< 1 Wakorintho 9 >
1 Je, mimi si huru? Je, mimi si mtume? Je, mimi sikumwona Yesu, Bwana wetu? Je, ninyi si matunda ya kazi yangu katika Bwana?
Ime mena son bi na? Ime mena wu whu Rji na? Ime mena to Yesu Irji mbu na? Ana biyi bi tindu ni me ni blater Rji na?
2 Hata kama mimi si mtume kwa wengine, hakika mimi ni mtume kwenu, kwa maana ninyi ni mhuri wa utume wangu katika Bwana.
Idan me na wu blater Rji nibari na u me bla niyiwu, Biyi bi Zame ndi kapyeme nime nitabatar ni ndumu ni bla ter Rji.
3 Huu ndio utetezi wangu kwa hao wanaokaa kunihukumu.
Wayi yiter wa me Kle kpamu idan ndi ba tre nitu mu.
4 Je, hatuna haki ya kula na kunywa?
Kina hei yanci wa kiri ndi sou na?
5 Je, hatuna haki ya kusafiri na mke anayeamini, kama wanavyofanya mitume wengine na ndugu zake Bwana na Kefa?
Kina hei ni yanci wa ki ba vayi mbu iwah, na wa ibru bi tundu Baci, ni mir vayi ni ndu Rji naba Kefas na?
6 Au ni mimi na Barnaba tu inatubidi kufanya kazi ili tuweze kupata mahitaji yetu?
Biya kome ni Barnabas megye ki na hei ni iko u kambu ni ndu?
7 Ni askari yupi aendaye vitani kwa gharama zake mwenyewe? Ni nani apandaye shamba la mizabibu na asile matunda yake? Ni nani achungaye kundi na asipate maziwa yake.
Anha ni ti ndu soja ni tuma ki mu? Anha ni ron biri ni woma da na rhi iya ma na? wu nha ni ho lando dana so u imasesan mba na?
8 Je, nasema mambo haya katika mtazamo wa kibinadamu tu? Je, sheria haisemi vivyo hivyo?
Biya me tre tre yi ni gbegble ter ndi mu? Bina to di doka me tre tokina?
9 Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Mose: “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka.” Je, Mungu hapa anahusika na ngʼombe?
U ni doka Musa a tre di na yau takunkumi ni wa ni mla biri tei na. A hi jiji lando wandi Irji ni kwa ha?
10 Je, Mungu hasemi haya hasa kwa ajili yetu? Hakika yameandikwa kwa ajili yetu, kwa sababu mtu anapolima na mpuraji akapura nafaka, wote wanapaswa kufanya hivyo wakiwa na tumaini la kushiriki mavuno.
Ana si tre ni tumbu, indi na? ba han ta wu ndi indi u yoh sor, anife indi wa ase tat take hiri, wa wumw du tei ni suron riri anife.
11 Je, ikiwa sisi tulipanda mbegu ya kiroho miongoni mwenu, itakuwa ni jambo kubwa iwapo tutavuna vitu vya mwili kutoka kwenu?
U kita cu wu ru haniya ni yiwu ani kpe rigra ma duta girbi kpibi wu kpah ni yi?
12 Kama wengine wana haki ya kupata msaada kutoka kwenu, isingepasa tuwe na haki hiyo hata zaidi? Lakini sisi hatukutumia haki hii. Kinyume chake, tunavumilia kila kitu ili tusije tukazuia Injili ya Kristo.
Indan bari ba te yana yi ni yi, kina zan ba na? Ama ki na miye yanci kina kita de ki vu suron ni koga don ki na kpa tre Bishara Kristi ti meme na zuta tendu Bishara Yesu Almasihu.
13 Je, hamjui kwamba, watu wafanyao kazi hekaluni hupata chakula chao kutoka hekaluni, nao wale wahudumiao madhabahuni hushiriki kile kitolewacho madhabahuni?
Bina to biwa ba tindu ni mi tar Rji ba fe hla ni sau mba ni kiyi na? Biwa basi tindu ni tra Rji ba hai ni rabo mba ni kpi biwa ba rhi ni myi hai kalin.
14 Vivyo hivyo, Bwana ameamuru kwamba wale wanaohubiri Injili wapate riziki yao kutokana na Injili.
Ana kiwi Rji tre bi tendu ni terma Bishara bari da sau ni tunko bishara.
15 Lakini sijatumia hata mojawapo ya haki hizi. Nami siandiki haya nikitumaini kwamba mtanifanyia mambo hayo. Heri nife kuliko mtu yeyote kuninyima huku kujisifu kwangu.
