< Waefeso 6 >
1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, kwa kuwa hili ni jema.
Bhana mbhatila bhazazi bhayomo kup'etela Bwana, kwa ndabha eye ndo haki.
2 “Waheshimu baba yako na mama yako,” hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi,
“Mheshimuayi Dadi waku ni nyongo waku” (Mana eye ndo amuli ya kuanza yaiyele ni ahadi),
3 “upate baraka na uishi siku nyingi duniani.”
“ili iyela heli kwa yhomo na mubhwesyai kuishi maisha matali panani pan'dema.
4 Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, bali waleeni kwa nidhamu na mafundisho ya Bwana.
“Ni muenga bha dadi, msibhadadi si bhanabhinu ni kubhasababishila ligoga, badala yaki, mbhalelai ki maonyo Ni maadili gha Bwana.
5 Ninyi watumwa, watiini hao walio mabwana zenu hapa duniani kwa heshima na kwa kutetemeka na kwa moyo mmoja, kama vile mnavyomtii Kristo.
Emu bhatumwa, muyela bhatii kwa mabwana bhayomo bha apa paduniani kwa heshima ibhaa ni kutetemekwa kwa kutila mu miteema ya yomo. Muyela mbhatiifu kwa bhene katya kamkatii Kristu.
6 Watiini, si tu wakati wakiwaona ili mpate upendeleo wao, bali mtumike kama watumwa wa Kristo, mkifanya mapenzi ya Mungu kwa moyo.
Utii bhinu usiyi tu pala mabwana bhinu pabhakabhalanga ili mbhafulaishai. Badala yaki, muyela bhatiifu Katya bhatumwa bha Kristu. Mketai kimapenzi gha K'yara kuhomela mu miteema ya yhomo,
7 Tumikeni kwa moyo wote, kama vile mnamtumikia Bwana na si wanadamu.
mbhatumikilai kwa miteema ya yhomo iyoa, kwa ndabha mkamtumikila Bwana wala si bhanadamu,
8 Mkijua kwamba Bwana atampa kila mtu thawabu kwa lolote jema alilotenda, kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.
Yilondeka kumanya ya kuwa kup'etela kila litendo lyema munu ya akaliketa, alapokela, zawadi kuhomela kwa K'yara, ikayela n'tumwa au munu huru.
9 Nanyi mabwana, watendeeni watumwa wenu kwa jinsi iyo hiyo. Msiwatishe, kwa kuwa mnajua ya kwamba yeye aliye Bwana wenu na Bwana wao yuko mbinguni, naye hana upendeleo.
Ni muenga mabwana mketai eke mebhwa kwa bhatumwa bhinu. Msibhatishili ni kumanya ya kuwa muene yaayele Bwana bhatabhoa ndo yhola yaayele kumbinguni. Mkamanyai ni kujo uyehee upendeleo mugati mwa muene.
10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.
Kabhele, muyela ni nghofo kup'etela Bwana ni kup'etela ubhueso wa nghofo syamuene.
11 Vaeni silaha zote za Mungu ili kwamba mweze kuzipinga hila za ibilisi.
Mfwalai silaha syoa sya K'yara, ndabha mubhwesyai kuyema kinyume ni hila sa lisyetani.
12 Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. (aiōn )
Kwa ndabha Vita yatete si kwa muasi ni nyama, ni kwa falume ni mamlaka gha roho ni bhatawala bhaulimwengu muovu wa mukitita, zidi ya mapepo mu sehemu sya kumbinguni. (aiōn )
13 Kwa hiyo vaeni silaha zote za Mungu ili mweze kushindana siku ya uovu itakapokuja nanyi mkiisha kufanya yote, simameni imara.
Kwa ele mfwalai silaha soa sa K'yara, ili mbhwesyai kuyema ngangali zidi ya uovu kup'etela magono agha ghauovu. Badala ya kumala kila khenu, mlayema ngangali.
14 Kwa hiyo simameni imara mkiwa mmejifunga kweli kiunoni na kuvaa dirii ya haki kifuani,
Kabhele mmyemai ngangali. Niketai naa baada ya kuwa mkongili mkanda wa ukueli ni haki mkifua.
15 nayo miguu yenu ifungiwe utayari tuupatao kwa Injili ya amani.
Mketai naa khoni mfwalili utayali mmagolo ghinu kwa kuitangasya injili ya amani,
16 Zaidi ya haya yote, twaeni ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu.
yaibhwanili kubhabwesesha kuisima migoa ya yhola mwovu.
17 Vaeni chapeo ya wokovu na mchukue upanga wa Roho, ambao ni Neno la Mungu.
Mfwalai kofia ya bhuokovu ni upanga wa Roho, laliyele lilobhi la K'yara.
18 Mkiomba kwa Roho siku zote katika sala zote na maombi, mkikesha kila wakati mkiwaombea watakatifu wote.
Pamonga ni maombi ni dua. Ms'omayi kwa Roho mda bhuoa. Ni kubhonekana na kwa naa muyela bhayangalifu magono ghoa kwa uvumilivu bhuoa ni maombi kwajia ya bhiamini bhoa.
19 Niombeeni na mimi pia, ili kila nifunguapo kinywa changu, nipewe maneno ya kusema, niweze kutangaza siri ya Injili kwa ujasiri,
Ms'omayi kwa jia ya nene, ili nipelibhuayi ujumbe panifungulai ndomo wa yhoni. Ms'omayi ya kuwa nibhuesya kuyelebheasya ki ukifu wa ukueli wa ujifighili kuhusu injili.
20 ambayo mimi ni balozi wake katika vifungo. Ombeni ili nipate kuhubiri kwa ujasiri kama inipasavyo.
Ndabha ya Injili nene nabalozi yanikongibhu minyololo, yakuwa mugati mwa bhene nijobha ki ukifu kanilondeka kujobha.
21 Tikiko, aliye ndugu mpendwa na mtumishi mwaminifu katika Bwana, atawaambia kila kitu, ili pia mpate kujua hali yangu na kile ninachofanya sasa.
Ni muenga kabhele mmanyai mambo ghanene na jinsi kaniyendela, Tikiko ndongho bhangu kipenzi na n'tumishi wa kuaminika kup'etela Bwana, ala bhajulisha kila khenu.
22 Ninamtuma kwenu kwa ajili ya kusudi hili hasa, ili mpate kujua hali yetu, na awatie moyo.
Nin'tumili kwa yhomo kusudi ya maaulumu eye, ya kuwa mmanyai mambo gha ghihusu tete, abhwesyai kabhafaliji mumiteema yhinu.
23 Amani iwe kwa ndugu, na pendo pamoja na imani kutoka kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo.
Amani naiyela kwa bhalongo, ni upendo pamonga ni amani yayihomela kwa K'yara Dadi ni Bwana Yesu Kristu.
24 Neema iwe na wote wampendao Bwana wetu Yesu Kristo kwa upendo wa dhati. Amen.
Neema naiyela pamonga ni bhoa yabhamganili Bwana Yesu Kristu kwa lipendo lela lalibelili kufwa.