< Salmos 132 >

1 Un cántico de los peregrinos que van a Jerusalén. Señor, acuérdate de David, y todo por lo que él pasó.
Yahwe, kwa ajili ya Daudi kumbuka mateso yake yote.
2 Él hizo una promesa al Señor, un pacto al Dios de Jacob:
Kumbuka ndiye aliye mwapia Yahwe, aliweka nadhiri kwa Shujaa wa Yakobo.
3 “No iré a casa, no iré a la cama,
Alisema, sitaingia nyumbani mwangu wala sitaenda kitandani mwangu,
4 no me iré a dormir, ni tomaré una siesta,
sitayapa macho yangu usingizi wala kope zangu kupumzika
5 hasta que haya encontrado un lugar donde el Señor pueda vivir, un hogar para el Dios de Jacob”.
mpaka nitakapopata mahali kwa ajili ya Yahwe, na maskani kwa ajili ya Shujaa wa Yakobo.”
6 En Efrata, oímos hablar del arca del pacto, y la encontramos en los campos de Yagar.
Tazama tulisikia kuhusu hilo katika Efrata; tuliipata katika konde la Yearimu.
7 Vayamos al lugar donde mora el Señor y postrémonos ante sus pies en adoración.
Tutaingia katika maskani ya Mungu; tutasujudu miguuni pake.
8 Ven, Señor, y entra a tu casa, tú y tu arca poderosa.
Inuka, Ee Yahwe, uje mahali pako pa kupumzika, wewe na sanduku la nguvu zako!
9 Que tus sacerdotes se revistan de bondad; que los que te son leales griten de alegría.
Makuhani wako na wavikwe uadilifu; waaminifu wako washangilie.
10 Por el bien David, tu siervo, no le des a la espalda a tu ungido.
Kwa ajili ya mtumishi wako Daudi, usimuache mfalme wako uliye mpaka mafuta.
11 El Señor le hizo una promesa solemne a David, una que él una rompería, “pondré a uno de tus descendientes en tu trono.
Yahwe alimwapia Daudi kiapo cha uhakika, kiapo cha uhakika ambacho hatakivunja: “Nitamuweka mmoja wa wazawa wako kwenye kiti chako cha enzi.
12 Si tus hijos siguen mis leyes y los acuerdos que les enseñe, también sus descendientes se sentarán en el trono para siempre”.
Kama wana wako watalishika agano langu na sheria ambazo nitawafundisha, watoto wao pia watakaa kwenye kiti chako cha enzi milele.”
13 Porque el Señor ha escogido a Sión, y quiso hacer su trono allí, diciendo:
Hakika Yahwe ameichagua Sayuni, ameitamani kwa ajili ya makao yake.
14 “Esta siempre será mi casa; aquí es donde he de morar.
“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele. Nitaishi hapa, kwa kuwa ninapatamani.
15 Proveeré a las personas de la ciudad todo lo que necesiten; alimentaré al pobre.
Nitapabariki sana kwa mahitaji. Nitawatosheleza maskini wake kwa mkate.
16 Revestiré a sus sacerdotes con salvación; y los que le son leales gritarán de alegría.
Nitawavisha makuhani wake kwa wokovu, waaminifu wake watashangilia kwa furaha.
17 Haré el linaje de David aún más poderoso. He preparado una lámpara para mi ungido.
Hapo nitachipusha pembe kwa ajili ya Daudi na kuweka taa juu kwa ajili ya mpakwa mafuta wangu.
18 Humillaré a sus enemigos, pero las coronas que él use brillarán fuertemente”.
Nitawavisha adui kwa aibu, bali juu yake taji yake itang'aa.”

< Salmos 132 >