< 1 Wathesalonike 2 >
1 Ndugu zangu, kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua ya kwamba kuja kwetu kwenu hakukuwa bure,
Kwa ndabha mwayhomo mmanyili, ndhongo, kwa bhujio wa tete kwa muenga wayelepi wa mebhwa.
2 kama vile mjuavyo, tulikuwa tumeteswa na kutukanwa huko Filipi, lakini hata hivyo, kwa msaada wa Mungu wetu, tulikuwa na ujasiri wa kuwaambia Injili ya Mungu ingawa kulikuwa na upinzani mkubwa.
Mmanyili kuwa muandi twatesiki ni kutubhona kisoni khola kufilipi, kama kammnyili. Twayele bhakifu kup'etela K'yara kubhomba injili ya muene kup'etela tabu syoa.
3 Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.
Kwa ndabha mahusiano ghitu ghihomela lepi kwa ubaya, wala kwa uchafu, wala kup'etela hila.
4 Kinyume chake, tulinena kama watu tuliokubaliwa na Mungu tukakabidhiwa Injili. Sisi hatujaribu kuwapendeza wanadamu bali kumpendeza Mungu, yeye ayachunguzaye mawazo ya ndani sana ya mioyo yetu.
Badala yake, kama kayakubaliki ni K'yara ni kuaminibhwa kiinjili, ndo katinena. Tinena si kwa kubhafurahisha bhanu, ila kwa kumfurahisha K'yara. Muene ndo yachungusya miteema ya tete.
5 Kama mjuavyo, hatukuja kwenu kwa maneno ya kujipendekeza au maneno yasiyo ya kweli ili kuficha tamaa mbaya: Mungu ndiye shahidi yetu.
Kwa ndabha twatumili lepi malobhi gha kujipendekesa magono ghoa ghoa, kama kammnyili, walakutumila malobhi kujo kisingizio kya tamaa, K'yara ndo shaidi wayhoto.
6 Wala hatukuwa tunatafuta sifa kutoka kwa wanadamu, wala kutoka kwenu au kwa mtu mwingine awaye yote. Kama mitume wa Kristo tungaliweza kuwa mzigo kwenu,
Wala twalondili lepi utukufu kwa bhanu, wala kuh'omela kwa yhomo au bhangi. Ngata bbhwesili kudai au kupendebhulibhwa kitya bhatume bha Yesu Kristu.
7 lakini tulikuwa wapole katikati yenu, kama mama anayewatunza watoto wake wadogo.
Badala yake taye tabhapole kati ya yhoto kujo mabhu kabhafaliji bhana bha muene.
8 Tuliwapenda sana kiasi kwamba tulifurahia kushirikiana nanyi, si Injili ya Mungu tu, bali hata maisha yetu, kwa sababu mlikuwa wa thamani mno kwetu.
Kwa njela eye taye ni upendo kwa yhomo. Twayele radhi kabh'ele kubhashilikisya muinjili ya K'yara bali kabhele ni maisha gha yhoto tabhene. Kwa ndabha muyele bhapendwa bhitu.
9 Ndugu zetu, mnakumbuka juhudi yetu na taabu yetu. Tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote wa kwenu wakati tulipokuwa tunawahubiria Injili ya Mungu.
Kwa ndabha ndhongo mwikhomboka mbhombho ni tabu sya yhoto. Pakilu ni pamusi twayela kubhomba mbhombho ili tukotokulewabhwa kwa yuoayola, magono ghala, twabhahubilili ayi injili ya K'yara.
10 Ninyi wenyewe ni mashahidi na Mungu pia, jinsi tulivyokuwa watakatifu, wenye haki na wasio na lawama miongoni mwenu ninyi mlioamini.
Muenga mashaidi, ni K'yara kabhele, ndo kwa N'takatifu wa namna yeleku, ya haki, ni bila lawama tuayalotili twayhoto palongolo pa yhomo pabha mwiamini.
11 Maana mnajua kwamba tuliwatendea kila mmoja wenu kama vile baba awatendeavyo watoto wake.
Eye kabh'ele, mmanyili kwa namna yeleku kwa Kila mmonga bhinu, kujo Dadi kaayele kwabhanabhabhi katika bhahimisi ni kubhapela mioyo. Twashuhudili.
