< 1 Wafalme 20 >

1 Wakati huu, Ben-Hadadi mfalme wa Aramu akakusanya jeshi lake lote. Akifuatana na wafalme thelathini na wawili wakiwa na farasi na magari ya vita, akakwea kuuzingira kwa jeshi Samaria na kuishambulia.
Siria siangpahrang Benhadad ni, a ransanaw pueng a pâkhueng teh, siangpahrang 32 touh ahni koe ao. Marang hoi leng hoi a takhang awh teh, Samaria kho hah a kalup awh teh a tuk awh.
2 Akawatuma wajumbe katika mji kwa Ahabu mfalme wa Israeli, kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi:
Isarel siangpahrang koe khopui thung patounenaw a patoun teh ahni koe Benhadad ni hettelah ati.
3 ‘Fedha yako na dhahabu ni yangu, nao wake zako walio wazuri sana na watoto ni wangu.’”
Na tangka hoi sui hateh kaie doeh. Na yuca hoi hnokahawi pueng kaie doeh telah ati.
4 Mfalme wa Israeli akajibu, “Iwe kama usemavyo, bwana wangu mfalme. Mimi na vyote nilivyo navyo ni mali yako.”
Isarel siangpahrang ni, oe siangpahrang ka bawipa na dei e patetlah doeh. Kai hoi ka tawn e pueng teh nange doeh telah ati.
5 Wale wajumbe wakaja tena na kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi: ‘Nimetuma kutaka fedha yako na dhahabu, wake zako na watoto wako.
A patounenaw ni bout a cei awh teh, Benhadad ni hettelah ati, na tangka hoi sui hoi na yu hoi na canaw hah na poe han telah taminaw bout a patoun.
6 Lakini kesho wakati kama huu, nitawatuma maafisa wangu kukagua jumba lako la kifalme na nyumba za maafisa wako. Watatwaa kitu unachokithamini nao watakichukua.’”
Hatei, tangtho tuektue nah ka taminaw nang koe ka patoun han, na im hoi na tami hoi, nim hah a tawng awh han. Na mit ni a noe e pueng hah a la awh vaiteh, koung a thokhai awh han telah ati.
7 Mfalme wa Israeli akawaita wazee wote wa nchi na akawaambia, “Tazama jinsi mtu huyu anavyochokoza! Wakati alipotuma apelekewe wake zangu na watoto wangu, fedha zangu na dhahabu yangu, sikumkatalia.”
Isarel siangpahrang ni a ram dawk e kacuenaw pueng koung a kaw teh, pahren lahoi pâkuem awh. Bangkongtetpawiteh, hete tami ni runae tâcosak hanlah a kâcai. Bangkongtetpawiteh, kai koe tami a patoun teh, ka yu hoi ka ca hoi, ka tangka hoi ka suinaw hah a hei, kangek e hai nahoeh telah ati.
8 Wazee na watu wote wakajibu, “Usimsikilize, wala usiyakubali matakwa yake.”
Kacuenaw hoi tamimaya ni ahni koe ahnimae lawk hai banglahai noutna hanh, na lung hai kuepkhai hanh telah atipouh awh.
9 Kwa hiyo akawajibu wajumbe wa Ben-Hadadi, “Mwambieni bwana wangu mfalme, ‘Mtumishi wako atafanya yote uliyoyadai mwanzoni, lakini dai hili la sasa siwezi kulitekeleza.’” Wakaondoka na kupeleka jibu kwa Ben-Hadadi.
Hottelah Benhadad ni patounenaw koe siangpahrang ka bawipa koevah, na san koe patounenaw na patoun teh, ahmaloe na hei e pueng heh ka tarawi yawkaw han, hatei hete teh ka tarawi thai mahoeh ati, telah na dei pouh awh han telah ati. Patoun e naw teh a cei awh teh hote lawk hah a dei pouh awh.
10 Kisha Ben-Hadadi akatuma ujumbe mwingine kwa Ahabu, kusema “Miungu iniletee maafa, tena makubwa zaidi, ikiwa vumbi la Samaria litatosheleza konzi moja ya kila mtu ya wale wafuatanao nami.”
