< Salmos 135 >
1 Deja que el Señor sea alabado. Oh siervos del Señor, alaben el nombre del Señor.
Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2 Tú que estás en la casa del Señor, y en los espacios abiertos de la casa de nuestro Dios,
ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Alaben a Jah, porque él es bueno; hagan melodía a su nombre, porque es agradable.
Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4 Porque el Señor tomó consigo a Jacob, y a Israel por su propiedad.
Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5 Sé que el Señor es grande, y que nuestro Señor es más grande que todos los demás dioses.
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6 El Señor hizo todo lo que le agradaba, en el cielo, en la tierra, en los mares y en todas las aguas profundas.
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7 Él hace que las nieblas suban desde los confines de la tierra; él hace llamas de trueno por la lluvia; Él envía los vientos desde sus almacenes.
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
8 El mató las primicias de Egipto, de hombres y de bestias.
Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9 Envió señales y maravillas en medio de ti, oh Egipto, sobre Faraón y sobre todos sus siervos.
Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Él venció a las grandes naciones, y mató a los reyes fuertes;
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
11 Sehón, rey de los amorreos, y Og, rey de Basán, y todos los reinos de Canaán;
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
12 Y dieron su tierra por heredad, por heredad a Israel su pueblo.
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
13 Oh Señor, tu nombre es eterno; y el recuerdo de ti no tendrá fin.
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14 Porque el Señor juzgará la causa de su pueblo; tiene compasión de sus sirvientes.
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
15 Las imágenes de las naciones son plata y oro, obra de manos de hombres.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16 Tienen bocas, pero ninguna voz; tienen ojos, pero no ven;
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17 Tienen oídos, pero no oyen; y no hay aliento en sus bocas.
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18 Los que los hacen son como ellos; y también lo es todo el que pone su esperanza en ellos.
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19 Alaben a Jehová, oh hijos de Israel; alaben á Jehová, oh hijos de Aarón.
Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20 Alaben al Señor, hijos de Leví, alaben todos los adoradores del Señor.
ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21 Bendito sea el Señor desde Sión, el Señor cuya casa está en Jerusalén, sea alabado Jehová.
Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.