< Kuyubulula 22 +
1 Lino mungelo walandesha mulonga wa menshi eshikupa buyumi. Aswepeti gilasi kapupa kufumina panshi pa cipuna ca Bwami ca Lesa ne ca Mwana Mbelele.
Kisha malaika akanionesha mto wa maji ya uzima, maji yalikuwa ya mng'ao kama wa bilauri. Yalikuwa yakitiririka kutoka katika kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana Kondoo
2 Mulonga uwo walikuba wantabankana pa mukwakwa wa mu munshi. Kutala konse konse kwa mulonga kwalikuba citondo cikute bisepo byeshikupa buyumi. Byalikusema bisepo kankanda kamo pa mwenshi kwa myenshi likumi ne ibili. Mishobo pacishi capanshi nibakasebenseshe matewu kushilikisha malwashi abo.
Kupitia katikati ya mtaa wa mji. Katika kila pembe ya mto palikuwa na mti wa uzima, unaozaa aina kumi na mbili za matunda, na huzaa matunda kila mwezi. Majani ya mti ni kwa ajili ya uponyaji wa mataifa.
3 Paliya cintu cashinganwa ne Lesa etici kacanike mumunshi uwo. Pakwinga Cipuna ca Lesa ne ca Mwana mbelele nicikabenga mukati mu munshi, Umo basebenshi bakendi mweshi bakamukambililenga.
Wala hapatakuwa na laana yoyote tena. Kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana Kondoo kitakuwemo ndani ya mji, na watumishi wake watamtumikia.
4 Kayi nibakamubone menso ne menso, kayi lina lyakendi nilikalembwe pa nkumo pabo.
Watamuona uso wake, na jina lake litakuwa juu ya vipaji vya nyuso zao.
5 Mashiku nteti akabeko sobwe nambi mumuni wa lampi nambi wa lisuba, pakwinga Mwami Lesa nakabe mumuni wabo. Nibakendelesheti bami kwamuyayaya. (aiōn )
Hapatakuwa na usiku tena; wala hapatakuwa na hitaji la mwanga wa taa au jua kwa sababu Bwana Mungu ataangaza juu yao. Nao watatawala milele na milele. (aiōn )
6 Lino mungelo walang'ambileti, “Maswi onse ngolanyumfu na ncinencine kayi ashomeka. Kayi Mwami Lesa ukute kupa bashinshimi bakendi Mushimu wakendi Uswepa, ewalatuma mungelo kuya kwishibisha basebenshi ba Lesa kwambeti beshibe bintu byeshi binshike calinolino apa.”
Malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana Mungu wa roho za manabii alimtuma malaika wake kuwaonesha watumishi wake kitakachotokea hivi karibuni.”
7 Yesu lambangeti, “Nyumfwani! Ndesanga lino lino! Bakute colwe bantu balanyumfunga maswi abushinshimi ali mu libuku ili.”
“Tazama! Ninakuja upesi! Amebarikiwa yeye anayeyatii maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
8 Njame Yohane ndalanyumfwa ne kubibona ibi bintu. Mpondalabinyumfwa ne kubibona ndalawa panshi pa myendo ya mungelo walikundesha ibi bintu. Neco ndalayandeti ndi mukambilile.
Mimi, Yohana, ndiye niliyesikia na kuona mambo haya. Nilipoyasikia na kuyaona, nilianguka chini mwenyewe mbele ya miguu ya malaika kumwabudu, malaika aliyenionesha mambo haya.
9 Nsombi neye mungelo walang'ambileti, “Sobwe kotenseco, ame ndemusebenshi munobe pamo ne banse bobe bashinshimi kayi ne bonse balakonkelenga maswi ali mu libuku ili. Kambilila Lesa!”
Akaniambia, “Usifanye hivyo! Mimi ni mtumishi mwenzako, pamoja na ndugu zako manabii, pamoja na wale wanaotii maneno ya kitabu hiki. Mwabudu Mungu!”
10 Kayi walang'ambileti, “Maswi abushinshimi ali mu libuku ili nakwesha kwasoleka, pakwinga cindi cakwinshika bintu ibi cilipepi.