Benhadad ni ahni koe tami bout a patoun teh, ka hnukkâbangnaw pueng ni, Samaria khovah, vaiphu kutvang touh rip hmawt thai awh pawiteh, cathutnaw ni a ngai e patetlah na sak na lawiseh, hothlak ka pataw lahoi na sak naseh telah ati.
11 Mfalme wa Israeli akajibu, “Mwambieni, ‘Yule anayevaa mavazi ya vita asije akajisifu kama yule anayevua.’”
Isarel siangpahrang ni, ayâ ni ransa puengcang a kâmahrawk navah, a ransa puengcang ka rading e patetlah kâoup boihoeh telah dei pouh awh telah ati.
12 Ben-Hadadi alisikia ujumbe huu wakati ambapo yeye na wafalme walikuwa wanakunywa katika mahema yao, na akawaamuru watu wake, “Jiandaeni kushambulia.” Kwa hiyo wakajiandaa kuushambulia mji.
Hahoi, ama hoi siangpahrangnaw ni, kâhatnae rim dawk yamu a nei awh lahunnah, hote lawk hah Benhadad ni a thai teh, a taminaw koe kârakueng awh haw, atipouh. Hottelahoi, kho tuk hanelah a kâcai awh.
13 Wakati ule ule nabii akamjia Ahabu mfalme wa Israeli na kutangaza, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Je, unaona jeshi hili kubwa? Nitalitia mkononi mwako leo, nawe ndipo utajua kwamba mimi ndimi Bwana.’”
Hahoi khenhaw! profet buet touh ni Isarel siangpahrang Ahab koe a cei sin teh, BAWIPA ni hettelah a dei. Hete kapap poung e tamihu hah na hmu maw. Khenhaw! sahnin na kut dawk na poe han, hahoi kai teh BAWIPA doeh tie na panue han telah ati.
14 Ahabu akauliza, “Ni nani atakayefanya hili?” Nabii akamjibu, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Maafisa vijana majemadari wa majimbo watafanya hili.’” Akauliza, “Ni nani atakayeanzisha vita?” Nabii akamjibu, “Ni wewe.”
Ahab ni api hno lahoi maw telah ati, ahni ni BAWIPA ni telah a dei, khobawi a sannaw hah ka hno han telah ati. Ahni ni apinimaw tarantuknae kho a khang han telah ati. Ahni ni nang ni atipouh.
15 Kwa hiyo Ahabu akawaita maafisa vijana majemadari wa majimbo, wanaume 232. Kisha akawakusanya Waisraeli wote waliobaki, jumla yao 7,000.
Hottelah ahni ni ram ukkungnaw hoi a sannaw a pâkhueng teh 232 touh a pha.
16 Wakaondoka wakati wa adhuhuri, Ben-Hadadi na wale wafalme thelathini na wawili walioungana naye walipokuwa katika mahema yao wakilewa.
Kanî tuengtalueng a thun nah a tâco awh teh, hatnavah, Benhadad hoi siangpahrang a ma kabawm hane siangpahrang 32 touh teh, kâhatnae rim dawk yamu a la parui awh.
17 Maafisa vijana majemadari wa majimbo waliondoka kwanza. Wakati huu Ben-Hadadi alikuwa amewatuma wapelelezi, ambao walileta taarifa kusema kwamba, “Askari wanasonga mbele kutoka Samaria.”
Hateh, ram ukkung bawi thoundoun hmaloe a tâco. Benhadad ni kâhmo hane a patoun teh, ahni koe Samaria kho hoi tami ka tâcawt e ao telah a dei pouh.
18 Akasema, “Ikiwa wamekuja kwa amani, wakamate wakiwa hai; ikiwa wamekuja kwa vita, wakamate wakiwa hai.”
Ahni ni roum nahanelah ka tâco e lah awm pawiteh, a hring lahoi man awh. Tarantuk hanelah hoi ka tâcawt hanelah ao haiyah a hring lahoi man awh, telah ati.
