< 1 Nyakati 9 >
1 Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli. Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu.
Hahoi teh, Isarelnaw pueng imthung lahoi separuinae teh, Isarel siangpahrangnaw cauk dawkvah a thut awh. Hateiteh, Judah teh yuemkamcu lah ao hoeh dawkvah, Babilon vah san lah a hrawi awh.
2 Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.
A coe awh e khonaw dawk hmaloe kaawm e naw teh Isarelnaw, vaihmanaw, Levihnaw, Nethinimnaw doeh.
3 Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:
Jerusalem vah Judah casak, Benjamin casak, Ephraim hoi Manasseh casak naw hai kho a sak awh.
4 Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.
Judah capa Perez casak Bani, Benjamin capa Imri, Imri capa Omri, Omri capa Ammihud, Ammihud capa Uthai.
5 Wazao wa Washiloni waliorudi ni: Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.
Shiloh e a camin Asaiah hoi ahnie casaknaw,
6 Kwa wana wa Zera: Yeueli. Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.
Zerah casak Jeuel hoi a hmaunawngha 690 touh a pha awh.
7 Kwa Benyamini walikuwa: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;
Benjamin casak Hassenuah capa Hodaviah, Hodaviah capa Meshullam, Meshullam capa Salu.
8 Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.
Jeroham capa Ibneiah, Uzzi capa Elah, Mikhri capa Uzzi, Shephatiah capa Meshullam, Reuel capa Sephatiah, Ibnijah capa Reuel.
9 Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.
Ahnimanaw teh a hmaunawnghanaw 956 a pha awh. Hetnaw pueng teh, miphun dawkvah imthung kahrawikungnaw doeh.
10 Wa jamaa za makuhani walikuwa: Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;
Vaihmanaw teh Jedaiah, Jehoiarib hoi Jakhin.
11 Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.
Cathut im dawk kahrawikung lah kaawm awh e Ahitub capa Meraioth, Meraioth capa Zadok, Zadok capa Meshullam, Meshullam capa Hilkiah, Hilkiah capa Azariah.
12 Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.
Jeroham capa Adaiah, Pashhur capa Jeroham, Malkhijah capa Pashhur, Adiel capa Maasai, Jahzerah capa Adiel, Meshullam capa Jahzerah, Meshillemith capa Meshullam, Immer capa Meshillemith.
13 Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.
Ahnimouh a hmaunawnghanaw hai a napanaw e imthung dawk a lû lah kaawmnaw doeh. Hotnaw teh Cathut im dawk thaw ka tawk thai awh e lah ao awh teh, tami 1760 touh a pha awh.
14 Jamaa za Walawi walikuwa: Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari.
Levih, Merari casaknaw teh Hasshub capa Shemaiah, Azrikam capa Hasshub, Hashabiah capa Azrikam.
15 Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu.
Bakbakkar Heresh hoi Galal, Mikha capa Mattaniah, Zikhri capa Mikha, Asaph capa Zikhri.
16 Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.
Shemaiah capa Obadiah, Galal capa Shemaiah, Jeduthun capa Galal, Asa capa Berekhiah, Elkanah capa Asa teh Netophah kho dawk kho a sak awh.
17 Mabawabu katika Hekalu la Bwana waliorudi walikuwa: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu.
Longkha karingkungnaw teh Shallum, Akkub, Talmon hoi Ahiman. Shallum teh lû lah ao.
18 Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi.
Ahni teh ha hoehnahlan vah, atunglah kaawm e lah ao. Ahnimouh teh Levih e catounnaw roenae hmuen longkha karingkungnaw lah ao awh.
19 Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya Bwana.
Kore capa Shallum, Ebiasaph capa Kore, Korah capa Ebiasaph hoi a hmaunawnghanaw. Mintoenaw e BAWIPA im dawk thaw katawknaw, kâennae longkha karingkungnaw lah ao awh.