12 Tuliwatia moyo, tuliwafariji na kuwahimiza kuishi maisha yampendezayo Mungu, anayewaita katika Ufalme na utukufu wake.
Ndabha yapasibhu kulota kawayele bhuito bhuinu kwa K'yara yaabhakutilimu ufalme ni utukufu bhuake.
13 Nasi pia tunamshukuru Mungu bila kukoma kwa sababu mlipolipokea neno la Mungu mlilosikia kutoka kwetu, hamkulipokea kama neno la wanadamu, bali mlilipokea kama lilivyo hasa, neno la Mungu, litendalo kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.
Kwa ndabha ya ele tikamshukuru K'yara muda bhuowa. Kwa ndabha magono gha mwapokolai mjumbe kuhomela kwa tete was K'yara wamwapeleliki, mwayopolili, si kama lilobhi la binadamu. Badala yake, mwayopolili kama kaliyele lilobhila K'yara. Ndo lilobhi la lifuanya mbhombho mbhombho kwa bhabhiamini.
14 Kwa maana ninyi ndugu zetu, mlifanyika wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyoko ndani ya Kristo Yesu katika Uyahudi. Mlipata mateso yale yale kutoka kwa watu wenu wenyewe kama vile makanisa hayo yalivyoteswa na Wayahudi,
Ko henu muenga, ndongo, muyele bhanu bha kuyegha makanisa ghaghayele muuyaahudi kup'etela Kristu Yesu. Kwa ndabha muenga kabh'ele mwatesiki kwa mambo ghala ghala kuh'omela kwa bhanubhayhomo, kama kakayele kuhomela kwa mayaudi.
15 wale waliomuua Bwana Yesu na manabii, nasi wakatufukuza pia. Watu hao walimchukiza Mungu na tena ni adui wa watu wote,
Bhayele bhayaudi ndo ya bharikomili Bwana Yesu pamonga ni bhamanabii. Ndo bhayaudi bhabhatubhengili tupitai kwibhala. Bhakampendesya lepi K'yara ndo maadui kwa bhanu bhoa.
16 wakijitahidi kutuzuia tusizungumze na watu wa Mataifa ili kwamba wapate kuokolewa. Kwa njia hii wanazidi kujilundikia dhambi zao hadi kikomo. Lakini hatimaye ghadhabu ya Mungu imewafikia.
Bhatuzuili tusijobhi kwa mataifa ili bhabhwesyai kuokolibhwa. Matokeo ghaki ndo bhiyendelila ni dhambi sabhene. Kumuishu ghadhabu ihidili panani pabhene.
17 Lakini ndugu zetu, tulipotenganishwa nanyi kwa kitambo kidogo (ingawa kutengana huko kulikuwa kwa mwili tu, si kwa moyo), tulizidi kuwa na shauku kubwa kuwaona uso kwa uso.
Tete, ndongo, twatengene ni muenga kwa magono madebe, kimbhele, si kup'etela roho. Twaketili kwa uwezo was yhoto na kwa shauku iyene kubhona nyuso sinu.
18 Maana tulitaka kuja kwenu, hasa mimi Paulo, nilitaka kuja tena na tena, lakini Shetani akatuzuia.
Kwa ndabha twalondai kuhida kwa yhomo, nene Paulo, kwa mala ya kuanza ni muda yhene, jobha lisyetani latuzuili.
19 Kwa maana tumaini letu ni nini, au furaha yetu au taji yetu ya kujisifia mbele za Bwana Yesu Kristo wakati wa kuja kwake? Je, si ni ninyi?
Kwa ndabha ya kujiamini kwa yhoto ndo kiki kapalongolo, au furaha, au litaji la kujifunila palongolo pa Bwana Yesu, magono gha kuhida kuaki? Na simuenga zaidi kama kabhayele bhamana?
20 Naam, ninyi ndio fahari yetu na furaha yetu.
Kwa ndabha muenga ndo utukufu ni furaha yhitu.