< 1 Wakorintho 12 >

1 Basi ndugu zangu, kuhusu karama za rohoni, sitaki mkose kufahamu.
Che mpo zi jolola, ba kwangu, ka ni suni kuti kanzi mwi zibiswa.
2 Mnajua kwamba mlipokuwa watu wasiomjua Mungu, kwa njia moja au ingine mlishawishika na kupotoshwa mkielekezwa kwa sanamu zisizonena.
Ha muba chili muvahedeni, mu ba ku kwitilwe ku ba zimu ba sena manzwi, monse mu muba ku kwitwilwa ku bali.
3 Kwa hiyo nawaambieni ya kuwa hakuna mtu anayeongozwa na Roho wa Mungu anayeweza kusema, “Yesu na alaaniwe.” Pia hakuna mtu awezaye kusema, “Yesu ni Bwana,” isipokuwa ameongozwa na Roho Mtakatifu.
Ni ha kwina bulyo ni suna kuti mwi zibe kuti ka kwina yo wamba ka luhuho lwe Ireeza yo wamba, “Jesu a nyanswe.” Ka kwina yo wamba, “Jesu nji Ireeza.”konji ka luhuho lu jolola.”
4 Kuna aina mbalimbali za karama, lakini Roho ni yule yule.
Linuhe kwina impo zishutana, kono luhuho lonke.
5 Kuna huduma za aina mbalimbali, lakini Bwana ni yule yule.
Mi kwina mitendo i shutana, kono Ireeza yenke.
6 Kisha kuna tofauti za kutenda kazi, lakini ni Mungu yule yule atendaye kazi zote kwa watu wote.
Mi kwina mitendo i shutana, kono kwina Ireeza yenke yo tenda kuti zintu zi woleke kubonse.
7 Basi kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa faida ya wote.
Hanu zumwi ni zumwi aba hewa i mponinso ya hanze ya luhuho kuti bantu bonse ba wane inkabelo.
8 Maana mtu mmoja kwa Roho hupewa neno la hekima na mwingine neno la maarifa kwa Roho huyo huyo.
Mihe zumwi luhuho luba muhi ingana, mi zumwi luhuho luba muhi kwi ziba.
9 Mtu mwingine imani kwa huyo Roho na mwingine karama za kuponya kwa huyo Roho mmoja.
Mi ku zumwi aba wani intumelo ku luhuho, mi zumwi aba wani ingunzu ya ku hoza zilwalo.
10 Kwa mwingine matendo ya miujiza, kwa mwingine unabii kwa mwingine kupambanua roho, kwa mwingine aina mbalimbali za lugha, na kwa mwingine bado, tafsiri za lugha.
Zumwi ava hewa ingunzu zaku tenda imakazo, mi ku zumwi ku polofita. Zumwi aba hewa ku keta mukati ka mahuho, zumwi ku malimi mangi, mi zumwi ku toloka malimi.
11 Haya yote hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia kila mtu, kama apendavyo.
Kono ku zumwi luhuho luswana luba muhi zintu zonse, liha zumwi ni zumwi impo, mulu sunina.
12 Kama vile mwili ulivyo mmoja nao una viungo vingi, navyo viungo vyote vya mwili ingawa ni vingi, ni mwili mmoja, vivyo hivyo na Kristo.
Mihe inyama yonke yina zilama zingi mi zonse zilama zina inyama yonke, nji Kirisite.
13 Kwa maana katika Roho mmoja wote tulibatizwa katika mwili mmoja, kama ni Wayahudi au Wayunani, kama ni watumwa au watu huru, nasi sote tulinyweshwa Roho mmoja.
Ka luhuho lonke tuba kolobezwa mwi nyama yonke, nihakuba kuti u Mujuda kapa Mugerike, u sumine kapa u lukuluhite, bonse baba tendwa ku nywa muluhuho lonke.
14 Basi mwili si kiungo kimoja, bali ni viungo vingi.
Inyama ka yina chilama chonke, kono zingi.
15 Kama mguu ungesema, “Kwa kuwa mimi si mkono basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya huo mguu usiwe sehemu ya mwili.
Heba i tende li wamba, “Sina hani sali ni yanza, kana ni chilama chimwi che nyama”, kena kuti ni chilama che nyama.
