< 1 Wakorintho 11 >
1 Igeni mfano wangu, kama ninavyouiga mfano wa Kristo.
Mube muba likanisi, sina hani likanisa Kirisite. Cwale ni mi temba kakuti muni hupula mwi ndaba zonse.
2 Ninawasifu kwa kuwa mnanikumbuka katika kila jambo na kwa kushika mafundisho niliyowapa.
Nimi temba kaku tokomela intuto zangu muni ba mi lutili.
3 Napenda mfahamu kwamba kichwa cha kila mwanaume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanaume, nacho kichwa cha Kristo ni Mungu.
Cwale ni saka kuti mu zuwisise kuti Krisite njo mutwi wa bakwame bonse, imi ba kwame nje mitwi ya banakazi, sina Ireeza hali mutwi wa Krisite.
4 Kila mwanaume anayeomba au kutoa unabii akiwa amefunika kichwa chake, anakiaibisha kichwa chake.
Yense mukwame yo lapela kapa ku polofita na zwete inkuwani ku mutwi u nyansa mutwi wakwe.
5 Naye kila mwanamke anayeomba au kutoa unabii pasipo kufunika kichwa chake, anakiaibisha kichwa chake, kwani ni sawa na yeye aliyenyoa nywele.
Kono mwanakazi yense yo lapela ni ku polofita nasa sumine intaulo ku mutwi u nyansa mutwi wakwe, kakuti cintu chi swana niha gunkite insuki.
6 Kama mwanamke hatajifunika kichwa chake, basi inampasa kunyoa nywele zake. Lakini kama ni aibu kwa mwanamke kukata au kunyoa nywele zake, basi afunike kichwa chake.
Heba mwanakazi kali sumini cimwi ku mutwi u swanela ku gunka insuki za kwe ka bufwihi, heba mwanakazi ha gunkwa insuki ku luna, mumu leke a sumine intaulo ku mutwi.
7 Haimpasi mwanaume kufunika kichwa chake kwa kuwa yeye ni mfano wa Mungu na utukufu wa Mungu, lakini mwanamke ni utukufu wa mwanaume.
Mukuti mukwame ka swaneli ku bika cimwi ku mutwi, sina hali chiswaniso ni kanya ye Ireeza, kono mwanakazi i kanya ya mukwame.
8 Kwa maana mwanaume hakutoka kwa mwanamke, bali mwanamke alitoka kwa mwanaume.
Kono mukwame kana aba bumbwa ha mwanakazi, konohe mwanakazi aba bumbwa ha mukwame.
9 Wala mwanaume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanaume.
Hape mukwame kana aba bumbwa bakeñicha mwanakazi, kono mwanakazi aba bumbwa bakeñicha mukwame.
10 Kwa sababu hii na kwa sababu ya malaika, inampasa mwanamke awe na ishara ya mamlaka juu yake.
Che swanelo mwanakazi wina ni kuba ni chi supo ku mutwi ci tondeza ku buswa, bakeñicha mangeloyi.
11 Lakini katika Bwana, mwanamke hajitegemei pasipo mwanaume na mwanaume hajitegemei pasipo mwanamke.
Nihakuba bulyo, kwa Simwine, mwanakazi ka lukuluhite ku mukwame, imi ni mukwame ka lukuluhite ku mwanakazi.
12 Kama vile mwanamke alivyoumbwa kutoka kwa mwanaume, vivyo hivyo mwanaume huzaliwa na mwanamke. Lakini vitu vyote vyatoka kwa Mungu.
Kono mwanakazi u zwa ha mukwame, ni mukwame u zalwa ku mwanakazi? Imi zintu zonse zi zwa kwe Ireeza.
13 Hukumuni ninyi wenyewe: Je, inafaa kwa mwanamke kumwomba Mungu bila kufunika kichwa chake?
Muli atule inwe mubene: Kana inswanelo yo mwanakazi kusa lisumina cimwi ku mutwi ha lapela kwe Ireeza?
14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?
Itu luta kuti mukwame njiwina insuki inde nasa gunki u nyansa mutwi wakwe.
15 Lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni utukufu kwake? Kwa maana mwanamke amepewa nywele ndefu ili kumfunika.
Kana tu lutwa kuti heba mwanakazi wina insuki inde, wina ikanya? Sina ha helwe insuki ku wumba mutwi.
16 Kama mtu anataka kubishana juu ya jambo hili, sisi wala makanisa ya Mungu hatutambui desturi nyingine.
Kono heba zumwi u suna ku tenda inkani ka mukwa usa kwina kwetu, imi kau kwina ni mwi keleke zimwi ze Ireeza.
17 Basi katika maagizo yafuatayo, siwezi kuwasifu, kwa sababu mkutanikapo si kwa ajili ya faida bali kwa hasara.
Kono ni mi lemusa kuti, kani mi tembi, kakuti hamu kopana kamu leti bulotu kono muleta bubi.
