< Kutoka 10 >

1 Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao, kwa kuwa nimeufanya moyo wake kuwa mgumu na mioyo ya maafisa wake ili kwamba nipate kutenda ishara hizi zangu za ajabu miongoni mwao
Kinuna ni Yahweh kenni Moises, “Mapanka kenni Faraon, gapu ta pinatangkenko ti pusona ken dagiti puso dagiti adipenna. Inaramidko daytoy tapno ipakitak dagitoy a pagilasinan ti pannakabalinko kadakuada.
2 ili upate kuwaeleza watoto wako na wajukuu wako jinsi nilivyowatendea Wamisri kwa ukali na jinsi nilivyofanya ishara zangu miongoni mwao, nanyi mpate kujua kuwa Mimi ndimi Bwana.”
Inaramidko pay daytoy tapno maibagam kadagiti annak ken appokom dagiti banbanag nga inaramidko, no kasano kagubsang ti panangtratok iti Egipto, ken no kasano ti panangitedko kadagiti nadumaduma a pagilasinan ti pannakabalinko kadakuada. Iti daytoy a wagas, maammoanyonto a Siak ni Yahweh.”
3 Kwa hiyo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao na kumwambia, “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Waebrania, asemalo: ‘Utaendelea hata lini kukataa kunyenyekea mbele yangu? Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu.
Isu a napan da Moises ken Aaron kenni Faraon ket kinunada kenkuana, “Ni Yahweh, ti Dios dagiti Hebreo, imbagana daytoy: 'Kasano pay kabayag iti panagkedkedmo nga agpakumbaba iti sangoanak? Palubosam a mapan dagiti tattaok tapno makapagdayawda kaniak.
4 Kama ukikataa kuwaachia waende, kesho nitaleta nzige katika nchi yako.
Ngem no agkedkedka a mangpalubos kadagiti tattaok, dumngegka, inton bigat, mangiyegakto kadagiti dudon iti dagam.
5 Nao watafunika uso wa ardhi hata usionekane. Watatafuna mabaki machache yaliyobakizwa baada ya ile mvua ya mawe, yaani pamoja na kila mti unaoota katika mashamba yenu.
Abbongandanto ti rabaw ti daga tapno awanto ti siasinoman a makakita iti daga. Kanendanto dagiti aniaman a nabati a nakalasat manipud ti uraro. Kanendanto pay iti tunggal kayo a dimmakkel para kadakayo kadagiti talon.
6 Nzige hao watajaza nyumba zako, za maafisa wako wote na za Wamisri wote. Jambo ambalo baba zenu wala babu zenu hawajapata kuona tangu siku ile walipoanza kuishi katika nchi hii mpaka leo hii.’” Ndipo Mose akageuka na kumwacha Farao.
Punoendanto dagiti balayyo, dagiti balay dagiti amin nga adipenyo, ken dagiti amin nga Egipcio—maysa a banag a saan pay a pulos a nakita ti amayo wenno apongyo, nga awan pay a pulos ti nakakita sipud pay ti aldaw nga addada iti rabaw ti daga agingga iti agdama nga aldaw.” Ket pinanawan ni Moises ni Faraon.
7 Maafisa wa Farao wakamwambia, “Mpaka lini huyu mtu atakuwa tanzi kwetu? Waachie hao watu waende zao, ili wapate kumwabudu Bwana Mungu wao. Je, bado hutambui kuwa Misri imeangamia?”
Kinuna ti adipen ni Faraon kenkuana, “Kasano pay kabayag nga agbalin a peggad daytoy a tao kadatayo? Palubosam dagiti Israelita a mapan tapno makapagdayawda kenni Yahweh a Diosda. Saanmo pay kadi a maamiris a nadadaelen ti Egipto?”
8 Ndipo Mose na Aroni wakaletwa kwa Farao. Farao akawaambia, “Nendeni, mkamwabudu Bwana Mungu wenu. Lakini ni nani hasa watakaokwenda?”
Naayaban manen da Moises ken Aaron kenni Faraon, a nagkuna kadakuada,” Inkayo dayawen ni Yahweh a Diosyo. Ngem siasinonto dagiti tattao a mapan?”
9 Mose akajibu, “Tutakwenda na vijana wetu na wazee, pamoja na wana wetu na binti zetu, pia pamoja na kondoo zetu, ngʼombe, mbuzi, farasi na punda kwa sababu tutaadhimisha sikukuu kwa Bwana.”
