< Job 19 >

1 Entonces Job respondió,
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 “Hasta cuándo me atormentarás, y aplastarme con palabras?
lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
3 Me has reprochado diez veces. No se avergüenza de atacarme.
Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
4 Si es cierto que me he equivocado, mi error sigue siendo yo mismo.
Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
5 Si de verdad os engrandecéis contra mí, y alega contra mí mi reproche,
Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
6 saben ahora que Dios me ha subvertido, y me ha rodeado con su red.
kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
7 “He aquí que clamo por el mal, pero no soy escuchado. Pido ayuda, pero no hay justicia.
Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
8 Ha amurallado mi camino para que no pueda pasar, y ha puesto oscuridad en mis caminos.
Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
9 Me ha despojado de mi gloria, y me han quitado la corona de la cabeza.
Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
10 Me ha destrozado por todos lados, y me he ido. Ha arrancado mi esperanza como un árbol.
Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
11 También ha encendido su ira contra mí. Me cuenta entre sus adversarios.
Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
12 Sus tropas avanzan juntas, construir una rampa de asedio contra mí, y acampan alrededor de mi tienda.
Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
13 “Ha puesto a mis hermanos lejos de mí. Mis conocidos están totalmente alejados de mí.
Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
14 Mis parientes se han ido. Mis amigos conocidos me han olvidado.
Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
15 Los que habitan en mi casa y mis criadas me consideran un extraño. Soy un extranjero a sus ojos.
Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
16 Llamo a mi siervo y no me responde. Le ruego con la boca.
Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
17 Mi aliento es ofensivo para mi esposa. Soy repugnante para los hijos de mi propia madre.
Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
18 Hasta los niños pequeños me desprecian. Si me levanto, hablan contra mí.
Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
19 Todos mis amigos conocidos me aborrecen. Los que yo amaba se han vuelto contra mí.
Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
20 Mis huesos se pegan a mi piel y a mi carne. He escapado por los pelos.
Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
21 “Tened piedad de mí. Tened piedad de mí, amigos míos, porque la mano de Dios me ha tocado.
Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
22 ¿Por qué me persigues como a Dios? y no están satisfechos con mi carne?
Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
23 “¡Oh, si mis palabras estuvieran ahora escritas! ¡Oh, que estén inscritos en un libro!
Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
24 Que con una pluma de hierro y plomo ¡quedaron grabados en la roca para siempre!
Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
25 Pero en cuanto a mí, sé que mi Redentor vive. Al final, se parará sobre la tierra.
Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
26 Después de que mi piel sea destruida, entonces veré a Dios en mi carne,
baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
27 a quien yo, incluso yo, veré de mi lado. Mis ojos verán, y no como un extraño. “Mi corazón se consume dentro de mí.
Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
28 Si decís: “¡Cómo le vamos a perseguir! porque la raíz del asunto se encuentra en mí,
Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
29 tener miedo de la espada, porque la ira trae los castigos de la espada, para que sepas que hay un juicio”.
ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”

< Job 19 >