< 2 Timotheo 4 >
1 Nakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu watu walio hai na waliokufa wakati wa kuja kwake na ufalme wake, kwamba:
Nikupela lilaghisu ele lyalijhele ni bhusitu palongolo pa K'yara ni Kristu Yesu, jhaibetakubhahukumu bhabhajhele hai ni bhafu, ni kwandabha jha kufunulibhwa kwa muene ni Ufalme bhwa muene:
2 Hubiri Neno; kuwa tayari wakati ufaao na wakati usiofaa; karipia, kemea na utie moyo kwa uvumilivu wote na kwa mafundisho mazuri.
Hubiriajhi Lilobhi. Ujhelayi tayari kwa bhwakati bhwa bhilondeka ni bhwabhwibela kulondeka. Bhajobhelayi bhanu dhambi sya bhene, jhwangilayi, himisijhi, kwa kusindamala kuoha ni mafundisu.
3 Maana wakati utakuja watu watakapokataa kuyakubali mafundisho yenye uzima. Badala yake, ili kutimiza tamaa zao wenyewe, watajikusanyia idadi kubwa ya walimu wapate kuwaambia yale ambayo masikio yao yanayowasha yanatamani kuyasikia.
Kwandabha bhwa kati wibetakuhida ambabho bhanu bhibetalepi kutolelana ni mafundisu gha bhukweli. Badala jhiake, bhibetakwilondela bhalimu bha kufundisya kulengana ni tamaa sya bhene. Kwanjele ejhe mb'ol'okhoto sya bhene sibetakujha sinyeghesibhu.
4 Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.
Bhibetakuleka kup'elekesya mafundisu gha bhukweli, ni kusanukila fijegu.
5 Kwa habari yako wewe, vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza wajibu wote wa huduma yako.
Lakini bhebhe ujhelayi mwaminifu mu mambo ghoha, sindamalayi manonono, bhombayi mahengu gha mwinjilisti; timisiajhi huduma jha bhebhe.
6 Kwa maana mimi sasa ni tayari kumiminwa kama sadaka ya kinywaji, nayo saa yangu ya kuondoka imetimia.
Kwandabha nene tayari nimali kumiminibhwa. Muda ghwa kubhoka kwa nene bhumalikuhegeleka.
7 Nimevipiga vita vizuri, mashindano nimeyamaliza, imani nimeilinda.
Nikomanili mu haki, mwendo niumalili, imani nijhilendili.
8 Sasa nimewekewa taji ya haki ambayo Bwana, mwamuzi wa haki, atanitunukia siku ile: wala si mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa shauku kudhihirishwa kwake.
Litaji lya haki nibhekibhu kwa ndabha jha nene, ambalyo Bwana, jhaihukumu kwa haki, ibetakunipela ligon lela. Na sio kwa nene tu bali kabhele kwa bhoha bhabhilendela kwa shauku kubhoneka kwa muene.
9 Jitahidi kuja kwangu upesi
Ukitangajhi kuhida kwa nene manyata.
10 kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia. (aiōn )
Kwa kujha Dema anilekili. Abhuganili bhulimwengu bhwa henu na alotili Thesalonike, Kreseni alotili Galatia, ni Tito alotili Dalmatia. (aiōn )
11 Ni Luka peke yake aliye hapa pamoja nami. Mtafute Marko uje naye kwa sababu ananifaa sana katika huduma yangu.
Luka tu ndo ajhe pamonga ni nene. Un'tolayi Marko na uhidayi nakhu kwani muene ghwa muhimu kwa nene mu huduma.
12 Nimemtuma Tikiko huko Efeso.
Nindaghisi Tikiko Efeso.
13 Utakapokuja, niletee lile joho nililoliacha kwa Karpo huko Troa na vile vitabu vyangu, hasa vile vya ngozi.
Lijoho l'ela ambalyo na lilekeli Troa kwa Kapro, pawibetakuhida liletayi, pamonga ni fitabu fela fya ngozi.
14 Aleksanda yule mfua chuma alinitendea ubaya mkubwa. Bwana atamlipa kwa ajili ya yale aliyotenda.
Alekizanda mfua chuma anibhombili maovu ghamehele. Bwana ibetakundepa kul'engana ni matendo gha muene.
15 Wewe pia ujihadhari naye kwa sababu aliyapinga sana maneno yetu.
Nabhi kabhele, ukihadhariajhi ni muene, kwani aghapingili nesu malobhi gha tete.
16 Katika utetezi wangu wa mara ya kwanza, hakuna hata mmoja aliyeniunga mkono, bali kila mmoja aliniacha. Namwomba Mungu wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.
Mu utetezi bhuangu bhwa kubhwandelu, ajhelepi munu jhejhioha jhaajhemili pamonga ni nene, badala jhiake, khila mmonga anilekhili. K'yara asibhabhalangili haita.
17 Lakini Bwana alisimama upande wangu akanitia nguvu, ili kupitia kwangu lile Neno lihubiriwe kwa ukamilifu, watu wote Mataifa wapate kulisikia. Mimi niliokolewa kutoka kinywa cha simba.
Lakini Bwana ajhemili pamonga ni nene, anipelili nghofu ili kwamba kupet'ela kwa nene, lilobhi lijobhibhulajhi kwa ukamilifu ni mataifa bhabhwesiajhi kup'eleka. Naokolibhu mu ndomo bhwa simba.
18 Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Bwana ibetakunijhepusya ni matendo ghoha maovu ni kunikola kwandabha jha ufalme bhwa muene bhwa kumbinguni. Utukufu bhujhelayi kwa muene milele ni milele. Amina (aiōn )
19 Wasalimu Prisila na Akila, na wote wa nyumbani kwa Onesiforo.
Un'salimilayi Priska, Akila ni nyumba jha Onesiforo.
20 Erasto alibaki Korintho. Nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa.
Erasto asie'le okhu Korintho, lakini Trifimo nandekili Mileto akajha iluala.
21 Jitahidi ufike huku kabla ya majira ya baridi. Eubulo anakusalimu, vivyo hivyo Pude, Lino, Klaudia na ndugu wote.
Bhombayi manyata uhidayi kabla jha kipindi kya mepu. Eubulo ikuponesya, kabhele Pude, Lino, Claudia ni bhalongobhu bhoha.
22 Bwana awe pamoja na roho yako. Neema iwe pamoja nanyi. Amen.
K'yara ajhelayi pamonga ni roho jha jhobhi, Neema jhijhelayi nabhi.