< 2 Wakorintho 1 >

1 Barua hii ni kutoka kwangu mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, Kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, pamoja na watakatifu wote walioko Akaya yote:
Bulus Manzo Almasihu Yesu ni bubu into Rji ni whu Timoti vernyinbu yeh ni kho Rji wa ba ha ni korantos tutun mrevayi bi ba ha ni kpala memen akaya.
2 Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo iwe nanyi.
Tin dindi ti ziffin ni yin ni soun sin ni Rji Bacin bu ni ton titin Yesu Almasihu.
3 Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa huruma na Mungu wa faraja yote.
Kidi gbre san Bachibu Kristi du ne sungregre ni Rji titi Bacinbu Yesu Almasihu. Ekin sa titinu whu wawu Kristi, wawui hi itiu jiyejiye kai di wawu iji din wha'a toh suron wawi ni Rji u sisuron nita.
4 Yeye hutufariji katika taabu zetu, ili tuweze kuwafariji walio katika taabu yoyote kwa faraja ambayo sisi wenyewe tumepokea kutoka kwa Mungu.
Rji ni nota si suron ni mi don kita, kika iya no bari souron ni mi wha ba ha ni, klikliyah. ki ta noba si sur ni bari ni bibi si sur din Rji wha a nota si sur.
5 Kama vile mateso ya Kristo yanavyozidi ndani ya maisha yetu, hivyo ndivyo faraja yetu inavyofurika kwa njia ya Kristo.
Ni tun iyah kiti wa Kristi ba kati gbugbu'u ni tu bu naki si suron ka hi kagon ni mi Kristi.
6 Kama tunataabika, ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; kama tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu, iwaleteayo saburi ya mateso yale yale yanayotupata.
Naki inde ki yah ni noyi si sur bini kpachuwo bin kita noyin si suri ni tun tsirbin. kin noyin si surbin ni tindun brabra yanda bi vun sisur ni bibin e yah wha ki he nemin diniton.
7 Nalo tumaini letu kwenu ni thabiti, kwa sababu tunajua kwamba kama vile mnavyoshiriki mateso yetu, ndivyo pia mnavyoshiriki katika faraja yetu.
Yo surbu ni tunbi ani zonta nikine kita ki toh na bi son ni mi naki me bin zren nita.
8 Ndugu wapendwa, hatutaki mkose kujua kuhusu zile taabu tulizopata huko Asia. Kwa maana tulilemewa na mizigo sana, kiasi cha kushindwa kuvumilia, hata tulikata tamaa ya kuishi.
Mri vayi kina son don yi hontoh ti yah wa ki ni Asiya. Bachanta zangbengblenbu, har di chu suron bu din kina gbujub na.
9 Kwa kweli, mioyoni mwetu tulihisi tumekabiliwa na hukumu ya kifo, ili tusijitegemee sisi wenyewe bali tumtegemee Mungu afufuaye wafu.
Nakima ki wotre u kwu. aman ikpie atin duta na you nitu bu na, sei ni Rji wa ani bi ba ba kwu. wha a zun iji luden ne mein bei.
10 Yeye aliyetuokoa kwenye hatari kubwa ya kifo na atatuokoa tena. Kwake yeye tumeweka tumaini letu kwamba ataendelea kutuokoa.
Wha wuyi kpata cuwo ni memen en eghun kyu ani kpata cuwo kin yo surbu nituma ani kpata cuwo.
11 Kama vile mlivyoungana kusaidiana nasi katika maombi, hivyo wengi watatoa shukrani kwa niaba yetu kwa ajili ya baraka za neema tulizopata kwa majibu ya maombi ya wengi.
A ni tin whayi kita zonkpa bu ni braibu. ne whayi mire vayi ba ye brabranda giri don kita ne tun tagomashi didin wha ba tin ta'u ni bu bu bra Rji iji babra.
12 Basi haya ndiyo majivuno yetu: Dhamiri yetu inatushuhudia kwamba tumeenenda katika ulimwengu na hasa katika uhusiano wetu na ninyi, katika utakatifu na uaminifu utokao kwa Mungu. Hatukufanya hivyo kwa hekima ya kidunia bali kwa neema ya Mungu.
