< Torati 15 >

1 Kila mwisho wa miaka saba ni lazima mfute madeni.
from end seven year to make: offer remission
2 Hivi ndivyo itakavyofanyika: Kila mkopeshaji atafuta mkopo aliomkopesha Mwisraeli mwenzake. Hatamtaka Mwisraeli mwenzake au ndugu yake amlipe hilo deni, kwa sababu wakati wa Bwana wa kufuta madeni umetangazwa.
and this Chronicles [the] remission to release all master: [master of] loan hand his which to lend in/on/with neighbor his not to oppress [obj] neighbor his and [obj] brother: compatriot his for to call: call out remission to/for LORD
3 Unaweza kudai malipo kwa mgeni, lakini lazima ufute kila deni ambalo unamdai ndugu yako.
[obj] [the] foreign to oppress and which to be to/for you with brother: compatriot your to release hand your
4 Hata hivyo, hapatakuwepo maskini miongoni mwenu, kwa kuwa katika nchi Bwana Mungu wenu anayowapa kuimiliki kama urithi wenu, atawabariki sana,
end for not to be in/on/with you needy for to bless to bless you LORD in/on/with land: country/planet which LORD God your to give: give to/for you inheritance to/for to possess: possess her
5 ikiwa tutamtii Bwana Mungu wenu kikamilifu na kuwa waangalifu kuyafuata maagizo haya yote ninayowapa leo.
except if to hear: obey to hear: obey in/on/with voice LORD God your to/for to keep: careful to/for to make: do [obj] all [the] commandment [the] this which I to command you [the] day
6 Kwa kuwa Bwana Mungu wenu atawabariki kama alivyoahidi, nanyi mtawakopesha mataifa mengi lakini hamtakopa kwa yeyote. Mtatawala mataifa mengi lakini hakuna taifa litakalowatawala ninyi.
for LORD God your to bless you like/as as which to speak: promise to/for you and to lend nation many and you(m. s.) not to lend and to rule in/on/with nation many and in/on/with you not to rule
7 Ikiwa kuna mtu maskini miongoni mwa ndugu zenu, katika mji wowote wa hiyo nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa, msiwe na moyo mgumu wala usimfumbie mkono ndugu yako aliye maskini.
for to be in/on/with you needy from one brother: compatriot your in/on/with one gate: town your in/on/with land: country/planet your which LORD God your to give: give to/for you not to strengthen [obj] heart your and not to gather [obj] hand your from brother: compatriot your [the] needy
8 Afadhali fungua mikono yako na umkopeshe kwa hiari chochote anachohitaji.
for to open to open [obj] hand your to/for him and to lend to lend him sufficiency need his which to lack to/for him
9 Jihadhari usijiwekee wazo hili ovu: “Mwaka wa saba, mwaka wa kufuta madeni umekaribia,” usije ukaonyesha nia mbaya kwa ndugu yako mhitaji na ukaacha kumpa chochote. Anaweza kumlalamikia Bwana dhidi yako nawe utakuwa umepatikana na hatia ya dhambi.
to keep: careful to/for you lest to be word with heart your Belial: worthless to/for to say to present: come year [the] seven year [the] remission and be evil eye your in/on/with brother: compatriot your [the] needy and not to give: give to/for him and to call: call to upon you to(wards) LORD and to be in/on/with you sin
10 Mpe kwa ukarimu na ufanye hivyo bila kinyongo moyoni, ndipo kwa sababu ya hili Bwana Mungu wenu atakubariki katika kazi zako zote na kwa kila kitu utakachokiwekea mkono wako.
to give: give to give: give to/for him and not be evil heart your in/on/with to give: give you to/for him for in/on/with because of [the] word: because [the] this to bless you LORD God your in/on/with all deed: work your and in/on/with all sending hand: undertake your
11 Siku zote watakuwepo watu maskini katika nchi. Kwa hiyo ninawaamuru mwe na mikono iliyokunjuliwa kuwaelekea ndugu zenu, kuwaelekea maskini na wahitaji katika nchi yenu.