20 Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye Bwana alikuwa pamoja naye:
Eleazar capa Phinehas teh BAWIPA ni a okhai teh kahrawikung lah ao.
21 Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.
Meshelemiah capa Zekhariah teh kamkhuengnae lukkareiim takhang ka ring e lah ao.
22 Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli.
Longkha ka ring hanelah a rawi e naw teh, 212 touh a pha awh. Devit hoi Samuel ni a tawk awh hane a pouk e naw teh, mae kho lengkaleng a tâconae patetlah separuinae dawk thut e lah ao.
23 Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya Bwana, nyumba iliyoitwa Hema.
Hettelah amamouh hoi a catounnaw haiyah BAWIPA e lukkareiim longkha ka ring hanelah ao awh.
24 Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.
Kanîtho, kanîloum, atunglah, akalah, petkâtue lah longkha karingkungnaw thaw poe lah ao.
25 Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba.
Khote lae a hmaunawnghanaw teh hnin sari touh thung hanelah hnin touh hoi hnin touh, a kâhlai awh vaiteh, meng a tho awh hane doeh.
26 Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu.
Bangkongtetpawiteh, longkha karingkungnaw pali touh teh Levihnaw doeh. Cathut e im dawk a hruek awh e hnopai karingkung lah ao awh.
27 Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.
Hottelah amom tangkuem longkha paawng e hah thaw poe e lah ao dawkvah, Cathut e im petkâkalup lah a roe awh.
28 Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa.
Tangawn ni thaw tawknae puengcangnaw a ring awh, a kuem awh, a la awh, ouk a touk awh.
29 Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo.
Tangawn teh hnopai hmuen kathoung dawk e puengcangnaw hah, tavai, misur, satui, hmuitui a kuemyawt awh teh a ring awh.
30 Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo.
Vaihma capa tangawn ni hmuitui hah ouk a sak awh.
31 Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka.
Korah tami Shallum e capa kacuepounge Levih tami Mattithiah teh vaiyei karê thaw a tawk.
32 Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.
Kohath capanaw thung dawk hoi a hmaunawngha tangawn teh Sabbath hnintangkuem hanelah, vaiyei ka rakueng e lah ao.
33 Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.
Hetnaw heh la ka sak e Levihnaw a na pa imthung kahrawikung, bawkim rakhan karingnaw, lah ao awh teh, alouke thaw kâbet awh hoeh. Bangkongtetpawiteh, karum khodai thaw katawknaw lah ao awh.
34 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Levih imthung kacuenaw teh, amamae se dawk kacue e lah Jerusalem vah pou ao awh.
35 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka,
Gibeon na pa Jeiel, Jeiel teh Gibeon vah kho a sak teh, a yu min teh Maakah doeh.
36 mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
A camin teh Abdon doeh. Hahoi Zur, Kish, Baal, Ner hoi Nadab.
37 Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi.
Gedor, Ahio, Zekhariah hoi Mikloth naw a sak.
38 Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Mikloth ni Shimeah a sak. Ahni hai Jerusalem vah a hmaunawnghanaw koe ao.
39 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner ni Kish a sak, Kish ni Sawl a sak, Sawl ni Jonathan, Malkhishua, Abinadab hoi Eshbaal a sak.
40 Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Jonathan casak Meribbaal doeh, Meribbaal ni Maikah a sak.
41 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.
Maikah casak teh Pithon, Melek hoi Tahrea.
42 Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ahaz ni Jarah a sak, Jarah ni Alemeth, Azmaveth hoi Zimri a sak. Zimri ni Moza a sak.
43 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Moza ni Binea a sak teh Binea capa Rephaiah, Rephaiah capa Eleasah, Eleasah capa Azel.
44 Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Azel teh capa taruk touh a tawn. A minnaw teh: Azrikam, Bokeru, Ishmael, Sheariah, Obadiah hoi Hanan doeh. Hetnaw teh Azel capanaw doeh.