< 3 Yohana 1 >
1 Mzee: Kwa Gayo rafiki yangu, nimpendaye katika kweli.
Upa renga han, Ko moroitak Gaius, ku lungkham tatakpu kôm,
2 Mpendwa, naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema kama vile roho yako ifanikiwavyo.
Ka mal moroitak, ratha han na dam ti ki riet anghan, neinunngei murdi asadima a lônna taksa han na dam theina rangin ku chubai ngâi.
3 Ilinifurahisha sana baadhi ya ndugu walipokuja na kutueleza juu ya uaminifu wako katika kweli na jinsi unavyoendelea kuenenda katika hiyo kweli.
Khristien champuingei senkhat an juonga, taksônoma no omtit ngâi anghan, chongtaka iem no omtit tih min rila, ka râisân tatak ani.
4 Sina furaha kubwa kuliko hii, kusikia kwamba watoto wangu wanaenenda katika kweli.
Ka nâingei chongtaka an om ti ki rieta ka râisân nêka râisânna lien uol reng dôn mu ung.
5 Rafiki mpendwa, wewe ni mwaminifu kwa yale unayowatendea ndugu, ingawa wao ni wageni kwako.
Ka mal moroitak, khuolmingei anni lâi khomin Khristien champuingei chunga taksônomtakin sin no tho ngâia.
6 Wameshuhudia kuhusu upendo wako mbele ya kanisa. Utafanya vyema ukiwasafirisha kama inavyostahili kwa Mungu.
Hi taka koiindangngei kôm khom nu lungkhamna chungroi an misîr zoi. An khuolchaina mozomtita Pathien a râisân theina rangin rangâihoitakin lei san ngei roh.
7 Ilikuwa ni kwa ajili ya hilo Jina waliondoka, bila kukubali kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini.
Khrista sinthoa an khuolchaina han iemloingei renga sanna lâk loiin an nin thok sikin.
8 Kwa hiyo imetupasa sisi kuonyesha ukarimu kwa watu kama hao ili tuweze kutenda kazi pamoja kwa ajili ya kweli.
Masikin eini Khristienngeiin, chongtaka sin an thona han ênchelsa theina rangin hi mingei hih ei san ngêt rang ani.
9 Nililiandikia kanisa, lakini Deotrefe, yeye apendaye kujifanya wa kwanza, hakubali mamlaka yetu.
Koiindang kôma lekhamuthuon bongte chu ki mizieka; aniatachu, an ruoipu chang nuom ngâipu Diotrephes han chu ko chong ite lunghâng tho noni.
10 Hivyo kama nikija, nitakumbuka matendo yake atendayo, akitusingizia kwa maneno ya hila. Wala hatosheki na hayo anayotusingizia, bali pia hukataa kuwakaribisha ndugu, na hata huwazuia wale walio tayari kufanya hivyo na kuwafukuza watoke kanisani.
Hanchu ku juong tika chu a sintho murdi lunghâng tho ka ta; kin chungroia neinun ichiruoingei a ti ngâi le milak a ril ngâi! Aniatachu maha khom ahunin la riet maka; ei Khristien champuingei an hong khomin mintung ngâi maka, mi mintung rang nuomngei khom a khap ngâi male koiindang renga rujûl pai ngei rang a pût ngâi!
11 Rafiki mpendwa, usiige lile lililo baya bali lile lililo jema. Yeyote atendaye mema atoka kwa Mungu, bali atendaye mabaya hajamwona Mungu.
Ka mal moroitak, asaloi jûi nônla, asa jûi roh. Tukhom asa sinpu ngei chu Pathien ta an nia; tukhom asaloi sinpu ngei chu Pathien la muloi an ni.
12 Kila mtu ameshuhudia mema kuhusu Demetrio, vivyo hivyo hata na hiyo kweli yenyewe. Sisi pia twashuhudia mema juu yake, nanyi mwajua kwamba ushuhuda wetu ni kweli.
Demetrius hah mitinin asa an ti ngâia; chongtak han amananâkin asa a ti ngâi. Male keini khomin kin thurchi kin bôk sa, male khoimo kin ti hih adik ti ni riet.
13 Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, lakini sipendi kuandika kwa kalamu na wino.
Chong tamtak nangni ril rang ko dôn, aniatachu maha pen le pentuiin no kôm miziek nuom mu ung.
14 Badala yake, nataraji kukuona upesi, nasi tutaongea pamoja ana kwa ana. Amani iwe kwako. Rafiki zetu walioko hapa wanakusalimu. Wasalimu hao rafiki zetu walioko huko, kila mmoja kwa jina lake.
Nang mu lai rang ka sabeia, hanchu intongin la chong rei. Rathângamin om roh. Na malngei nâmin chibai an hong muthuon. Ei malngei hah an misang zeta chibai mi mûk pe chit roh.