Kin ghagbe na yin ni tingbe enmrebu ni tin dindinmre ni tinbi wha ne ye ne Rji kin zera ni sunbu ne gblugbu kin tin wha yi tuntuma ni bin yin sa ta bubu bimbi Rji.
13 Kwa maana hatuwaandikii mambo ambayo hamwezi kusoma au kuyaelewa. Natumaini kwamba,
Kina ahan kpen ni yiu wha bina ya blamana ni ton na in somu dunyi to gregreme.
14 kama vile mlivyotuelewa kwa sehemu, mtakuja kuelewa kwa ukamilifu ili mweze kujivuna kwa ajili yetu, kama na sisi tutakavyojivuna kwa ajili yenu katika siku ya Bwana Yesu.
Tun wha bin tonta fime ziza bin ghagbe nita ne ivin wu tibun Yesu, tutur wha kin ghaban ni yin.
15 Kwa kuwa nilikuwa na uhakika wa mambo haya, nilitaka nije kwenu kwanza, ili mpate faida mara mbili.
Don igabagadi wha me hei'u ni tunbi nahi ye neyin wu rini, donji ni tsonta kine zerakpabu khuha.
16 Nilipanga kuwatembelea nikiwa safarini kwenda Makedonia na kurudi tena kwenu nikitoka Makedonia, ili mnisafirishe katika safari yangu ya kwenda Uyahudi.
Meha ni tannire ye ni yin ni ghomu hin ne makidoniya. tun ni bubuyin me remre toyin ni zera hi Makidoniya, bin tome ni konmu hi ni Yahudiya.
17 Nilipopanga jambo hili, je, nilikuwa kigeugeu? Au ninafanya mipango yangu kwa hali ya mwili, ili niseme, “Ndiyo, ndiyo” na “Siyo, siyo” wakati huo huo?
Thun wha me tsi remre yi, in surmu na nena? me mlabubu bin yin zitin niton magwaji din ni thon a ne la i ne A a a a ne ton ririn.
18 Hakika kama Mungu alivyo mwaminifu, maneno yetu kwenu hayajawa “Ndiyo na Siyo.”
Thun wha Rji a ha ba la tra ki na ya lah ne i kon A' a ni ton irin
19 Kwa kuwa Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, ambaye tulimhubiri kwenu: Mimi, Silvano na Timotheo, hakuwa “Ndiyo” na “Siyo,” bali kwake yeye siku zote ni “Ndiyo.”
Thun da Evivre Rji Yesu Almasihu wha Silbanus mba Silas ne me ki Shaida yi'u ba 'i' di “A' a ba pha kitreanahi Nhnaki “I' a hei khon wha ne ton.
20 Kwa maana ahadi zote za Mungu zilizo katika Kristo ni “Ndiyo.” Kwa sababu hii ni kwake yeye tunasema “Amen” kwa utukufu wa Mungu.
Uh yo uyo uh Rji whawhu ah 'E' ni'a'a ni uhn ne ta kon ma ki tre gbuchu ni gbre san Rji
21 Basi ni Mungu atufanyaye sisi pamoja nanyi kusimama imara katika Kristo. Ametutia mafuta
Zizan a Rji kpa mym nita ni biyin ne me Almasihu nanta (kebe)
22 kwa kututia muhuri wake na kutupa Roho wake mioyoni mwetu kuwa rehani kwa ajili ya kututhibitishia kile kijacho.
A yo gban ma ni tunbu da nota Ruhu ne me surbu ne matsayin da tsrota kpe a ne tin nitau ni kogun.
23 Mungu ni shahidi wangu kwamba ilikuwa ni kwa ajili ya kuwahurumia ninyi sikurudi Korintho.
A hei na kin a yonta ni Rji wha a krin ni'u ni kpen ririn me na yen ni korinti me ni kpa yin chuwo.
24 Si kwamba tunatawala imani yenu, bali twatenda kazi pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kwa sababu ni kwa imani mwasimama imara.
Kina sun ki hei na Rji tun bi na ko nitun kpa myemebi. nita bubu yin ki whu bi tindun ni yin ni grin bi, na da bin krin

< 2 Wakorintho 1 >