Ama ime mina miye yanci ri me na me na nah du ba ti kep ni muna; croma du me kwuu ni du indi hana ni me ni bubu grie ni tu kpe u bi yi.
16 Lakini ninapohubiri Injili siwezi kujisifu maana ninalazimika kuhubiri. Ole wangu nisipoihubiri Injili!
Indan me bla tre bishara me ha hei ni kpe wu wurwo ni suron na a hei nimu hello du me ti ndu ki. Ani meme ni idan me na bla tre Bishara
17 Nikihubiri kwa hiari, ninayo thawabu. Lakini kama si kwa hiari, basi ninachofanya ni kutekeleza tu uwakili niliowekewa.
Meta tei wayi ni suron mu riri, me kpa kpe wa Irji a zinimu u bima. Ama hle ta na ti ni suron riri na. u me rhi he ni nauwaya nitu mu.
18 Basi je, thawabu yangu ni nini? Thawabu yangu ni hii: Ya kwamba katika kuhubiri Injili niitoe bila gharama, bila kutumia kwa utimilifu uwezo wangu nilio nao katika Injili.
Wagye a rabo mu? U meta bla tre Rji me ya ni no Bishara nina kpa gbe wa a hi yancu mu ni ti bishara na.
19 Ingawa mimi ni huru, wala si mtumwa wa mtu yeyote, nimejifanya kuwa mtumwa wa kila mtu, ili niweze kuwavuta wengi kadri iwezekanavyo.
Ko da ike iwo mu na sa kpe na mi kati grah ni ndi don mi ndi gbron gbuglu wu ye ni Rji.
20 Kwa Wayahudi, nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi. Kwa watu wale walio chini ya sheria, nilikuwa kama aliye chini ya sheria (ingawa mimi siko chini ya sheria), ili niweze kuwapata wale walio chini ya sheria.
Ni Yahudawa, me k'mati bayabude, don ndi gbi yahuda. Ni bi wa ba hei ni zha bi blah ter, do kpa me, mi hei ni mi mba meni gbi wa ba hei ni zha bi blah tre me ti na ki ko da shike mi na hei ni bi blah tre na.
21 Kwa watu wasio na sheria nilikuwa kama asiye na sheria (ingawa siko huru mbali na sheria ya Mungu, bali niko chini ya sheria ya Kristo), ili niweze kuwapata wale wasio na sheria.
Bi wa bana hei ni karkashi sharia na ime me k'ma hei na bi wa ba na he ni shari'a na ko shike me na hamma ni shiriya u Rji na Du naki me hei karkashi doka Rji me ti naki me ndi kpadi bi wa ba na he mi sharia na.
22 Kwa walio dhaifu nilikuwa dhaifu, ili niweze kuwapata walio dhaifu. Nimekuwa mtu wa hali zote kwa watu wote ili kwa njia yoyote niweze kuwaokoa baadhi yao.
Ni biwa bana hei ni gbegble na, me hei naki niba don me gbro bi hama ne gbengblen.
23 Nafanya haya yote kwa ajili ya Injili, ili nipate kushiriki baraka zake.
Me tei kogye don bishara me ndi yoh woh ni min biwa ba kiti ndu don me ndi kpa albarka game.
24 Je, hamjui kwamba katika mashindano ya mbio wote wanaoshindana hukimbia, lakini ni mmoja wao tu apewaye tuzo? Kwa hiyo kimbieni katika mashindano kwa jinsi ambavyo mtapata tuzo.
Bina to ndi indi gbugbu u bari ni gasa tsutsu, u bi waba tsutsu a, indi riri ni kpah sakamaka na?
25 Kila mmoja anayeshiriki katika mashindano hufanya mazoezi makali. Wao hufanya hivyo ili wapokee taji isiyodumu, lakini sisi tunafanya hivyo ili kupata taji idumuyo milele.
Indi u tsutsu ani mla kpama ti naki dafe gbegble kpama du hyi gyegyer. Ba tei naki du ba kpakpe wa ni ti meme wu bi gasa tsutsu bati nda kpa kpe wa ni kri ko'b ana wu te meme na.
26 Kwa hiyo mimi sikimbii kama mtu akimbiaye bila lengo, sipigani kama mtu anayepiga hewa,
Anayi me tsutsu na me na he ni manufei na, yada me ti dambe an a kama me ndi da si tsi ni gwugwu na.
27 la, bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha ili nikiisha kuwahubiria wengine, mimi nisiwe mtu wa kukataliwa.
Me mean ni kpa mu ti u yah, na mi gra don idan me bla tre Rji ni bari ime tumu mika na ti meme na.