< Waefeso 4 >

1 Basi, mimi niliye mfungwa wa Bwana, nawasihi mwenende kama inavyostahili wito wenu mlioitiwa.
Kwa ele, Katya mfungwa kwajia ya Bwana, nikabhasii mgendai sawasawa ni bhuito bhwa K'yara waabhakutili.
2 Kwa unyenyekevu wote na upole, mkiwa wavumilivu, mkichukuliana kwa upendo.
Muishiayi kiunyenyekevu ubhaa ni upole ni uvumilivu, mkajitolenayi kup'etela upendo.
3 Jitahidini kudumisha umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
Mketai kibidii kutunza umonga wa Roho kup'etela kifungu Kya imani.
4 Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja.
Uye mbhele bhumo ni Roho yimo, Katya kujo kabhele mwakutibhu mu uhakika wa taraja yimo ya bhuito bhwinu.
5 Tena kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
Na ayele Bwana mmonga, imani yimo, ubatisu bhumo,
6 Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.
ni K'yara yumo ndo Dadi watabhoa. Muene ayele panani pabhoa, ni kup'etela ghoa Ni mugati mwa ghoa.
7 Lakini kila mmoja wetu amepewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa cha Kristo.
wa kila mmonga bhitu apelibhu kipawa kulengana ni kipawa kya Kristu.
8 Kwa hiyo husema: “Alipopaa juu zaidi, aliteka mateka, akawapa wanadamu vipawa.”
Ndo kujo mayandiku kaghijobha:”Paapumbulukai panana sana, alonguisi mateka mu utumwa. Apisili nghofo kwa bhanu.”
9 (Asemapo “alipaa juu,” maana yake nini isipokuwa ni kusema pia kwamba Kristo alishuka pande za chini sana za dunia?
Ndo kiki maana ya, “Apumbuluiki,” yaibelili kuya kuwa aselili kabhele upande wa pasi wa dunia?
10 Yeye aliyeshuka ndiye alipaa juu zaidi kupita mbingu zote, ili apate kuujaza ulimwengu wote.)
Muene yaaselili ndo munu yhola yola kabhele ndo Apumbuluiki panani pambingu syoa. Aketili naaili ili ya kuwa ubhuepo wa muene uyele mu fhenu fhoa.
11 Ndiye aliweka wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na walimu,
Kristu apisili vipawa kama e'fe: mitume, manabii, bhainjilisti, bhachungaji, ni bhalimu.
12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa
Aketili naa ili kubhabhwezesya bhaumini kwajia ya mbhombho Ni huduma, kwajia ya kubhomba mbhele was Kristu.
13 mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Kristo.
Iketa naa hadi henu tetetayele tabhoa tuufikilai ummonga wa imani ya maarifa ya bhuana wa K'yara. Iketa naa hadi tubhwesyai kusindamala katya bhala yabha fikili kimo kyene kya Kristu.
14 Ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila za watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu.
Eye ndo kuwa tusiye kabhele kujo bhana, tusilushibhurushibhu okhobahi Ni okho. Yandabha tusitolibhu ni aina ya mphongo wa fundisho, kwa hila sabhanu ni ujanja wa kujikofya wa wipotosya.
15 Badala yake, tukiambiana kweli kwa upendo, katika mambo yote tukue, hata tumfikie yeye aliye kichwa, yaani, Kristo.
Badala yaki tulalongela ukueli kup'etela upendo ni kukola zaidi kup'etela njela syoa mugati muake ambaye ndo mutu, Kristu.
16 Kutoka kwake, mwili wote ukiwa umeungamanishwa na kushikamanishwa pamoja kwa msaada wa kila kiungo, hukua na kujijenga wenyewe katika upendo, wakati kila kiungo kinafanya kazi yake.
Kristu aunganishi, kwa pamonga, mbhele bhuoa wa bhaumini uunganisibhu pamonga ni kila kiungo ili ya kuwa mbhele bhuoa ukolai ni kujijenga muene kup'etela upendo.
17 Hivyo nawaambia hivi, nami nasisitiza katika Bwana kwamba, msiishi tena kama watu wa Mataifa waishivyo, katika ubatili wa mawazo yao.
Kwa ele, nijobha ele na ni kabhasihi kup'etela Bwana: Msigendi kabhele kujo bhanu bhamataifa kabhigenda kup'etela ubatili wa akili sya bhene.
