< Job 18 >

1 Entonces Bildad el Suhita respondió,
Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
2 “¿Hasta cuándo vas a buscar palabras? Considera, y después hablaremos.
Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
3 Por qué se nos cuenta como animales, que se han vuelto inmundos a tus ojos?
Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
4 Tú que te desgarras en tu ira, ¿se abandonará la tierra por ti? ¿O la roca será removida de su lugar?
Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
5 “Sí, la luz de los impíos se apagará. La chispa de su fuego no brillará.
Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
6 La luz será oscura en su tienda. Su lámpara sobre él se apagará.
Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
7 Los pasos de su fuerza se acortarán. Su propio consejo le hará caer.
Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
8 Porque es arrojado a la red por sus propios pies, y se adentra en su malla.
Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
9 Una trampa lo tomará por el talón. Una trampa lo atrapará.
Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
10 Un lazo está escondido para él en la tierra, una trampa para él en el camino.
Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
11 Los terrores lo harán temer por todos lados, y le perseguirá los talones.
Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
12 Su fuerza será famélica. Calamity estará listo a su lado.
Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
13 Los miembros de su cuerpo serán devorados. El primogénito de la muerte devorará sus miembros.
Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
14 Será desarraigado de la seguridad de su tienda. Será llevado ante el rey de los terrores.
Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
15 En su tienda habitará lo que no es suyo. El azufre será esparcido sobre su morada.
Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
16 Sus raíces se secarán por debajo. Su rama será cortada por encima.
Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
17 Su memoria perecerá de la tierra. No tendrá nombre en la calle.
Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
18 Será expulsado de la luz a las tinieblas, y expulsado del mundo.
Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
19 No tendrá ni hijo ni nieto en su pueblo, ni que queden restos en el lugar donde vivía.
Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
20 Los que vengan después se asombrarán de su día, como los que fueron antes se asustaron.
Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
21 Ciertamente, tales son las moradas de los injustos. Este es el lugar del que no conoce a Dios”.
Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”

< Job 18 >