< Kuyubulula 8 >
1 Mwana Mbelele mpwalakumatula cidindo ca cisanu ne cibili, kwilu konse kwalamwena tonto kwa cintimbi ca ola.
Mwana-Kondoo alipoivunja ile lakiri ya saba, pakawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.
2 Ndalabona kayi bangelo basanu ne babili bemana pantangu pa Lesa kabapewa matolompita asanu ne abili.
Nami nikawaona wale malaika saba wanaosimama mbele za Mungu, nao wakapewa tarumbeta saba.
3 Mungelo naumbi walesa kwimana pa nteme kakute cakutentelamo lubani, walapewa lubani lwinji kusankanya pa mipailo ya bantu ba Lesa, ne kwitwala pa nteme ya golide ili pantangu pa Cipuna ca Bwami.
Malaika mwingine aliyekuwa na chetezo cha dhahabu, akaja na kusimama mbele ya madhabahu. Akapewa uvumba mwingi ili autoe pamoja na maombi ya watakatifu wote, juu ya yale madhabahu ya dhahabu yaliyo mbele ya kile kiti cha enzi.
4 Bwishi bwa lubani lwalikutentwa lwalasankana pamo ne mipailo ya bantu ba Lesa kufuma mu makasa a mungelo walikuba wemana pantangu pa Lesa.
Ule moshi wa uvumba pamoja na yale maombi ya watakatifu, vikapanda juu mbele za Mungu, kutoka mkononi mwa huyo malaika.
5 Lino mungelo walamanta cakutentelamo lubani ne kucisusha makalangasha a mulilo wa panteme ne kwawala pa cishi ca panshi. Palaboneka kutatala ne kubyasha byasha ne mutuntumo wa inshi.
Kisha yule malaika akachukua kile chetezo, akakijaza moto kutoka kwa yale madhabahu, akautupa juu ya dunia. Pakatokea sauti za radi, ngurumo, umeme wa radi na tetemeko la ardhi.
6 Bangelo basa basanu ne babili balikukute matolompita asanu ne abili balalibambileti batatike kwalilisha.
Basi wale malaika saba waliokuwa na zile tarumbeta saba wakajiandaa kuzipiga.
7 Mungelo wakutanguna walalilisha tolompita yakendi. Imfula ya mabwe ne mulilo wasankana ne milopa yalapomokela pa cishi ca panshi. Mbasu shitatu sha cishi ca panshi, mbasu shitatu sha bitondo, kayi ne mila yamwemfu yonse yalapya.
Malaika wa kwanza akaipiga tarumbeta yake, pakatokea mvua ya mawe na moto uliochanganyika na damu, navyo vikatupwa kwa nguvu juu ya nchi. Na theluthi ya dunia ikateketea, theluthi ya miti ikateketea, na nyasi yote mbichi ikateketea.
8 Mungelo watubili walalilisha tolompita yakendi. Cintu calikuboneketi mulundu unene walikupya mulilo walawalwa mu lwenje. Mbasu shitatu sha lwenje shalasanduka milopa,
Malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake na kitu kama mlima mkubwa unaowaka moto kikatupwa baharini. Theluthi ya bahari ikawa damu,
9 mbasu shitatu sha byabuyumi byalafwila mu lwenje, mbasu shitatu sha mato anene shalapasauka.
theluthi ya viumbe vyenye uhai viishivyo baharini vikafa na theluthi ya meli zikaharibiwa.
10 Mungelo wa citatu walalilisha tolompita yakendi. Lunyenyenshi lunene lwalikuboneketi lampi lwalalaka kwilu. Lwalalakila pa mbasu shitatu sha milonga ne pa tusensa twa menshi.
Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake, na nyota kubwa iliyokuwa ikiwaka kama taa ikaanguka toka angani, ikaangukia theluthi ya mito na chemchemi za maji.
11 Lina lya lunyenyenshi ulu ni “Kulula”. Mbasu shitatu sha menshi shalalula, bantu bangi balanwa menshi balafwa pakwinga alalula.
Nyota hiyo inaitwa Uchungu. Theluthi ya maji yakawa machungu na watu wengi wakafa kutokana na maji hayo kwa maana yalikuwa machungu.
12 Mungelo wa cina walalilisha tolompita yakendi. Mbasu shitatu sha lisuba, mwenshi ne nyenyenshi byonse byalafwa cakwinseti byalalilwa kumunikila mbasu shitatu sha cindi. Nkakwalaba lumwi mu mbasu shitatu sha cindi ca munshi, kayi mbasu shitatu sha cindi ca mashiku.
Kisha malaika wa nne akaipiga tarumbeta yake, na theluthi ya jua, theluthi ya mwezi na theluthi ya nyota zikapigwa. Kwa hiyo theluthi moja ya mwanga ikawa giza. Theluthi ya mchana ikawa haina mwanga na pia theluthi ya usiku.
13 Kandicilangishisha, ndalabona ne kunyumfwa cikumbula walikuluka mwilu mu mulenga lenga kompololeti, “Malele! Malele! Malele ku bantu bekala pa cishi ca panshi cebo ca bangelo batatu batana balilisha matolompita abo!”
Nilipokuwa tena nikitazama, nikamsikia tai mmoja akipiga kelele kwa sauti kuu wakati akiruka katikati ya mbingu, akisema, “Ole! Ole! Ole wa watu waishio duniani, kwa sababu ya tarumbeta ambazo malaika hao wengine watatu wanakaribia kuzipiga!”