< Kuyubulula 9 >

1 Neye mungelo wa cisanu walalilisha tolompita yakendi. Ndalabona lunyenyenshi lwalesa kuwila panshi, kayi lwalapewa cakucalwisha ku cisengu citali. (Abyssos g12)
Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos g12)
2 Lunyenyenshi lusa mpolwalacalula ku cisengu, mwalapula bwishi bulyeti bwishi bwa bufuni bunene, lisuba ne mwilu byonse byalashipa cebo ca bwishi bwalafuma mu cisengu. (Abyssos g12)
Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos g12)
3 Mubwishi mwalapula bisoshi byalesula cishi conse ca panshi, kayi byalapewa ngofu shilyeti shikute nkalang'ongo.
Ndipo katika ule moshi wakatoka nzige wakaenda juu ya nchi, nao wakapewa nguvu kama zile za nge wa duniani.
4 Bisoshi ibyo balabyambileti, kabitononga mila, nambi bitondo nambi mumena uli wonse, nsombi bantu babula cishibisho ca Lesa cadindwa pa nkumo shabo.
Wakaambiwa wasidhuru nyasi ya nchi, wala mmea wala mti wowote, bali wawadhuru tu wale watu ambao hawana muhuri wa Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao.
5 Ibi bisoshi nkabyalasuminishiwa kushina bantu, nsombi kubapensha kwa myenshi isanu. Bululu bwa kupenshewa uko kwalikubeti bululu bwa kulumwa kwa nkalang'ongo.
Wakaruhusiwa kuwatesa kwa muda wa miezi mitano, lakini wasiwaue. Uchungu wa kuuma kwao ulikuwa kama ule wa mtu aumwapo na nge.
6 Mukati mwa myenshi isanu iyo bantu nibakalangaule cela kubashina, nsombi nteti cikacanike sobwe. Nibakayande kufwa, nsombi nalo lufu nilukabafwambe.
Katika siku hizo watu watatafuta kifo lakini hawatakiona, watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
7 Bisoshi byalikuboneketi mahaki alibambila nkondo, pa mitwi yabyo palikuba byalikuboneketi ngowani sha golide, kayi kucinso byalikuboneketi cinso ca muntu.
Wale nzige walikuwa na umbo kama la farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
8 Byalikukute mishishi ilyeti ya batukashi, meno abyo alikubeti meno a nkalamu.
Walikuwa na nywele kama za wanawake, na meno yao yalikuwa kama ya simba.
9 Byali byabyo byali cinjilishiwa ne bintu byalikuboneketi byela byali kusebenseshewa pa nkondo, kulila kwa mapepe akendi kwalikubeti mang'ola angi alakwelewanga ne mahaki alafwambilinga ku nkondo.
Walikuwa na dirii kama za chuma, na sauti za mabawa yao zilikuwa kama ngurumo za farasi wengi na magari mengi yakikimbilia vitani.
10 Mu micila ya bisoshibyo emwalikuba bululu bulyeti bwa nkalang'ongo, micila yabyo eyalikukute ngofu ya kupensha bantu kwa myenshi isanu.
Walikuwa na mikia yenye miiba ya kuumia kama nge. Nguvu yao ya kutesa watu kwa huo muda wa miezi mitano ilikuwa katika hiyo mikia yao.
11 Bikute mwami ukute kubyendelesha, uyu emungelo ukute ngofu pa cisengu citali. Mu Cihebeli lina lyakendi ni Abadoni, mu Cigiliki lina lyakendi ni Apolyoni. Lilapandululungeti, “Shikushina.” (Abyssos g12)
Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos g12)
12 Malele akutanguna alapiti, nomba kayi kulashala malele abili alesanga.
Ole ya kwanza imepita, bado nyingine mbili zinakuja.
13 Lino mungelo wa cisanu ne umo neye walalilisha tolompita yakendi. Ndalanyumfwa maswi kufuma ku mbasu shina sha nteme ya golide yalikuba pantangu pa Lesa.
Malaika wa sita akaipiga tarumbeta yake, nami nikasikia sauti ikitoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele za Mungu.
14 Awo maswi alikwambila mungelo wa cisanu ne umo walikukute tolompita kambeti, “Sungulula bangelo bana basungwa pa mulonga unene wa Filate!”
Ile sauti ikamwambia yule malaika wa sita mwenye tarumbeta, “Wafungulie wale malaika wanne waliofungwa kwenye ule mto mkubwa Frati.”
15 Neye mungelo wacisanu ne umo walabasungulula basa bangelo bana, kwambeti benga bashine mbasu shitatu sha bantu bonse. Abo bangelo, Lesa walababambila ola, busuba, mwenshi kayi ne caka cakwinseco.
Basi wale malaika wanne, waliokuwa wamewekwa tayari kwa ajili ya saa hiyo, na siku hiyo, na mwezi huo, na mwaka huo ili wawaue theluthi ya wanadamu wakafunguliwa.
16 Kayi walang'ambila cibelengelo ca makoto abashilikali batanta pa mahaki ankondo ali myanda ibili ya bina.
Idadi ya majeshi wapanda farasi ilikuwa 200,000,000. Nilisikia idadi yao.
17 Mu cimboni mboni, ndalabona mahaki ne batantapo balikuba bafwala byakulicingilisha bya cela byafubeleti mulilo, ne bya shipuluka kayi ne byakateshi eti sulufule. Mitwi ya mahaki yalikubeti mitwi ya nkalamu, mulilo ne bwishi kayi byalikufuma mu milomo.
Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika maono yangu: Wapanda farasi walivaa dirii vifuani zenye rangi nyekundu sana kama ya moto na yakuti samawi na kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vichwa vya simba, na moto, moshi na kiberiti vilitoka vinywani mwao.
18 Mbasu shitatu sha mushobo wa bantu shalafwa ku malwashi atatu, awa ni mulilo ne bwishi kayi ne sulufule, byalikufuma mu milomo ya mahaki.
Theluthi ya wanadamu wakauawa kwa mapigo hayo matatu, yaani, huo moto, moshi na kiberiti, vilivyotoka kwenye vinywa vya hao farasi.
19 Pakwinga ngofu sha mahaki awa, shalikuba mu milomo kayi ne mu micila yasho. micila yasho yalikubeti mitwi ya njoka kwambeti ipenshe bantu.
Nguvu za hao farasi zilikuwa katika vinywa vyao na kwenye mikia yao, kwa sababu mikia yao ilikuwa kama nyoka, yenye vichwa ambayo waliitumia kudhuru.
20 Bantu balashala balabula kufwa ku malwashi awa, baliya kuleka kwinsa byaipa byakukambilila bintu mbyebalabamba ne makasa abo. Baliya kuleka kukambilila mishimu yaipa, tumbwanga twa golide, twasilifa ne twamukuba ne twamabwe kayi ne twabitondo. Utu tonse nkatubono, nkatunyumfu nambi kwenda.
Wanadamu waliosalia, ambao hawakuuawa katika mapigo hayo, bado walikataa kutubia kazi za mikono yao na hawakuacha kuabudu mashetani na sanamu za dhahabu, za fedha, za shaba, za mawe na za miti, ambazo haziwezi kuona, kusikia wala kutembea.
21 Bantu aba baliya kulapa bwipishi bwakushinana umo ne munendi, nambi kuleka buloshi, nambi kuleka bufule butambiki, nambi bukabwalala.
Wala hawakutubu na kuacha matendo yao ya uuaji, uchawi, uasherati wala wizi wao.

< Kuyubulula 9 >