16 Na kama sikio lingesema, “Kwa kuwa mimi si jicho, basi mimi si wa mwili,” hiyo isingefanya hilo sikio lisiwe sehemu ya mwili.
Mi kutwi ka ku wambe, “Ka kuti ka ni linso, kani wa chilama che nyama”.
17 Kama mwili wote ungelikuwa jicho, kusikia kungekuwa wapi? Au kama mwili wote ungelikuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi?
Heba inyama yonse ibabi linso, ku zuwa niku ba zwi hi? Heba inyama yonse ibabi kutwi, ku nuka ni kuba zwihi?
18 Lakini kama ilivyo, Mungu ameweka viungo katika mwili, kila kimoja kama alivyopenda.
Kono Ireeza aba biki chilama ze nyama kuya ka mwa ba ku sunina.
19 Kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
Mi kambe chi bali chilama chiswana, inyama niyi babi buti?
20 Kama ulivyo, una viungo vingi, lakini mwili ni mmoja.
Nihakuba bulya zilama zingi, kono inyama yonke.
21 Jicho haliwezi kuuambia mkono, “Sina haja nawe!” Wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu, “Sina haja na ninyi!”
Linso kali woli ku wamba kwi yanza, “Ka nina chi nisuna kwanko”. Kapa mutwi ku wamba kwi tende, “Ka nina chi nisuna kwanko”.
22 Lakini badala yake, vile viungo vya mwili vinavyoonekana kuwa dhaifu, ndivyo ambavyo ni vya muhimu sana.
Kono zilama ze nyama zi boneka kulonda nji zi sakahala.
23 Navyo vile viungo tunavyoviona havina heshima, ndivyo tunavipa heshima maalum. Vile viungo vya mwili ambavyo havina uzuri, tunavipa heshima ya pekee;
Mi zilama ze nyama zitu hupula kuti ka zina ikute, tu ziha ikute ikando ni zilama zetu tu ziswabela zina ikute.
24 wakati vile viungo vyenye uzuri havihitaji utunzaji wa pekee. Lakini Mungu ameviweka pamoja viungo vya mwili na akavipa heshima zaidi vile vilivyopungukiwa,
Linu zilama zetu ka kuchina i ntuso ku ziha ikute, ka kuti zina kale ikute. Kono Ireeza aba kopanyi zilama zonse kuzi tenda chonke, mi aba hi ikute ikando kwabo ba sena.
25 ili pasiwe na mafarakano katika mwili, bali viungo vyote vihudumiane kwa usawa kila kimoja na mwenzake.
Aba tendi bulyo kuti kazi kubi ni kauhanyo mwi inyama, kono zilama zi wole kuli babalela ka ku swana.
26 Kama kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote huumia pamoja nacho, kama kiungo kimoja kikipewa heshima, viungo vyote hufurahi pamoja nacho.
Mi chilama chonke hachi zuwa kuchisa, zonse chilama zi zuwa kuchisa. Heba chilama chonke chi helwa ikute, zonse zilama kazi sange.
27 Sasa ninyi ni mwili wa Kristo na kila mmoja wenu ni sehemu ya huo mwili.
Mi chimuli mwi nyama ya Kirisite mi muzilama zimwi zakwe.
28 Mungu ameweka katika kanisa, kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu, kisha watenda miujiza, pia karama za kuponya, karama za kusaidiana, karama za uongozi, aina mbalimbali za lugha.
Mi Ireeza che ntanzi aba keteli mapositola mwi keleke, cha bubeli mapolofita, cha butatu maluti, niba tenda zintu che inguzu, ni bempo yaku hoza, ni baha tunso, abo ba tenda mitendo ya bu yendisi, ni bena malimi mangi.
29 Je, wote ni mitume? Je, wote ni manabii? Je, wote ni walimu? Je, wote wanatenda miujiza?
Kana bonse mapositola? Bonse mapolofita? Bonse maluti? Bonse ba tenda mitendo ye ngunzu?
30 Je, wote wana karama ya kuponya? Je, wote hunena kwa lugha mpya? Je, wote wanatafsiri?
Kana bonse bena impo yaku hoza? Kana bonse ba wamba cha malimi?
31 Basi tamanini sana karama zilizo kuu. Nami nitawaonyesha njia iliyo bora zaidi.
Kana bonse ba toloka malimi? Muna u suna impo zingi. Mi ka nimi tondeze inzila i ndotu.

< 1 Wakorintho 12 >