< 2 Yohana 1 >
1 Mzee: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:
Upa renga han, A nupang lungkham le a nâingei; atataka nangni ku lungkham ani; keima vai ni maka, chongtak a riet ngei murdi khomin nangni an lungkham sa.
2 kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele: (aiōn )
Chongtak ei kôma om bang, kumtuonga khom ei kôm a om bang rang sika hin. (aiōn )
3 Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.
Pa Pathien le Pa Nâipasal Jisua Khrista renga lungkhamna, moroina le inngêina ngei mi pêk hah chongtak le lungkhamna ei ta nirese.
4 Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza.
Pa chongpêk anghan na nâingei senkhat chongtaka an om ku mu sikin ka râisân tatak ani.
5 Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake.
Male nupang lungkham no kôma chongpêk athar niloiin aphut renga ei dôn hah lungkham ênmu thei chitna rangin nangni ke ngên ani.
6 Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.
Lungkhamna ki ti omtie chong chu Pathien chongpêk jômin ei om ngêt rang ani. Chongpêk aphut renga nin rênga nin riet khom hah, inlungkhamin om roi, ti hi ani.
7 Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo.
Mi huong ngâi ngei rammuol pumpuia an suok zoi, Jisua khrista munisi'n a juong inzir ti pom nuom loi mingei hah. Ha anga mingei ha chu milak le Khrista Râl an ni.
8 Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.
Masikin nin sin sai ngei hah inmang loia, râisânman a kipa nin man theina rangin asadimin inrung roi.
9 Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.
Tukhom Khrista minchuna taka om loiin a khêlin chu, Pathien dôn mak. Tukhom minchuna taka a om titin chu Pa le Nâipasal a dôn ani.
10 Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.
Masikin, tukhomin hi minchuna chong hongchôi loiin nin kôm amapa mini, amanu mini a hongin chu, nin ina mintung ngei no ungla; nin chunga “Ratha'nngamna om rese” luo tipe ngei no roi.
11 Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
Tukhomin he hoiin an mathânin chu an neinun saloi an thona han an inchel sa ani.
12 Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.
Chong tamtak nangni ril rang ko dôna, aniatachu lekha leh pentuiin miziek loiin, ei râisânna akip theina rangin nin kôm hongin mêl inmua chong rangin ka sabei ani.
13 Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.
Nu Juorpui lungkhamnu nâingeiin chibaimûknangei nang an hong muthuon ani.