< Wakolosai 3 >

1 Basi, kwa kuwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu, Kristo alikoketi mkono wa kuume wa Mungu.
Khritaw üng nami tho be pängki a ni üng, Pamhnama khet da Khritawa a ngawhnak hnüna ka khankhaw khawhtheme jah ngaih na ua.
2 Yafikirini mambo yaliyo juu, wala si ya duniani.
Khawmdek khawhthem käh ngaih na ua. Khankhaw khawhthem ngaih na ua.
3 Kwa maana ninyi mlikufa, nao uhai wenu sasa umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
Isenitiüng, Khritaw üng nami thi pängkia kyase, nami xünnak cun Khritaw am atänga Pamhnam naw a ning jah cüm pet ni.
4 Wakati Kristo, aliye uzima wenu, atakapotokea, ndipo nanyi mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
Nami xünnak kcang cun Khritawa kya lü, a ngdang law bea kcün üng nangmi pi ani am atänga ngdang law lü, Khritawa hlüngtainak nami yah hnga khaie.
5 Kwa hiyo, ueni kabisa chochote kilicho ndani yenu cha asili ya kidunia: yaani uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na ulafi, ambayo ndiyo ibada ya sanamu.
Acunakyase, am dawkia hnungla, khyanga khyucei ihawmpüi, ngkeeiksea hüipawmnak, akse pawh hlüa mlungkawe, juktuh mkhäh üng tängki kamvanak tia khawmdek mtisa hlükaw naküta khut biki cun jah mkhyüh ua.
6 Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu inakuja.
A mtheh am ngjakiea khana Pamhnama mlungsonak pha law khai.
7 Ninyi pia zamani mlienenda katika mambo haya mlipoishi maisha hayo.
Ahlana acun naw a ning jah uka kcün üng, nangmi pi acune am nami mtisa hlü läklamnak üng nami xüngsei khawikie.
8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi mambo kama haya yote: yaani hasira, ghadhabu, uovu, masingizio na lugha chafu kutoka midomoni mwenu.
Atuh üngkhyüh ta mlunga sonak, thüiseinak, am dawki mtisa hlü, püi hnengnak naküte jah mkhyüh u bä. Khyüko kse sumeinak ja a müithang se khaia pyensak naküte cen nami mpyawng üng käh mhluh law u bä.
9 Msiambiane uongo, kwa maana mmevua kabisa utu wenu wa kale pamoja na matendo yake,
Nami xünsak ngneingnawng kphyüm nami hawih hüt pängkia kyase, nami püi käh mhleimhlak ti ua.
10 nanyi mmevaa utu mpya, unaofanywa upya katika ufahamu sawasawa na mfano wa Muumba wake.
Xünsak kthai cen suiawi ua. Ning jah mhnüncengki Pamhnam naw amät nami ksing law vaia, a lupla üng täng khaia akthai kthaia ning jah pitpyang läki ni.
11 Hapa hakuna Myunani wala Myahudi, aliyetahiriwa wala asiyetahiriwa, asiyestaarabika wala aliyestaarabika, mtumwa wala mtu huru, bali Kristo ni yote, na ndani ya wote.
Acuna xünsak kthai üng Judah khyang ja Krik khyangmjüa keha, vun mawih ja am mawih, pekce khyangmjü, khyang ksee, mpya ja am mpya ti Khritaw üng halangnak am ve ti. Khritaw cun anaküta kya lü, avan üng Khritaw veki.
12 Kwa hiyo, kwa kuwa ninyi mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao sana, jivikeni moyo wa huruma, utu wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
Nangmi cun Pamhnama khyange ni. Ning jah mhläkphya na lü a ka vaia a ning jah xü ni. Acunakyase, khyang mpyenmseinak, bäkamnak, mlung mhnemnak, hniphnawinak ja mlung msaünak üng xüngsei ua.
13 Vumilianeni na kusameheana mtu akiwa na lalamiko lolote dhidi ya mwenzake. Sameheaneni kama vile Bwana alivyowasamehe ninyi.