for not to cease needy from entrails: among [the] land: country/planet upon so I to command you to/for to say to open to open [obj] hand your to/for brother: compatriot your to/for afflicted your and to/for needy your in/on/with land: country/planet your
12 Kama Mwebrania mwenzako, mwanaume au mwanamke, akijiuza kwako na kukutumikia miaka sita, katika mwaka wa saba ni lazima umwache aende zake akiwa huru.
for to sell to/for you brother: compatriot your [the] Hebrew or [the] Hebrew and to serve you six year and in/on/with year [the] seventh to send: let go him free from from with you
13 Nawe wakati utakapomwachia usimwache aende mikono mitupu.
and for to send: let go him free from from with you not to send: let go him emptily
14 Mpe kwa uhuru kutoka zizi lako la kondoo na mbuzi, kutoka sakafu yako ya kupuria nafaka na kutoka mashinikizo yako ya kukamulia divai. Mpe kama vile ambavyo Bwana Mungu wako alivyokubariki.
to ornament to ornament to/for him from flock your and from threshing floor your and from wine your which to bless you LORD God your to give: give to/for him
15 Kumbukeni kuwa ninyi mlikuwa watumwa huko Misri naye Bwana Mungu wenu aliwakomboa. Ndiyo sababu nimewapa agizo hili leo.
and to remember for servant/slave to be in/on/with land: country/planet Egypt and to ransom you LORD God your upon so I to command you [obj] [the] word: thing [the] this [the] day
16 Lakini mtumishi wako akikuambia, “Sitaki kukuacha,” kwa sababu anakupenda wewe na jamaa yako naye anaridhika nawe,
and to be for to say to(wards) you not to come out: come from from with you for to love: lover you and [obj] house: household your for be pleasing to/for him with you
17 ndipo utachukua chuma kidogo utoboe sikio lake mpaka hicho chuma kiingie kwenye ubao wa mlango, naye atakuwa mtumishi wako wa maisha. Ufanye vivyo hivyo kwa mtumishi wa kike.
and to take: take [obj] [the] awl and to give: put in/on/with ear his and in/on/with door and to be to/for you servant/slave forever: enduring and also to/for maidservant your to make: do so
18 Usifikiri kuwa kuna ugumu kumwacha mtumishi wako huru, kwa sababu utumishi wake kwako kwa miaka hii sita umekuwa wa thamani mara mbili ya ujira wa mtumishi wa kuajiriwa. Naye Bwana Mungu wenu atakubarikia kwa kila kitu utakachofanya.
not to harden in/on/with eye: appearance your in/on/with to send: let go you [obj] him free from from with you for second wages hired to serve you six year and to bless you LORD God your in/on/with all which to make: do
19 Wekeni wakfu kwa Bwana Mungu wenu kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa makundi yenu ya ngʼombe na ya mbuzi na kondoo. Maksai walio wazaliwa wa kwanza msiwafanyize kazi, wala msinyoe manyoya ya wazaliwa wa kwanza wa kondoo.
all [the] firstborn which to beget in/on/with cattle your and in/on/with flock your [the] male to consecrate: dedicate to/for LORD God your not to serve: labour in/on/with firstborn cattle your and not to shear firstborn flock your
20 Kila mwaka ninyi na jamaa zenu mtapaswa kuwala mbele za Bwana Mungu wenu pale mahali atakapopachagua.
to/for face: before LORD God your to eat him year in/on/with year in/on/with place which to choose LORD you(m. s.) and house: household your
21 Kama mnyama ana dosari, akiwa ni kilema au kipofu au kama ana kilema kibaya, kamwe usimtoe dhabihu kwa Bwana Mungu wenu.
and for to be in/on/with him blemish lame or blind all blemish bad: harmful not to sacrifice him to/for LORD God your
22 Itawapasa kumla ninyi wenyewe katika miji yenu. Wote wasio safi na walio safi kwa desturi za kiibada mwaweza kula kama vile mnavyokula paa au kulungu.
in/on/with gate: town your to eat him [the] unclean and [the] pure together like/as gazelle and like/as deer
23 Lakini kamwe msinywe damu; imwageni ardhini kama maji.
except [obj] blood his not to eat upon [the] land: soil to pour: pour him like/as water

< Torati 15 >