Kinuna ni Moises, “Mapankaminto a kaduami dagiti ubbingmi ken agraman dagiti nataenganmi, dagiti annakmi a lallaki ken babbai. Mapankaminto agraman dagiti arbanmi, ken dagiti tarakenmi ta masapul a mangaramidkami iti fiesta para kenni Yahweh.”
10 Farao akasema, “Bwana awe pamoja nanyi, kama nikiwaruhusu mwondoke pamoja na wanawake wenu na watoto wenu! Ni wazi kwamba mna makusudi mabaya.
Kinuna ni Faraon kadakuada, “Pudno koma nga adda ni Yahweh kadakayo, no palubosankayo ken dagiti annakyo. Kitaenyo, adda sumagmamano a kinadakes iti panunotyo.
11 La hasha! Wanaume peke yao na waende, wakamwabudu Bwana, kwa kuwa hilo ndilo mmekuwa mkiomba.” Kwa hiyo Mose na Aroni wakaondolewa mbele ya Farao.
Saan! Dakayo laeng a lallaki ti mapan, ken agdayaw kenni Yahweh, ta dayta ti kayatyo.” Ket napapanaw da Moises ken Aaron iti imatang ni Faraon.
12 Basi Bwana akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako juu ya Misri ili kundi la nzige liweze kuingia juu ya nchi na kutafuna kila kitu kiotacho katika mashamba na kila kitu kilichosazwa na ile mvua ya mawe.”
Kalpasanna, kinuna ni Yahweh kenni Moises, “Iyunnatmo ta imam nga agturong ti daga iti Egipto kadagiti dudon, tapno mapanda iti daga ti Egipto ket kanenda ti tunggal mula iti daytoy, amin a banag nga imbati ti uraro.”
13 Kwa hiyo Mose akanyoosha fimbo yake juu ya Misri, Bwana akauleta upepo wa mashariki ukavuma katika nchi yote mchana wote na usiku kucha, kufikia asubuhi upepo ukawa umeleta nzige.
Inyunnat ni Moises ti sarukodna nga agturong iti daga ti Egipto, ket nangiyeg ni Yahweh iti angin ti daya nga agturong iti entero a daga iti agmalem ken agpatnag. Kabigatanna, inyeg ti angin ti daya dagiti dudon.
14 Wakaivamia Misri yote na kukaa kila eneo la nchi kwa wingi. Kamwe hapajapata kuwepo pigo la nzige kama hilo, wala halitakuwepo tena.
Napan dagiti dudon iti entero a daga ti Egipto ket dinadaelda amin a paset daytoy. Adu unay a dudon a saan pay a pulos a dimteng iti daga ken saanton a pulos a makita manen.
15 Wakafunika ardhi yote mpaka ardhi ikawa nyeusi. Wakatafuna kile chote kilichokuwa kimebakizwa na ile mvua ya mawe, kila kitu kiotacho mashambani pamoja na matunda kwenye miti. Hakuna kitu chochote cha kijani kilichosalia katika miti au mmea katika nchi yote ya Misri.
Inabbonganda ti rabaw iti entero a daga isu a simmipnget. Kinnanda ti tunggal mula iti daga ken amin a bunga dagiti kayo nga imbati ti uraro. Iti entero a daga iti Egipto, awan ti nabati a nalangto a mula, wenno aniaman a kayo wenno mula kadagiti talon.
16 Farao akawaita Mose na Aroni kwa haraka na kuwaambia, “Nimetenda dhambi dhidi ya Bwana Mungu wenu na dhidi yenu pia.
Kalpasanna, dagus a pinaayaban ni Faraon da Moises ken ni Aaron ket kinunana, “Nagbasolak kenni Yahweh a Diosyo ken kadakayo.
17 Sasa unisamehe dhambi yangu mara moja tena na umwombe Bwana Mungu wako aondoe pigo hili baya kwangu.”
Ita ngarud, pakawanenyo ti basolko iti daytoy a tiempo, ken agkararagkayo kenni Yahweh a Diosyo tapno iyadayona daytoy nga ipapatay kaniak.”
18 Kisha Mose akaondoka kwa Farao akamwomba Bwana.
Pinanawan ngarud ni Moises ni Faraon ken nagkararag kenni Yahweh.