18 Watu hao akili zao zimetiwa giza na wametengwa mbali na uzima wa Mungu kwa sababu ya ujinga wao kutokana na ugumu wa mioyo yao.
Bhasopibhu kitita kup'etela mabhuaso gha bhene. Bhabhengibhu kuhomela mu usima wa K'yara kwa ujinga wa uyele mugati mwa bhene ndabha ya unono wa miteema ya bhene.
19 Wakiisha kufa ganzi, wamejitia katika mambo ya ufisadi na kupendelea kila aina ya uchafu, wakiendelea kutamani zaidi.
Bhakajipeleka hee soni. Bhajikabisi bhene kiufisadi kup'etela matendo manofu hee, kup'etela kila aina ya uchoyo.
20 Lakini ninyi, hivyo sivyo mlivyojifunza Kristo.
Ila na heekamjifunzili kuhusu Kristu.
21 Kama hivyo ndivyo ilivyo, ninyi mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile kweli ilivyo katika Yesu.
N'lizani ya kuwa mpeliki kuhusu muene.
22 Mlifundishwa kuuvua mwenendo wenu wa zamani, utu wenu wa kale, ulioharibiwa na tamaa zake za udanganyifu,
Lazima mmbhosyai mambo ghoa ghaghiyendana ni mienendo yhinu ya muandi, utukufu na muandi. Ndo utu wa muandi ndo ubholili ndhabha ya tamaa sya kujikofana.
23 ili mfanywe upya roho na nia zenu,
ulai utu bhuinu was muandi ya kuwa mfanywai kabhele kiroho sa akili sinu.
24 mkajivike utu mpya, ulioumbwa sawasawa na mfano wa Mungu katika haki yote na utakatifu.
Mketai na ili mubhwesyai kufuala utu kabhele, wawiendana ni K'yara. ubhombibhu kihaki ni kiutakatifu wa ukueli.
25 Kwa hiyo kila mmoja wenu avue uongo na kuambiana kweli mtu na jirani yake, kwa maana sisi sote tu viungo vya mwili mmoja.
Kwa ele, bheka patali udesi. Mlongelai ukueli, kila mmonga ni jilani wa muene, kwa ndabha to bhashilika kwa kila mmonga ni kwa bhayinu.
26 Mkikasirika, msitende dhambi, wala jua lisichwe mkiwa bado mmekasirika,
Muyelai ni ligoga, ila msibhombi thambi.
27 wala msimpe ibilisi nafasi.
Msimpemi ibilisi nafasi.
28 Yeye ambaye amekuwa akiiba, asiibe tena, lakini lazima ajishughulishe, afanye kitu kifaacho kwa mikono yake mwenyewe, ili awe na kitu cha kuwagawia wahitaji.
Yuoa yola yaiheja asiheji kabhele. Badala yaki abhomba mbhombho abhombai mbhombho yaiyele ni manufaa kwa kibhoko Kya muene, ili ndabha abhwesyai kunihudumila munu ya ayele ni lihitaji.
29 Maneno mabaya yasitoke vinywani mwenu, bali yale yafaayo kwa ajili ya kuwajenga wengine kulingana na mahitaji yao, ili yawafae wale wasikiao.
Kauli ibaya isihomeli mu sinywa fhinu. Badala yaki malobhi ghaghipita mufinywa fhinu ghaghifaa ki mahitaji kubhapeta faida bhala yabhipelekesya.
30 Wala msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye kwake mlitiwa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.
Na msihuzunishi Roho n'takatifu wa K'yara. Kwa muene ndabha mmbhekibhu mhuri kwajia ya magono gha ukombosi.
31 Ondoeni kabisa uchungu, ghadhabu, hasira, makelele na masingizio pamoja na kila aina ya uovu.
Lasima mubhekai patali ligoga lyoa, ghazabu ligoga, ngondo, ni malighu, pamonga ni kila aina ya uovu. Iyela wema kwa yhomo ni yhomo.
32 Kuweni wafadhili na wenye kuhurumiana ninyi kwa ninyi, mkisameheana, kama vile naye Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.
Muyela ni huruma. Mjisameheayi yhomo kwa yhomo, Katya K'yara kup'etela Kristu kaabhasamehili muenga.

< Waefeso 4 >