Akaniambia, “Usiyatie muhuri maneno ya unabii wa kitabu hiki, maana wakati umekaribia.
11 Muntu uyo wakakatilowa kwinsa byaipa apitilishe, neye wasafwana apitilishe kuba wasafwana. Nomba neye walulama apitilishe kwinsa byaina, neye waswepa apitilishe kuba waswepa.”
Asiye mwenye haki, aendelee kutokuwa mwenye haki. Ambaye ni mchafu kimaadili, na aendelee kuwa mchafu kimaadili. Mwenye haki, na aendelee kuwa mwenye haki. Aliye mtakatifu, na aendelee kuwa mtakatifu.”
12 Yesu lambangeti, “Kamubonani! Ndesanga lino lino! nkute cilambo cakupa uliyense kwelana ne ncito nshalikwinsa.
“Tazama! Naja upesi. Ujira wangu uko pamoja nami, kumlipa kila mmoja kulingana na alichokifanya.
13 Ame njame mutanshi kayi wakunyuma, wakutanguna kayi njame wakupwililisha.”
Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
14 Bakute colwe bacapa minganjo yabo kwambeti babe ne colwe cakulyako bisepo bya citondo ca buyumi ne kuya kwingila pa cishinga ca munshi.
Wamebarikiwa wale waoshao mavazi yao ili kwamba wapate haki ya kula kutoka katika mti wa uzima na kuuingia mji kupitia malangoni.
15 Nomba bantu bakute bwikalo bulyeti bwa ba kabwa ne beshikwinsa sha buloshi ne sha bupombo ne bukapondo ne beshikukambilila tumbwanga kayi ne bandemi shibili nteti bakengile mumunshi uwo pimbi.
Nje kuna mbwa, wachawi, wazinzi, wauwaji, waabudu sanamu, na kila apendaye na ashuhudiaye ushahidi wa uongo.
16 “Ame Yesu njame ndalatuma mungelo kwisa kumwambila amwe bintu ibi amwe muli mu mibungano. Njame wa mu mukowa wa Dafeti, njame ntanda, nyenyenshi ya kumaca.”
Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia kuhusu mambo haya kwa makanisa. Mimi ni mzizi wa uzao wa Daudi, Nyota ya Asubuhi ing'aayo.”
17 Mushimu Uswepa ne nabwinga wa Mwana Mbelele balambangeti, “Kamwisani!” Muntu lanyumfunga neye ambeti, “Kamwisani!” Muntu lanyumfunga nyotwa ese atambule menshi abuyumi abula mulo.
Roho na Bibi harusi asema, “Njoo!” Na yeye asikiaye aseme, “Njoo!” Yeyote aliye na kiu, na aje, na yeyote anayetamani, na apate maji ya uzima bure.
18 Ame Yohane ndacenjeshenga muntu uliyense lanyumfunga maswi abushinshimi ali mu libuku ili. Na muntu ubikilapo pamaswi awa, Neye Lesa nakamubikileko cisubulo ca malwashi ambwa mu libuku ili.
Namshuhudia kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Kama yeyote ataongeza katika hayo, Mungu atamuongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
19 Kayi na muntu uliyense wela kufunyako maswi abushinshimi bwa mu libuku ili, neye Lesa nakafunyeko colwe cakulya bisepo bya citondo ca buyumi, kayi nteti akengile mu munshi waswepa mbuli ncecalembwa mu libuku ili.
Kama mtu yeyote atayaondoa maneno ya kitabu hiki cha unabii, Mungu ataondoa sehemu yake katika mti wa uzima na katika mji mtakatifu, ambayo habari zake zimeandikwa ndani ya kitabu hiki.
20 Uyo lenshilinga bukamboni ku bintu ibi lambangeti, “Cakubinga! Ndesanga lino lino!” Kacibeco! Kamwisani Mwami Yesu!
Yeye ashuhudiaye mambo haya asema, “Ndiyo! Naja upesi.” Amina! Njoo, Bwana Yesu!
21 Kwina moyo kwa Mwami Yesu shibe nenu mwense. Ameni.
Neema ya Bwana Yesu iwe na kila mtu. Amina.