19 Wale maafisa vijana majemadari wa majimbo wakatoka nje ya mji jeshi likiwa nyuma yao,
Hottelah ram ukkung thoundoun hah a hnukkâbang e ransa hoi khopui thung hoi a tâco awh.
20 kila mmoja akamuua adui yake. Hii ilisababisha Waaramu kukimbia, huku Waisraeli wakiwafuatia. Lakini Ben-Hadadi mfalme wa Aramu akatoroka akiwa amepanda farasi wake pamoja na baadhi ya wapanda farasi wake.
Hahoi tami pueng ni amae tami lengkaleng a thei awh. Hottelah Sirianaw a yawng awh teh, Isarelnaw ni a pâlei awh. Siria siangpahrang Benhadad teh, marang a kâcui teh marang kâcuinaw hoi a hlout awh.
21 Mfalme wa Israeli akasonga mbele na kushinda farasi na magari ya vita na kusababisha hasara kubwa kwa Waaramu.
Isarel siangpahrang a tâco teh, marang hoi leng hoi a tuk awh teh, Sirianaw moi a thei awh.
22 Baadaye nabii akaja kwa mfalme wa Israeli na kusema, “Jiandae vizuri ufikirie la kufanya, kwa sababu mwakani mfalme wa Aramu atakuja kukushambulia tena.”
Hahoi, profet ni Isarel siangpahrang koe a hrawi teh, ahni koe tha kâlat nateh, na sak hane kahawicalah pouk. Bangkongtetpawiteh, kompawi toteh Siria siangpahrang ni bout na tuk awh han, telah atipouh.
23 Wakati ule ule, maafisa wa mfalme wa Aramu wakamshauri, wakamwambia, “Miungu yao ni miungu ya vilimani. Ndiyo sababu walikuwa na nguvu sana kutuzidi. Lakini kama tukipigana nao katika nchi tambarare, hakika tutawashinda.
Siria siangpahrang e sannaw ni ahni koe, ahnimae cathutnaw teh mon cathutnaw lah ao. Hatdawkvah maimouh hlak a tha ao hnawn awh telah ati awh.
24 Fanya hivi: Waondoe hao wafalme wote thelathini na wawili kutoka nafasi zao na uweke maafisa wengine mahali pao.
Hahoi, hettelah na ti han, siangpahrangnaw hah koung tha nateh, amamae hmuen koe ram ukkung lah hrueng.
25 Ni lazima pia uandae jeshi jingine kama lile ulilopoteza, farasi kwa farasi, gari la vita kwa gari la vita, ili tuweze kupigana na Israeli katika nchi tambarare. Kisha kwa hakika tutakuwa na nguvu kuliko wao.” Akakubaliana nao naye akashughulika ipasavyo.
Hahoi ransa hoi leng na raphoe e yit touh ransa bout sak. Hottelah tanghling dawk na tuk awh vaiteh, ahnimouh hlak thao awh mingming han doeh telah ati awh. A lawk hah a caksak awh teh, hottelah a sak awh.
26 Mwaka uliofuata, majira kama hayo, Ben-Hadadi akawakusanya Waaramu mpaka Afeki kupigana dhidi ya Israeli.
Hahoi, kompawi toteh, hettelah ao. Benhadad ni Sirianaw hah a pâkhueng teh. Isarel tuk hanelah Aphek vah a takhang awh.
27 Baada ya Waisraeli kukusanywa na kupewa mahitaji, walikwenda kukabiliana nao. Waisraeli wakapiga kambi mkabala nao kama makundi mawili madogo ya mbuzi, wakati Waaramu walienea katika nchi yote.
Isarel catounnaw teh a kamkhueng awh teh, rawca a rakueng pouh awh teh, tarantuk hanelah a tâco awh. Isarelnaw hmaehu yitca e hu hni touh e patetlah a kangdue sin awh. Sirianaw teh a ram dawk king a kawi awh.
28 Mtu wa Mungu akaja na kumwambia mfalme wa Israeli, “Hivi ndivyo Bwana asemavyo: ‘Kwa sababu Waaramu wanafikiri Bwana ni Mungu wa vilimani na sio Mungu wa mabondeni, nitatia jeshi hili kubwa mkononi mwako, nawe utajua kuwa mimi ndimi Bwana.’”
