< Kutoka 11 >
1 Basi Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya hivyo, atawafukuza mtoke kabisa.
Kalpasanna, kinuna ni Yahweh kenni Moises, “Adda pay ti maysa a didigra nga iyegko kenni Faraon ken iti Egipto. Kalpasan dayta, palubosannakayonto a pumanaw manipud ditoy. Inton palubosannakayo, papanawennakayonton a naan-anay.
2 Waambie watu wote waume kwa wake wawaombe majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.”
Bilinem dagiti tattao a dumawat ti tunggal lalaki ken babai iti alahas a pirak ken balitok iti kaarrubada.
3 (Bwana akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)
Ita, inaramid ti Dios a nagagar dagiti Egipcio a mangay-ayo kadagiti Israelita. Maysa pay, nakaay-ayo unay ti lalaki a ni Moises iti imatang dagiti adipen ni Faraon ken kadagiti tattao iti Egipto.
4 Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri.
Kinuna ni Moises, “Kinuna ni Yahweh daytoy: “Inton tengnga ti rabii, mapanakto iti entero nga Egipto.
5 Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.
Matayto amin nga inauna nga annak iti daga ti Egipto, manipud iti inauna nga anak ni Faraon, nga agtugtugaw iti tronona, agingga iti inauna nga anak ti tagabu a babai nga adda iti likudan ti paggilingan nga aggilgiling, ken dagiti amin nga inauna nga annak dagiti taraken nga ayup.
6 Patakuwepo kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe hakitakuwepo tena.
Ket addanto ti napigsa a panagdung-aw iti entero a daga ti Egipto, a saan pay a napamasak wenno saanto a pulos a mapasamak manen.
7 Lakini miongoni mwa Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea mwanadamu wala mnyama yeyote.’ Ndipo mtakapojua kuwa Bwana huweka tofauti kati ya Misri na Israeli.
Ngem awanto ti uray aso nga agtaul iti aniaman kadagiti tattao ti Israel, iti tao man wenno narungsot nga ayup. Iti daytoy a wagas, maammoanyonto nga agduma ti panangtratok kadakayo nga Egipcio ken kadakayo nga Israelita.'
8 Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.” Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.
Amin dagitoy nga adipenmo, Faraon, umaydanto ket agrukbabda kaniak. Ibagadanto, “Inkayo, sika ken amin a tattao a sumursurot kenka!” Kalpasan dayta pumanawakto.” Ket pinanawanna ni Faraon a kasta unay ti pungtotna.
9 Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.”
Kinuna ni Yahweh kenni Moises, “Saanto a dumngeg kenka ni Faraon. Mapasamak daytoy tapno agaramidakto kadagiti adu a nakakaskasdaaw a banbanag iti daga ti Egipto.”
10 Mose na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele ya Farao, lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke katika nchi yake.
Inaramid amin da Moises ken Aaron dagitoy a nakakaskasdaaw a banbanag iti sangoanan ni Faraon. Ngem pinatangken ni Yahweh ti puso ni Faraon, ket saan a pinalubosan ni Faraon a rummuar iti dagana dagiti tattao ti Israel.