18 Kwanza, mnapokutana kama kanisa, nasikia kwamba kuna mgawanyiko miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki kuwa ndivyo ilivyo.
Indaba ya matangilo njokuti hamu kopana muma keleke, enu kuba ni kusa zuminzana mukati kenu, mi muchi lama ni zumina.
19 Bila shaka lazima pawe na tofauti miongoni mwenu ili kuonyesha ni nani anayekubaliwa na Mungu.
Imi inkauhano zi swanela kuba mukati kenu ilikuti ku bonahale bena buniti.
20 Mkutanikapo pamoja si chakula cha Bwana mnachokula,
Hamwiza hamwina, kaku talusi kuti mulalilo wa Simwine u mu lya.
21 kwa kuwa mnapokula, kila mmoja wenu anakula bila kuwangoja wengine. Mmoja hukaa njaa na mwingine analewa.
Chimu lya, zumwi no zumwi ulya zilyo zakwe, bamwi niba seni kuba ni zilyo. Zumwi u fwile inzala, zumwi u koletwe,
22 Je, hamna nyumbani kwenu ambako mnaweza kula na kunywa? Au mnalidharau kanisa la Mungu na kuwadhalilisha wale wasio na kitu? Niwaambie nini? Je, niwasifu juu ya jambo hili? La, hasha!
Kana ka mwina mazubo ku mu lila ni ku munywina? Kapa mushwaula ikeleke ye Ireeza ni ku swabisa basa likwatile? Kani wambe nzi kwenu? Nimi tembe? Kete ni mi tembe kwezo.
23 Kwa maana mimi nilipokea kutoka kwa Bwana yale niliyowapa ninyi, kwamba Bwana Yesu, usiku ule aliposalitiwa, alitwaa mkate,
Kakuti ime niba tambuli kwa Simwine chini bahewa, mukuti Simwine Jesu, ha betekwa masiku aba hindi chinkwa.
24 naye akiisha kushukuru, akaumega, akasema, “Huu ndio mwili wangu, uliotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.”
Hamana kulitumela, cha chi cholola chati “Iyi nje nyama yangu, nji yenu, muchite bulyo njokuti ni muni zeze”.
25 Vivyo hivyo baada ya kula, akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu. Fanyeni hivi kila mnywapo, kwa ukumbusho wangu.”
Chenzila iswana hamana mulalilo abahindi inkomoki, chati, “iyi nje nkomoki ya bulikani buhya bwa malaha angu”. Mutende bulyo chi munywa mwa teni njokuti muni zeze kacho.
26 Maana kila mlapo mkate huu na kunywea kikombe hiki, mnatangaza mauti ya Bwana mpaka ajapo.
Che nako yonse hamu lya chinkwa ni ku nywa mwi nkomoki, kamu wambe ifu lya Simwine ku hita hese naka bole.
27 Kwa hiyo, mtu yeyote alaye mkate huo au kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa na hatia ya dhambi juu ya mwili na damu ya Bwana.
Chebaka ilyo, muntu ni muntu yo lya ku chinkwa ni ku nywina muchinywino cha Simwine kamukwa usa swaneli kabe ni mulandu we nyama ni malaha a Jesu.
28 Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.
Muleke muntu ali tatube iye mwine chenzila yakwe mumu leke alye chinkwa ni ku nywa mu nkomoki.
29 Kwa maana mtu yeyote alaye na kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana, hula na kunywa hukumu juu yake mwenyewe.
Kono yo lya niku nywa nasa tokomeli ze nyama ya Jesu, kulya ni kunywa ali tatube mwine.
30 Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.
Njikuti bamwi mukati kenu ka bena ziho mi ba lwala, imi bamwi kwenu ba ya muñonzi.
31 Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa.
Kono tuli tatube iswe tubene, kete tu atulwe.
32 Tunapohukumiwa na Bwana, tunaadibishwa ili tusije tukahukumiwa pamoja na ulimwengu.
Kono hatu atulwa ni Simwine, hatu kalimelwa naye kuti kanji tu atulwa ne inkanda.
33 Kwa hiyo, ndugu zangu, mkutanikapo pamoja ili kula, mngojane.
Mihe, bakwaluzubo, habeza hamwina kukulya, bali lindile.
34 Kama mtu akiwa na njaa, ale nyumbani kwake ili mkutanapo pamoja msije mkahukumiwa. Nami nitakapokuja nitawapa maelekezo zaidi.
Heba zumwi u fwile inzala mumu siye a lye ku nzubo, mukuti ha mwiza hamwina kanji kumi wanisi mulandu. Imi kezo zintu zi ñoletwe kanize nihe zisupo chineza.