A püi ngtekkhaihpüiki a ve üng pi, mat ja mat nami püi dunei lü, nami püi mhlätei ua. Bawipa naw nami mkhyenak a ning jah mhläta mäiha nami püi mhlätei u bä.
14 Zaidi ya maadili haya yote jivikeni upendo, ambao ndio unaofunga kila kitu pamoja katika umoja mkamilifu.
Ahin he naw ni mhläkphyanak ami msap ve. Acun he naw ni anaküt cun kümbekia yümatnak üng ami ngcunsak thei ve.
15 Amani ya Kristo na itawale mioyoni mwenu, kwa kuwa ninyi kama viungo vya mwili mmoja mmeitiwa amani. Tena kuweni watu wa shukrani.
Pumsa mat üng atänga Pamhnam naw a ning jah khünaka dimdeihnak, Khritaw naw a ning jah peta acuna dimdeihnak naw nami mkhyahmtangnak naküt üng lam ning jah msüm se. Jekyainak üng kümcei ua.
16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu, mkifundishana na kuonyana katika hekima yote, mkimwimbia Mungu zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, huku mkiwa na shukrani mioyoni mwenu.
Khritawa ngthua kümbenak cun nami mlung kyawnga xüngsei bebang se. Themngvainak üng nami püi mcuhmcäi lü mtheimthang ua. Salan ng’äi ja ngmüimkhya lam ng’äie ja ng’äi ngcimcaihe jah mcuk lü Pamhnam mküimto ua.
17 Lolote mfanyalo, ikiwa ni kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba katika yeye.
Bawi Jesuh üngkhyüh Pa Pamhnama veia jenak nami mtheha mäiha, nami pawh pyen naküt cun Bawipa Jesuha ngming üng pawh pyen u bä.
18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana.
Nghnumie aw, nami ceiea uknak khamei ua. Acun cun khritjan nghnumia xüngsei ning ni.
19 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe na uchungu dhidi yao.
Kpamie aw, nami khyue jah mhläkphya na ua. Käh jah ksekha na ua.
20 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hivi ndivyo inavyompendeza Bwana.
Hnasene aw, nami nupaa mtheh aläa ngjak vai cun khritjana kyaki khyang naküta mta ni. Acun cun naw Pamhnam jekyaisaki ni.
21 Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.
Nupae aw, nami canaa mlung so khaia käh pawh ua. Acukba nami pawh üng ta, ami mlung ktha se khai ni.
22 Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu wa hapa duniani katika mambo yote. Fanyeni hivyo si wakiwepo tu, wala si kwa kutafuta upendeleo wao, bali kwa moyo mnyofu na kumcha Bwana.
Mpyae aw, anaküt üng nami khawmdek mahpaa mtheh ngja ua. A ning jah hmuh däk üng käh nikia, anghläia a mlung hlüa ve ua. Bawipa kyühxünei lü na mlung kcang üng na mahpa pi msümceia.
23 Lolote mfanyalo, fanyeni kwa moyo kama watu wanaomtumikia Bwana, na si wanadamu,
Ai nami bi üngpi, nami mlung kcang üng khüi ua. Khyanga phäh na khüiki am ni, Bawipaa khut na biki ni.
24 kwa kuwa mnajua kwamba mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana ukiwa thawabu yenu. Ni Bwana Yesu Kristo mnayemtumikia.
Bawipa naw a khyangea phäh a tak am ning jah khyeng khai ti ksing ua. Nami Mahpa kcang Khritawa phäh nami khüikiea kyaki.
25 Yeyote atendaye mabaya atalipwa kwa ajili ya mabaya yake, wala hakuna upendeleo.
Akse pawhkia khyang naküt naw ami pawha kba khamei be yah khaie. Isenitiüng, Pamhnam cun naw khyang naküt angteha jah mtaiki.

< Wakolosai 3 >