< Wakolosai 1 >
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu:
Pamhnama hlüeia Khritaw Jesuha ngsä kei Pawluh ja mi na Timoti üngka naw,
2 Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Kristo, waishio Kolosai: Neema na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu ziwe nanyi.
Khritaw üng yümmatnak üng sitihkia ka nglawipüi, Kolawte mlüha veki Pamhnama khyange: mi Pa Pamhnam naw bäkhäknak ja dimdeihnak ning jah pe se.
3 Siku zote tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, tunapowaombea ninyi,
Nami phäh kami ktaiyü üng mi Bawipa Jesuh Khritawa Pa üng aläa jenak kami mthehkie.
4 kwa sababu tumesikia kuhusu imani yenu katika Kristo Yesu, na upendo wenu mlio nao kwa watakatifu wote:
Pamhnama khyange nami jah mhläkphyanak ja Khritaw Jesuh üng nami jumeinak kami ngjaka phäh ni.
5 imani na upendo ule utokao katika tumaini mlilowekewa akiba mbinguni, na ambalo mmesikia habari zake katika neno la kweli, yaani, ile Injili
Ngthu kcang, Thangkdaw nami veia a pha law kcük üng, äpeinak a ning jah peta mawng nami ngja pängki. Nami jumeinak ja mhläkphyanak cun khankhawa ning jah üpawmsak khai tia nami äpeinaka khana veki.
6 iliyowafikia ninyi. Duniani kote Injili hii inazaa matunda na kuenea kama ilivyokuwa kwenu tangu siku ile mlipoisikia na kuielewa neema ya Mungu katika kweli yote.
Thangkdaw naw dawkyanak lawpüi lü, Pamhnama bäkhäknaka mawng nami ngjak kcük ua mhnüp üng cutei lü, acun cun akcang ni tia nami ksing law ua mäiha, khawmdek lum üng ngthang hüki.
7 Mlijifunza habari zake kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu mpendwa, yeye aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili yenu,
Mi nghngün üng Khritawa khut pawhki, mi mpyapüi u, Epapharah üngkhyüh Pamhnama bäkhäknak nami ngtheingthangkie.
8 ambaye pia ametuambia kuhusu upendo wenu katika Roho.
Ngmüimkhya naw a ning jah peta ngmüimkhya mhläkphyanak nami tak pi ani naw jah mthehki.
9 Kwa sababu hii, tangu siku ile tuliposikia habari zenu, hatujakoma kuomba kwa ajili yenu na kumsihi Mungu awajaze ninyi maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote ya kiroho na ufahamu.
Nami thang kami ngjak üngkhyüh cutei lü alä se kami ning jah ktaiyü petkie ni. A Ngmüimkhya Ngcim naw a ning jah peta themngvainak ja pungngyam üngkhyüh a mlung hlü ksingnak thei a ning jah pet vaia Pamhnama veia kami ning jah ktaiyü petkie ni.
10 Nasi tunaomba haya ili mpate kuishi maisha yanayostahili mbele za Bwana, na mpate kumpendeza kwa kila namna: mkizaa matunda kwa kila kazi njema, mkikua katika kumjua Mungu,
Acun käna Bawipaa a hlüeia xüngsei lü ani jesak khaia khut aläa pawh u lü, dawkyakia khut mjüküm bilawh lü Pamhnam ksingnak üng nami dämduh law vai ua ning jah ktaiyü pet ni.
11 mkiwa mmetiwa nguvu kwa uwezo wote kwa kadiri ya nguvu yake yenye utukufu, ili mpate kuwa na wingi wa saburi na uvumilivu. Nanyi kwa furaha
Ania hlüngtaikia johit üngka naw lawkia ngjuktha am kyansai u lü, acunüng ahmäi naküt mlung msaü lü nami dunei khawh khaie.
12 mkimshukuru Baba, ambaye amewastahilisha kushiriki katika urithi wa watakatifu katika ufalme wa nuru.
A khyangea phäh Pamhnama Khawa a jah tak pet nami yah hnga khaia ning jah pyangki Pa Pamhnam cun jekyai na ua.
13 Kwa maana ametuokoa kutoka ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa,
Anghmüpa johit üngka naw jah küikyan lü a mhlänak a Cakpaa khawa jah phasaki.
14 ambaye katika yeye tunao ukombozi, yaani msamaha wa dhambi.
Acuna cakpaa phäh üng mi mkhyekate naküt jah mhlät se lätlangnak mi yahkie.
15 Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
Khritaw cun am hmuh thei Pamhnam hmuhnak theia kyaki ni. Ani cun a ca kcüka thawn lü mhnünceng naküt luma kthaka hlüngtai säihki ni.
16 Kwake yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi viliumbwa: vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, viwe ni viti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala; vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
Pamhnam naw khankhawa veki ja khawmdeka veki naküte, hmuh thei ja am hmuh theie, ngmüimkhya johite, bawie ja khyaihnak khawhe naküt cun Ani üngkhyüh a jah tüipyang ni. Pamhnam naw mce ja khan hin Ani üngkhyüh mhnünceng lü Ania phäh a tüipyang ni.