Hahoi Cathut e tami ni Isarel siangpahrang koe a hnai teh, ahni koe, BAWIPA ni hettelah a dei, Sirianaw ni Jehovah teh mon cathut lah ao teh, tanghling cathut lah awm hoeh ati awh. Hatdawkvah, hete tami moikapap e naw heh na kut dawk na poe han, hottelah hoi kai heh BAWIPA lah ka o tie hah na panue awh han telah ati.
29 Kwa siku saba walipiga kambi wakitazamana na siku ya saba vita vikaanza. Waisraeli wakawajeruhi askari wa miguu wa Waaramu 100,000 kwa siku moja.
Hnin sari touh thung avoivang lah a tungpup awh. Ahni sari hnin vah a kâtuk awh. Isarelnaw ni Sirianaw hah hnin touh dawk ransa 100, 000 a thei awh.
30 Waliobaki wakatorokea katika mji wa Afeki, mahali ambapo watu 27,000 waliangukiwa na ukuta. Naye Ben-Hadadi akakimbilia mjini na kujificha kwenye chumba cha ndani.
Alouknaw teh Aphek kho thung vah a yawng awh. Kacawie tami 27, 000 touh teh rapan katim e ni koung a ten. Benhadad teh a yawng teh, khopui dawk imrakhan thung a kâen.
31 Maafisa wake wakamwambia, “Tazama, tumesikia kwamba wafalme wa nyumba ya Israeli wana huruma. Twendeni kwa mfalme wa Israeli tukiwa tumevaa nguo za gunia viunoni mwetu na kamba kuzunguka vichwa vyetu. Huenda akakuacha hai.”
A taminaw ni ahni koe khenhaw! Isarelnaw e imthungnaw thung dawk, Siangpahrang heh pahrennae ka tawn e siangpahrangnaw doeh telah ka panue awh. Burihni kâkhu hoi kaimae lû dawk rui hoi pâkhit nateh, Isarel siangpahrang koe na cetkhai yawkaw. Ama ni na pâhlung yawkaw han doeh telah ati awh.
32 Wakiwa wamevaa nguo za gunia viunoni mwao na kamba kuzunguka vichwa vyao, walikwenda kwa mfalme wa Israeli na kusema, “Mtumishi wako Ben-Hadadi anasema: ‘Tafadhali, naomba uniache hai.’” Mfalme akajibu, “Je, bado yuko hai? Yeye ni ndugu yangu.”
Hottelah buri hni a kâkhu awh teh, a lû dawk rui hoi a pâkhi awh teh, Isarel siangpahrang koe a cei awh. Na san Benhadad ni pahren lahoi na pâhlung na seh ati telah ati awh. Ahni ni a hring rah maw, ahni teh ka hmaunawngha nahoehmaw, telah ati.
33 Wale watu wakalipokea jambo lile kama dalili nzuri nao wakawa wepesi kulichukua neno lake wakisema, “Ndiyo, yeye ni ndugu yako Ben-Hadadi!” Mfalme akawaambia, “Nendeni mkamlete.” Ikawa Ben-Hadadi alipokuja, Ahabu akampandisha katika gari lake la vita. Ben-Hadadi akajitolea, akisema,
Hotnaw ni pouknae kahawi hoi a lungthung hoi a dei katang e han doeh ati awh teh, na hmaunawngha Benhadad doeh atipouh awh. Ahni ni cet awh nateh, ahni hah thokhai awh atipouh. Hottelah Benhadad teh a tâco teh, ahni koe a cei teh ahni ni leng dawk a kâcui sak.
34 “Nitairudisha ile miji ambayo baba yangu aliiteka kutoka kwa baba yako. Unaweza kuweka maeneo yako ya soko katika Dameski, kama baba yangu alivyofanya huko Samaria.” Ahabu akasema, “Katika misingi ya mkataba, nitakuachilia huru.” Kwa hiyo akaweka mkataba naye, akamruhusu aende zake.
