< 1 Petro 3 >

1 Kadhalika enyi wake, watiini waume zenu, ili kama kunao wasioamini lile neno, wapate kuvutwa na mwenendo wa wake zao pasipo neno,
Kwa nj'hela ej'he, muenga ambabho ndo bhadala mwilondeka kwih'omesya kwa bhagosi bhinu mwej'homu, ili hata kama bhaadhi j'ha bhene bhabelili kulitii lilobhi, kup'hetela tabia sya bhadala bhabhi bhibhwesya kufutibhwa bila litobhi.
2 kwa kuuona utakatifu na uchaji wa Mungu katika maisha yenu.
Kwa ndabha bhene bhibekuj'ha bhaj'hibhwene tabia j'hinu j'hinofu pamonga ni litengo.
3 Kujipamba kwenu kusiwe kwa nje tu, kama vile kusuka nywele, kuvalia vitu vilivyofanyizwa kwa dhahabu na kwa mavazi.
Ej'he j'hibhombeka j'hi sio kwa mapambo gha kwibhala—-kusuka njwili, vito vya dhahabu, au mavazi gha mtindo.
4 Badala yake, kujipamba kwenu kuwe katika utu wenu wa moyoni, yaani uzuri usioharibika wa roho ya upole na utulivu, ambayo ni ya thamani sana machoni pa Mungu.
Lakini badala j'hiake j'hibhombekai kwa utu bhwa mugati mu n'teema, ni kuzidi mu bhonofu bhwa bhunyenyekevu ni bhutulivu bhwa n'teema, ambabho ndo bhwa thamani pamihu pa k'yara.
5 Kwa kuwa hivi ndivyo walivyokuwa wakijipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu. Wao walikuwa ni watiifu kwa waume zao,
Kwa kuj'ha bhadala bhatakatifu bha kipambili bhene kwa nj'hela ej'he. Bhaj'hele ni imani kwa k'yara na bhabhatilii bhagosi bhabhu bhene.
6 kama Sara alivyomtii mumewe Abrahamu, hata akamwita bwana. Ninyi ni watoto wa Sara kama mkitenda yaliyo mema, bila kuogopa jambo lolote.
Kwa nj'hela ej'he Sara alimtii Ibrahimu ni kunkuta muene “N'gosi” ghwa muene. Muenga henu ndo bhanabhabhi kama bhib'eta kubhomba ghaghaj'hele manofu na kama mwitila lepi mabhibhi.
7 Vivyo hivyo ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, nanyi wapeni heshima mkitambua ya kuwa wao ni wenzi walio dhaifu, na kama warithi pamoja nanyi wa kipawa cha neema cha uzima, ili kusiwepo na chochote cha kuzuia maombi yenu.
Kwa nj'ela ej'hu muenga bhagosi mwilondeka kutama ni bhadala bhinu Mkamanyai kujobha bhene ndo bhaenzi bhinu bhadala dhaifu, mkabhamanyai bhene kama bhapokelaji bhaj'hinu bha zawadi j'ha bhusima. Mubhombagha naha ili kuj'ha maombi ghinu, ghasibesibhu.
8 Hatimaye, ninyi nyote kuweni na nia moja, wenye kuhurumiana, mkipendana kama ndugu, na mwe wasikitivu na wanyenyekevu.
Hatimaye, muenga mwebhoha, muj'hiage ni nia j'himonga, bha bhejhe ni k'hesa, Luganu kama bhulongo, bhanyenyekevu ni bhapole.
9 Msilipe ovu kwa ovu, au jeuri kwa jeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloitiwa ili mpate kurithi baraka.
Musilepi bhuovu kwa bhuovu, au lilighu kwa lilighu. kinyume kyake muj'hendelelaghe kubariki kwandabha ej'he mwabarikibhu ni kukutibhwa, ili mubhwesiaghe kurithi baraka.
10 Kwa maana, “Yeyote apendaye uzima na kuona siku njema, basi auzuie ulimi wake usinene mabaya, na midomo yake isiseme hila.
“Muene j'hailonda kugana maisha ni kubhona ligono linofu lazima aubesyagha lulimi lwake kwa mabhibhi ni milomo ghiake kujobha hila.
11 Mtu huyo lazima aache uovu, akatende mema; lazima aitafute amani na kuifuatilia sana.
Na ageukaghe ni kuleka mabhibhi ni kubhomba ghaghaj'hele manofu. Alondai amani ni kuj'hifuata.
12 Kwa maana macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza maombi yao. Bali uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu.”