17 Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
Khritaw cun anaküt am a mhnünceng ham üngkhyüh a na ve päng lü, anaküt cun pi ani am atänga awmki he.
18 Yeye ndiye kichwa cha mwili, yaani kanisa, naye ndiye mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, ili yeye awe mkuu katika vitu vyote.
Ani cun sangcim tia pumsaa lupum ni. Ani cun a pumsaa xünnak ahnuna pi kyaki. Ani cun Ca-kcük säiha kyaki, ahmäi naküt kthaka amät däk a hlüngtai säih vaia thihnak üngka naw mthawh be ma kcüki kyaki.
19 Kwa kuwa ilimpendeza Mungu kwamba utimilifu wake wote ukae ndani yake,
Mhnama ning naküt a cakpa üng a kümbe cun Pamhnam amäta mkhyaha kyaki.
20 na kwa njia yake aweze kuvipatanisha vitu vyote na yeye mwenyewe, viwe ni vitu vilivyo duniani au vilivyo mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu yake, iliyomwagika msalabani.
Acun käna khawmdeknu hin a Cakpa üngkhyüh amäta veia a lawpüi be vaia Pamhnam naw ngja hlüki. Pamhnam naw kutlamktung üng thiki a Cakpaa thisen üngkhyüh ng’yenak pawh päng lü khawmdek ja khankhaw üng veki naküt pi amäta veia a lawpüi be.
21 Hapo kwanza mlikuwa mmetengana na Mungu, na mlikuwa adui zake katika nia zenu kwa sababu ya mienendo yenu mibaya.
Ahlana nami bilawh ja nami cungngaih am daw se Pamhnam üng thuk lü a yea nami kya khawikie.
22 Lakini sasa Mungu amewapatanisha ninyi kwa njia ya mwili wa Kristo kupitia mauti, ili awalete mbele zake mkiwa watakatifu, bila dosari wala lawama,
Acunsepi atuh ta, Pamhnam naw a cakpaa thihnaka phäh üng a ning jah ng’yäppüi be hin, ngcimngcaih lü mkatei vai käh ve ti khaia amäta veia a ning jah lawpüi be ni.
23 ikiwa mnaendelea katika imani yenu mkiwa imara na thabiti, pasipo kuliacha tumaini lililoahidiwa katika Injili. Hii ndiyo ile Injili mliyoisikia, ambayo imehubiriwa kwa kila kiumbe chini ya mbingu, na ambayo mimi Paulo nimekuwa mtumwa wake.
Nami jumeinak ngkhäng lü nami leh ngkhän cäm se. Thangkdaw nami ngjak üng nami yaha äpeinak käh thäihngnawn ta kawm uki. Khawmdek khyang naküt üng ami mtheha hina thangkdawa phäh ni kei Pawluh pi mpyaa ka thawn law.
24 Sasa nafurahia kule kuteseka kwangu kwa ajili yenu, na katika mwili wangu ninatimiliza yale yaliyopungua katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
Nangmia phäh khuikhanak ka khamei hin jekyai veng. Khritaw naw a pumsa sangcima nghngün üng a khamei mcawt a kümceinak vaia kei naw ka pumsa am ka khameipüiki.
25 Mimi nimekuwa mtumishi wa kanisa kwa wajibu alionipa Mungu ili kuwaletea ninyi Neno la Mungu kwa ukamilifu:
Khawkphyüm üngkhyüh tuh vei cäpa thupviha kya kyaw lüpi, tuhngawi üng ta a khyange üng jah mdana hlüngtaikia Pamhnama thangkdaw cun avana sang khaia, ahin khut a na pet hin nangmia dawnak vaia, kei cun Pamhnam naw sangcima mpyaa a na thawnsak ni. (aiōn )
26 Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn )
27 Kwao, Mungu amechagua kujulisha miongoni mwa watu wa Mataifa utukufu wa utajiri wa siri hii, ambayo ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu.
Mhnama ngjak hlü cun a khyangea phäha ngthup lü hlüngtainak ja bawimangnak cun a khyangea veia a jah mdan hlüa kyaki. Acuna khawh ngthup cun nami k’uma veki hlüngtaiki Khritaw ni. Acuna mawngma ta Pamhnama hlüngtainak nami yah hngaki tinak ni.
28 Yeye ndiye tunayemtangaza, tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote ili tuweze kumleta kila mmoja akiwa amekamilika katika Kristo.
Acunakyase, Khritawa ngthu khyang naküt üng kami jah mthehki. Pungngyam mjüküm am jah mcuhmcäi lü khyang naküt Pamhnama maa Khritaw üng yümmat lü xüxamkia kba ami kya law vaia, khyang naküt kami jah mtheimthangkie ni.
29 Kwa ajili ya jambo hili, ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri ya nguvu zake ambazo hutenda kazi ndani yangu kwa uweza mwingi.
Ahin ka kpäng vaia, ka k’uma khüiki Khritaw naw a na peta ngjuktha am mthui lü ka khüiki.