19 Naye Bwana akaugeuza upepo ukavuma kutoka magharibi, wenye nguvu nyingi, ambao uliwaondoa wale nzige na kuwapeleka kwenye Bahari ya Shamu. Hakuna nzige hata mmoja aliyebaki popote katika nchi ya Misri.
Nangiyeg ni Yahweh ti nakapigpigsa nga angin ti laud a nangikkat kadagiti dudon ken inturongna ida iti Baybay dagiti Runo; awan ti uray maysa a dudon ti nabati iti amin a masakupan iti Egipto.
20 Lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke.
Ngem pinatangken ni Yahweh ti puso ni Faraon, ket saan a pinalubosan ni Faraon a mapan dagiti Israelita.
21 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako kuelekea angani ili giza litande katika nchi ya Misri, giza ambalo watu wanaweza kulipapasa na kulihisi.”
Kalpasanna, kinuna ni Yahweh kenni Moises, “Iyunnatmo ta imam nga agturong iti tangatang, tapno maaddaan iti kinasipnget ti entero a daga iti Egipto, kinasipnget a mariknada.”
22 Kwa hiyo Mose akaunyoosha mkono wake kuelekea angani, na giza nene likafunika pote katika nchi ya Misri kwa muda wa siku tatu.
Inyunnat ni Moises ti imana nga agturong iti tangatang, ket nagsipnget ti entero a daga ti Egipto iti tallo nga aldaw.
23 Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumwona mwenzake, wala kuondoka mahali alipokuwa kwa muda wa siku tatu. Lakini Waisraeli wote walikuwa na mwanga katika maeneo yao waliyokuwa wanaishi.
Saanda a makapagkikinnita; awan ti pimmanaw iti balayna iti tallo nga aldaw. Nu pay kasta, adda lawag iti lugar a pagnanaedan dagiti Israelita.
24 Ndipo Farao akamwita Mose na kusema, “Nendeni, mkamwabudu Bwana. Hata wanawake na watoto wenu mwaweza kwenda nao pia, lakini kondoo, mbuzi na ngʼombe wenu waacheni.”
Pinaayaban ni Faraon ni Moises ket kinunana, “Inkayo dayawen ni Yahweh. Mabalin a kumuyog kadakayo a mapan uray dagiti pamiliayo, ngem masapul a mabati dagiti arban ken tarakenyo.”
25 Lakini Mose akasema, “Huna budi kuturuhusu tuwe na dhabihu na sadaka za kuteketezwa za kutoa mbele za Bwana Mungu wetu.
Ngem kinuna ni Moises, “Masapul nga ikkanakami met kadagiti ayup para kadagiti daton ken daton a mapuoran tapno makaidatonkami kenni Yahweh a Diosmi.
26 Sisi ni lazima tuondoke na mifugo yetu pia, wala hakuna ukwato utakaoachwa nyuma. Inatupasa kutumia baadhi ya hiyo mifugo katika kumwabudu Bwana Mungu wetu, kwa kuwa mpaka tutakapofika huko hatutakuwa tumefahamu ni nini tutakachotumia katika kumwabudu Bwana.”
Masapul nga ikuyogmi met dagiti tarakenmi nga ay-ayup; awan ti uray maysa a mabati kadakuada, ta masapul nga alaenmi dagitoy nga agdayaw kenni Yahweh a Diosmi. Ta saanmi pay nga ammo ti masapul a pangdayawmi kenni Yahweh agingga a makasangpetkami sadiay.”
27 Lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, hakuwa radhi kuwaachia waondoke.
Ngem pinatangken ni Yahweh ti puso ni Faraon, ken saanna ida a palubosan a mapan.
28 Farao akamwambia Mose, “Ondoka mbele yangu! Hakikisha kuwa hutakuja mbele yangu tena! Siku ile utakapouona uso wangu utakufa.”
Kinuna ni Faraon kenni Moises, “Adaywannak! Agannadka maipanggep iti maysa a banag, a saanka nga agpakita manen kaniak, ta ti aldaw a makitam ti rupak, mataykanto.”
29 Mose akamjibu, “Iwe kama ulivyosema! Kamwe sitauona uso wako tena.”
Kinuna ni Moises, “Sika a mismo ti nagsao. Saankonto a makita manen ti rupam.”

< Kutoka 10 >