Mihugha Bwana ghakambona j'heaj'he ni haki ni mbol'okhoto syake sikamp'heleka maombi ghake. Lakini pamihu pa Bwana uj'he kinyume kya bhala bhabhomba maovu”.
13 Basi, ni nani atakayewadhuru mkiwa wenye juhudi katika kutenda mema?
Niani ibeta kubhazuru muenga, ikajhiaghe mwitamani ghaghaj'hele manofu?
14 Lakini mmebarikiwa hata kama ikiwalazimu kuteseka kwa ajili ya haki. “Msiogope vitisho vyao, wala msiwe na wasiwasi.”
Lakini kama mwibetakutesibhwa kwa haki, m'barikibhu. Musitili ghala ambagho bhene bhitila. Musij'hi ni wasiwasi.
15 Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana mioyoni mwenu. Siku zote mwe tayari kumjibu mtu yeyote atakayewauliza kuhusu sababu ya tumaini lililomo ndani yenu. Lakini fanyeni hivyo kwa upole na kwa heshima,
Badala j'hiake mumb'ekaghe Kristu Bwana mu mi'teema ghinu kama n'takatifu. Kila bhwakati muj'hiaghe tayari kun'jibu kila munu j'haikabhakhota muenga kwandabha j'hakiki mwikiera kwa k'yara. Mubhombaghe naha kwa bhololo ni litengo.
16 mkizitunza dhamiri zenu ziwe safi, ili wale wasemao mabaya dhidi ya mwenendo wenu mzuri katika Kristo waaibike kwa ajili ya masingizio yao.
Muj'hiagha ni dhamiri j'hinofu ili bhanu bhabhiligha maisha ghinu manofu mu Kristu bhabhwesiaghe kuaibika kwandabha bhilongela kinyume dhidi j'hinu kama mwaj'hele bhabhomba maovu.
17 Kwa maana ni afadhali kupata mateso kwa ajili ya kutenda mema, kama kuteseka huko ndiyo mapenzi ya Mungu, kuliko kuteseka kwa kutenda maovu.
Ni kinofu kit'opu, ikaj'hiaghe k'yara ingonywa, kuj'ha mwiteseka kwa kubhomba manofu kuliko kwa kubhomba mabhibhi.
18 Kwa kuwa Kristo naye aliteswa mara moja tu kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili ya wasio haki, ili awalete ninyi kwa Mungu. Mwili wake ukauawa, lakini akafanywa hai katika Roho.
Kristu pia atesiki mara j'himonga kwandabha j'ha dhambi. Muene ambaj'he ndo nkolo haki atesiki kwa ndabha j'hitu, ambabho bhibeta kuj'ha bhenye haki, ili kuj'ha atuletayi tete kwa k'yara. Afwili ni m'mb'ele, lakini abhonibibhu nsima mu roho.
19 Baada ya kufanywa hai, alikwenda na kuzihubiria roho zilizokuwa kifungoni:
Mu roho alotili ni kusihubiri roho ambasyo henu si j'hele mu kifungu.
20 roho hizo ambazo zamani hazikutii, wakati ule uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja katika siku za Noa, wakati wa kujenga safina, ambamo watu wachache tu, yaani watu wanane, waliokolewa ili wasiangamie kwa gharika.
Syajhelepi tiifu bhwakati bhuvumilivu bhwa k'yara ghwilenda bhwakati bhwa Nuhu, ligono lya bhujenzi bhwa safina, ni k'yara abhaokwili bhanu bhadebe —nafsi nane— kuh'omela mmasi.
21 Nayo maji hayo ni kielelezo cha ubatizo ambao sasa unawaokoa ninyi pia: si kwa kuondoa uchafu kwenye mwili, bali kama ahadi ya dhamiri safi kwa Mungu, kwa njia ya ufufuo wa Yesu Kristo.
Ej'he ndo alama j'ha bhubatiso bhwabhwikabhaokola muenga henu, siyo kama kusuka bhuchafu kuh'omela mu m'mb'ele, lakini kama ombi la dhamiri j'hinofu kwa k'yara, Kup'hetela bhufufuo bhwa Yesu Kristu.
22 Yeye ameingia mbinguni na amekaa mkono wa kuume wa Mungu; nao malaika, mamlaka na nguvu zote wametiishwa chini yake.
Muene aj'hele mu kibhoko kya kuume bhwa k'yara. Alotili kumbinguni. Malaika, mamlaka, ni ngofu lasima vimtii muene

< 1 Petro 3 >