< Kutoka 5 >

1 Baadaye Mose na Aroni wakaenda kwa Farao, wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Waruhusu watu wangu waende, ili waweze kunifanyia sikukuu huko jangwani.’”
and after to come (in): come Moses and Aaron and to say to(wards) Pharaoh thus to say LORD God Israel to send: let go [obj] people my and to celebrate to/for me in/on/with wilderness
2 Farao akasema, “Huyo Bwana ni nani, hata nimtii na kuruhusu Israeli uende? Simjui huyo Bwana wala sitawaruhusu Israeli waende.”
and to say Pharaoh who? LORD which to hear: obey in/on/with voice his to/for to send: let go [obj] Israel not to know [obj] LORD and also [obj] Israel not to send: let go
3 Ndipo Mose na Aroni wakasema, “Mungu wa Waebrania amekutana nasi. Sasa turuhusu tuwe na safari ya siku tatu ya jangwani ili tukamtolee Bwana Mungu wetu dhabihu, la sivyo aweza kutupiga sisi kwa tauni au kwa upanga.”
and to say God [the] Hebrew to encounter: meet upon us to go: went please way: journey three day in/on/with wilderness and to sacrifice to/for LORD God our lest to fall on us in/on/with pestilence or in/on/with sword
4 Lakini mfalme wa Misri akasema, “Mbona ninyi Mose na Aroni mnawachukua watu waache kazi zao? Rudini kwenye kazi zenu!”
and to say to(wards) them king Egypt to/for what? Moses and Aaron to neglect [obj] [the] people from deed: work his to go: went to/for burden your
5 Kisha Farao akasema, “Tazama, sasa watu hawa ni wengi, nanyi mnawazuia kufanya kazi.”
and to say Pharaoh look! many now people [the] land: country/planet and to cease [obj] them from burden their
6 Siku iyo hiyo Farao akatoa amri hii kwa viongozi wa watumwa na wasimamizi wa watu akawaambia:
and to command Pharaoh in/on/with day [the] he/she/it [obj] [the] to oppress in/on/with people and [obj] official his to/for to say
7 “Tangu sasa msiwape hawa watu nyasi za kutengenezea matofali. Wao wakusanye nyasi zao wenyewe.
not to add: again [emph?] to/for to give: give straw to/for people to/for to make bricks [the] brick like/as yesterday three days ago they(masc.) to go: went and to gather to/for them straw
8 Lakini watakeni kutengeneza matofali kiasi kile kile cha mwanzo, kiwango kisipunguzwe. Wao ni wavivu, ndiyo sababu wanalia, wakisema, ‘Turuhusiwe twende kumtolea Mungu wetu dhabihu.’
and [obj] tally [the] brick which they(masc.) to make yesterday three days ago to set: put upon them not to dimish from him for to slacken they(masc.) upon so they(masc.) to cry to/for to say to go: went to sacrifice to/for God our
9 Fanyeni kazi kuwa ngumu zaidi kwa watu hao ili kwamba wakazane na kazi na kuacha kusikiliza uongo.”
to honor: heavy [the] service: work upon [the] human and to make: do in/on/with her and not to gaze in/on/with word deception
10 Basi viongozi wa watumwa na wasimamizi wakaenda kuwaambia watu, “Hivi ndivyo Farao asemavyo: ‘Sitawapa tena nyasi.
and to come out: come to oppress [the] people and official his and to say to(wards) [the] people to/for to say thus to say Pharaoh nothing I to give: give to/for you straw
11 Nendeni mkatafute nyasi wenyewe popote mnapoweza kuzipata, lakini kazi yenu haitapunguzwa hata kidogo.’”
you(m. p.) to go: went to take: take to/for you straw from whence to find for nothing to dimish from service: work your word: thing
12 Basi watu wakatawanyika kote nchini Misri kukusanya mabua ya kutumia badala ya nyasi.
and to scatter [the] people in/on/with all land: country/planet Egypt to/for to gather stubble to/for straw
13 Viongozi wa watumwa wakasisitiza, wakisema, “Timizeni kazi mnayotakiwa kwa kila siku, kama wakati ule mlipokuwa mkipewa nyasi.”
and [the] to oppress to hasten to/for to say to end: finish deed: work your word: thing day: daily in/on/with day his like/as as which in/on/with to be [the] straw
14 Wasimamizi wa Kiisraeli waliochaguliwa na viongozi wa watumwa wa Farao walipigwa na kuulizwa, “Kwa nini hamkutimiza kiwango chenu cha kutengeneza matofali jana na leo, kama mwanzoni?”
and to smite official son: descendant/people Israel which to set: appoint upon them to oppress Pharaoh to/for to say why? not to end: finish statute: decree your to/for to make bricks like/as yesterday three days ago also yesterday also [the] day
15 Ndipo wasimamizi wa Kiisraeli wakaenda kumlilia Farao, wakisema: “Mbona umewatendea watumishi wako hivi?
and to come (in): come official son: descendant/people Israel and to cry to(wards) Pharaoh to/for to say to/for what? to make: do thus to/for servant/slave your
16 Watumishi wako hawapewi nyasi, hata hivyo tumeambiwa, ‘Tengenezeni matofali!’ Watumishi wako wanapigwa, lakini kosa ni la watu wako wenyewe.”
straw nothing to give: give to/for servant/slave your and brick to say to/for us to make and behold servant/slave your to smite and to sin people your
17 Farao akasema, “Ninyi ni wavivu ndiyo sababu mnasema, ‘Turuhusu twende tukamtolee Bwana dhabihu.’
and to say to slacken you(m. p.) to slacken upon so you(m. p.) to say to go: went to sacrifice to/for LORD
18 Sasa nendeni kazini. Hamtapewa nyasi zozote, nanyi ni lazima mtengeneze matofali.”
and now to go: went to serve and straw not to give: give to/for you and quantity brick to give: give
19 Wasimamizi wa Kiisraeli walitambua kuwa wako taabani walipoambiwa, “Hamtakiwi kupunguza idadi ya matofali mliotakiwa kutengeneza kila siku.”
and to see: see official son: descendant/people Israel [obj] them in/on/with bad: evil to/for to say not to dimish from brick your word: thing day: daily in/on/with day his
20 Walipoondoka kwa Farao, wakawakuta Mose na Aroni wakingojea kukutana nao,
and to fall on [obj] Moses and [obj] Aaron to stand to/for to encounter: meet them in/on/with to come out: come they from with Pharaoh
21 wakawaambia Mose na Aroni, “Bwana na awaangalie awahukumu ninyi! Mmetufanya tunuke kwa Farao na maafisa wake, nanyi mmeweka upanga mikononi mwao ili kutuua sisi.”
and to say to(wards) them to see: see LORD upon you and to judge which to stink [obj] aroma our in/on/with eye: seeing Pharaoh and in/on/with eye: appearance servant/slave his to/for to give: put sword in/on/with hand their to/for to kill us
22 Mose akarudi kwa Bwana na kumwambia, “Ee Bwana, mbona umewaletea watu hawa taabu? Kwa nini basi ukanituma mimi?
and to return: return Moses to(wards) LORD and to say Lord to/for what? be evil to/for people [the] this to/for what? this to send: depart me
23 Tangu nilipomwendea Farao kuzungumza naye kwa jina lako, amewaletea taabu watu hawa, nawe kamwe hujawakomboa watu wako.”
and from the past to come (in): come to(wards) Pharaoh to/for to speak: speak in/on/with name your be evil to/for people [the] this and to rescue not to rescue [obj] people your

< Kutoka 5 >