Benhadad ni ahni koe, apa ni na pa koe kho a la e hah bout na poe han. Hahoi, apa ni Samaria kho hno yonae hmuen a sak e patetlah Damaskas kho vah hno yonae hmuen na sak van han telah ati. Hottelah ahni koe lawkkamnae a sak sak teh a cei sak.
35 Kwa neno la Bwana, mmoja wa wana wa manabii akamwambia mwenzake, “Nipige kwa silaha yako,” lakini yule mtu akakataa.
Hahoi Profet capanaw thung hoi tami buet touh ni, BAWIPA e lawk patetlah a hui koe vah, kai na hem haw telah atipouh. Hote tami ni na hem ngai hoeh atipouh.
36 Kwa hiyo yule nabii akasema, “Kwa sababu hukumtii Bwana, mara tu tutakapoachana utauawa na simba.” Na baada ya yule mtu kuondoka, simba akatokea na kumuua.
Hat toteh, ahni koevah, BAWIPA e lawk na tarawi ngaihoeh dawkvah, khenhaw! nang ni na ceitakhai tahma vah, Sendek ni na kei han atipouh e patetlah a cei teh Sendek ni a hmue teh a kei.
37 Nabii akamkuta mtu mwingine na kumwambia, “Nipige tafadhali.” Kisha yule mtu akampiga na kumjeruhi.
Hahoi alouke tami bout a hmu teh, kai na hem haw atipouh teh ahni ni a hem.
38 Ndipo nabii akaenda na kusimama barabarani akimsubiri mfalme. Akajibadilisha kwa kushusha kitambaa cha kichwani mwake hadi kwenye macho.
Hahoi profet teh a cei teh, lam vah siangpahrang a pawp, a tampa dawk a yeng e hoi mit a huem teh, a phunloukcalah a kâsak.
39 Mfalme alipopita pale, yule nabii akamwita, “Mtumishi wako alikwenda vitani wakati vita vilipopamba moto, mtu mmoja akanijia na mateka akasema, ‘Mlinde mtu huyu. Kama akitoroka itakuwa uhai wako kwa uhai wake, ama vipande 3,000 vya fedha.’
Siangpahrang a tho toteh siangpahrang a kaw teh, na sanpa heh tarankâtuknae hmuen lungui vah ka cei teh, khenhaw! tami buet touh ni kai koe tami buet touh a thokhai. Hete tami heh kahawicalah ring, yawng payon pawiteh, a hringnae yueng lah na hringnae ka hma han, hoehpawiteh, tangka talen buet touh na poe han telah ati.
40 Wakati mtumishi wako alipokuwa na shughuli nyingi hapa na pale, yule mtu akatoweka.” Mfalme wa Israeli akasema, “Hiyo ndiyo hukumu yako. Wewe umeitaja mwenyewe.”
Na sanpa heh puenghoi ka rucat dawkvah, ka yawng takhai telah ati. Isarel siangpahrang ni nang nama ni lawk na tâtueng e patetlah na lathueng vah lawkcengnae ka phat e doeh telah atipouh.
41 Kisha yule nabii akajifunua macho yake haraka, na mfalme wa Israeli akamtambua kama mmoja wa manabii.
Ahni ni minhmai huemnae hah a rading teh, Isarel siangpahrang ni profet buet touh doeh tie hah a panue.
42 Akamwambia mfalme, “Hivi ndivyo Bwana asemavyo: ‘Umemwacha huru mtu niliyekusudia afe. Kwa hiyo ni uhai wako kwa uhai wake, watu wako kwa watu wake.’”
Profet ni ahni koevah, BAWIPA ni hettelah a dei, thoe ka bo e tami na hlout sak dawkvah, ahnie hringnae yueng lah nange hringnae, ahnie taminaw yueng lah nange taminaw na sung sak han telah ati.
43 Kwa uchungu na hasira, mfalme wa Israeli akaenda kwenye jumba lake la kifalme huko Samaria.
Hahoi Isarel siangpahrang teh minhmai mathoe lungmathoe laihoi a ban teh Samaria kho a pha.

< 1 Wafalme 20 >