< Salmos 29 >

1 Un Salmo de David. Honren al Señor, hijos de Dios, honren su gloria y su poder.
Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
2 Honren al Señor por su glorioso carácter, inclínense con reverencia al Señor en su majestuosa santidad.
Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
3 La voz del Señor se escucha sobre los mares. El Dios de gloria truena. Los truenos del Señor se escuchan sobre el vasto océano.
Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
4 La voz del Señor es poderosa; la voz del Señor es majestuosa;
Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
5 la voz del Señor destruye los cedros, incluso rompe los cedros del Líbano.
Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
6 Hace que las montañas del Líbano salten como un ternero, y el monte Hermon como un joven buey salvaje.
Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
7 La voz del Señor resplandece como rayos de luz.
Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
8 La voz del Señor causa terremotos en el desierto; el desierto de Kadesh tiembla.
Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
9 La voz del Señor hace que la cierva embarazada entre en labores de parto; desnuda los bosques. En su Templo todos los adoradores cantan, “¡Gloria!”
Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
10 El Señor se sienta en su trono sobre las aguas tormentosas; el Señor es el Rey eternal.
Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
11 El Señor le da fuerza a su pueblo; el Señor los bendice con paz.
Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.

< Salmos 29 >