< 1 Crónicas 9 >

1 Así que todo Israel fue enumerado por sus geneologias; están registrados en el libro de los reyes de Israel. Y a Judá se lo llevaron como prisionero a Babilonia por su pecado.
Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli. Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu.
2 Los primeros en retomar su herencia en sus ciudades fueron: Israel, los sacerdotes, los levitas y los sirvientes del templo.
Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.
3 Y en Jerusalén vivían algunos de los hijos de Judá, Benjamín, Efraín y Manasés;
Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:
4 Utai, el hijo de Amiud, el hijo de Omri, el hijo de Imri, el hijo de Bani, de los hijos de Fares, el hijo de Judá.
Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.
5 Y de los silonitas: Asaías el mayor, y sus hijos.
Wazao wa Washiloni waliorudi ni: Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.
6 De los hijos de Zera, Jeuel y sus hermanos, seiscientos noventa.
Kwa wana wa Zera: Yeueli. Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.
7 De los hijos de Benjamín: Salu, hijo de Mesulam, hijo de Hodavias, hijo de Asenua.
Kwa Benyamini walikuwa: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;
8 E Ibneias, hijo de Jeroham, Ela, hijo de Uzi, hijo de Micri, y Mesulam, hijo de Sefatías, hijo de Reuel, hijo de Ibnias;
Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.
9 Y sus hermanos, en la lista de sus generaciones, novecientos cincuenta y seis. Todos estos hombres eran jefes de familia, enumerados por los nombres de sus padres.
Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.
10 Y de los sacerdotes: Jedaías y Joiarib y Jaquin.
Wa jamaa za makuhani walikuwa: Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;
11 Y Azarías, hijo de Hilcías, hijo de Mesulam, hijo de Sadoc, hijo de Meraiot, hijo de Ahitob, jefe principal de la casa de Dios;
Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.
12 Adaía, hijo de Jeroham, hijo de Pasur, hijo de Malquías, y Masai, hijo de Adiel, hijo de Jazera, hijo de Mesulam, hijo de Mesilemit, hijo de Imer.
Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.
13 Y sus hermanos, jefes de sus familias, mil setecientos sesenta: hombres capaces, para él servicio del templo de Dios.
Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.
14 Y de los levitas: Semaías, hijo de Hasub, hijo de Azricam, hijo de Hasabías, de los hijos de Merari;
Jamaa za Walawi walikuwa: Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari.
15 Y Bacbacar, Heres, Galal, Matanias, el hijo de Micaía, el hijo de Zicri, el hijo de Asaf;
Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu.
16 Obadias, hijo de Semaías, hijo de Galal, hijo de Jedutún, y Berequías, hijo de Asa, hijo de Elcana, que vivían en las pequeñas aldeas de los netofatitas.
Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.
17 Y los encargados de las puertas: Salum y Acub, Talmón, Ahiman y sus hermanos: Salum era el jefe.
Mabawabu katika Hekalu la Bwana waliorudi walikuwa: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu.
18 Hasta entonces habían estado en la puerta del rey, al este. Eran guardianes de las puertas de los campamentos de los hijos de Leví.
Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi.
19 Y Salum, el hijo de Coré, el hijo de Ebiasaf, el hijo de Coré, y sus hermanos, de su familia, los coeritas, eran responsables de todo lo que debía hacerse en relación con el orden del culto, guardianes de las puertas del santuario; como sus padres habían tenido el cuidado del santuario del Señor, siendo guardianes de la puerta.
Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya Bwana.
20 En el pasado, Finees, el hijo de Eleazar, había gobernado sobre ellos; ¡Que el Señor esté con él!
Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye Bwana alikuwa pamoja naye:
21 Zacarías, el hijo de Meselemías, era el guardián de la puerta de la tienda de la reunión.
Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.
22 Había doscientos doce cuya misión era mantener la puerta. Estos fueron enumerados por las familias en los lugares del país donde vivían, a quienes David y Samuel, el vidente, colocaron en sus posiciones responsables.
Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli.
23 Así que ellos y sus hijos cuidaban las puertas del Templo del Señor, vigilantes del santuario.
Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya Bwana, nyumba iliyoitwa Hema.
24 Había guardias de las puertas en los cuatro lados, al este, al oeste, al norte y al sur.
Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.
25 Y sus hermanos, en los países donde vivían, debían venir cada siete días para estar con ellos de vez en cuando.
Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba.
26 Porque los cuatro jefes de las puertas, que eran levitas, tenían una posición especial, cuidando las habitaciones y los tesoros de la casa de Dios.
Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu.
27 Sus dormitorios estaban alrededor del templo de Dios, porque eran responsables de cuidarlo y eran responsables de abrirlo cada mañana.
Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.
28 Algunos de ellos cuidaban de los recipientes que se usaban en la adoración, para mantener un registro de ellos cuando entraron y cuando los sacaron nuevamente.
Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa.
29 Y algunos de ellos eran responsables de las cosas santas y de los vasos del Lugar Santísimo, y de la comida y el vino y el aceite y el incienso y las especias.
Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo.
30 Y algunos de los hijos de los sacerdotes fueron responsables de triturar las especias.
Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo.
31 Y Matatías, uno de los levitas, el hijo mayor de Salum el Coreita, fue el responsable de cocinar las tortas para la ofrenda.
Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka.
32 Y algunos hijos de los Coatitas, y de sus hermanos fueron responsables del pan sagrado que fue puesto en orden delante del Señor, para que esté listo cada sábado.
Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.
33 Y estos eran los que ordenaban la música y las canciones, los jefes de las familias de los levitas, que vivían en las habitaciones y estaban libres de otros trabajos, porque su trabajo continuaba día y noche.
Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.
34 Estos eran jefes de familia de los levitas en sus generaciones, hombres principales; vivían en Jerusalén.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
35 Y en Gabaón vivía el padre de Gabaón, Jeiel, cuya esposa se llamaba Maaca;
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka,
36 Y Abdón su hijo mayor, y Zur, Cis, y Baal, Ner y Nadab.
mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
37 Y Gedor y Ahio y Zacarías y Miclot.
Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi.
38 Miclot fue el padre de Simeam. Vivían con sus hermanos en Jerusalén frente a sus hermanos.
Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
39 Y Ner fue el padre de Cis; y Cis fue el padre de Saúl; y Saúl fue el padre de Jonatán y Malquisua, Abinadab y Esbaal.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
40 Y el hijo de Jonatán fue Merib-baal; y Merib-baal fue el padre de Micaia.
Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
41 Y los hijos de Micaia: Pitón, Melec y Tarea y Acaz.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.
42 Y Acaz fue el padre de Jara; y Jara fue el padre de Alemet y Azmavet y Zimri; y Zimri fue el padre de Mosa.
Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
43 Y Mosa fue el padre de Bina; Y Refaias era su hijo, Elasa su hijo, Azel su hijo.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
44 Y Azel tuvo seis hijos, cuyos nombres son: Azricam, su hijo mayor, Bocru, Ismael, Searias Obadias y Hanan: estos fueron los hijos de Azel.
Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.

< 1 Crónicas 9 >