesu Klistu lube nenjamwe mwense.

< Filemoni 1 >