< Tito 3 >

1 Ubanushe bantu kwambeti babenga babombelela kubatangunishi ne bendeleshi babo ne kubanyumfwila kayi nekulibambila kwinsa mulimo waina,
Uwakumbushe kuwanyenyekea viongozi na mamlaka, kuwatii na kuwa tayari katika kila kazi njema.
2 kayi batambanga byaipa pa banabo nambi kuyambana, nsombi kuba babombelela ne kulesha bulemu kumuntu uliyense.
Wakumbushe kutokumtendea mtu yeyote ubaya, waepuke majibizano, wawape nafasi watu wengine katika kufanya maamuzi, na kuonesha unyenyekevu kwa watu wote.
3 Pakwinga nenjafwe tobene twalikuba baluya, batanyumfwili kayi balubila. Twalikuba basha balunkumbwa lwa mubili kayi ne byakulikondwelesha byapusana pusana. Twalikwikala mubuyumi bwa miyeyo yakupatana ne munyono. Bantu balikuba batupata kayi nenjafwe twalikuba twabapata.
Kwa kuwa sisi pia tulikuwa na mawazo potofu na wakaidi. Tulikuwa upotevuni na tulifanywa watumwa kwa tamaa nyingi na starehe. Tuliishi katika wivu na uovu. Tulichukiza na kuchukiana.
4 Nsombi inkumbo ne kuyanda kwa Lesa Mupulushi wetu mpobyalayubululwa,
Lakini wakati huruma ya Mungu mwokozi wetu na upendo wake kwa wanadamu ulipoonekana,
5 walatupulusha. Nkalenseco pacebo cakwambeti twalensa bintu byaina, nsombi pacebo ca inkumbo shakendi. Walatupulusha kupitila mukusukiwa kwa kusemwa lino kayi ne buyumi bwa lino lino mungofu sha Mushimu Uswepa.
haikuwa kwa matendo yetu ya haki tuliyofanya, bali alituokoa kwa neema yake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa upya na katika kufanywa upya kwa Roho Mtakatifu.
6 Lesa walatupa Mushimu Uswepa camakasa abili kupitila muli Yesu Klistu Mupulushi wetu.
Mungu alimwaga Roho Mtakatifu kwa wingi juu yetu kupitia Yesu Kristo mwokozi wetu.
7 Walenseco kwambeti munkumbo shakendi tululamikwe pamenso a Lesa ne kwingila mubuyumi butapu ubo mbotulapembelelenga. (aiōnios g166)
Alifanya hivi ili kwamba, tukiwa tumehesabiwa haki kwa neema yake, tuwe washirika katika uhakika wa maisha ya milele. (aiōnios g166)
8 Makani awa nakubinga. Ndayandanga kwambeti makani awa wakambauke cangofu kwambeti bashome muli Lesa ne kulibenga kwinsa milimo yaina, iyo yeshikukondwelesha ne kunyamfwa bantu bonse.
Huu ni ujumbe wa kuaminika. Ninawataka myanene kwa ujasiri mambo haya, ili kwamba wale wanaomwamini Mungu wawe na dhamira juu ya kazi nzuri ambayo aliiweka mbele yao. Mambo haya ni mazuri na yanafaida kwa ajili ya watu wote.
9 Neco obe fumamo mubuyumi bwa kupikishana kwabuluya, kuyanda kulangaula mikondo ya mikowa, nekwambana, kayi ne kupikishanya pa bintu bya Milawo, pakwinga ibi nkabikute kunyamfwa kayi kuliya mobibelele.
Lakini jiepusheni na mijadala ya kipumbavu, nasaba, mashindano, na migongano kuhusu sheria. Mambo hayo hayana maana wala faida.
10 Muntu weshikuleta lupatuko pakati penu umucenjeshe mankanda abili, kufuma apo umusule.
Mkataeni yeyote anayesababisha migawanyiko kati yenu. Baada ya onyo moja ama mawili,
11 Ucinshi muntu wamushoboyu ni wazelezeka kayi kuzelezeka kwakendi kulalesheti walubila.
jueni kwamba mtu wa jinsi hiyo ameiacha njia iliyo sahihi na anatenda dhambi na kujihukumu mwenyewe.
12 Ndakatumunga Atema ne Tukiko kuli njobe, ukeleshe cangofu kwisa kuli njame ku Nikopoli, pakwinga enkondayeyenga akwikala mucindi ca mupewo.
Nitakapomtuma kwako Artemi au Tikiko, harakisha uje kwangu huku Nikopoli ambapo nimeamua kukaa kipindi cha baridi.
13 Weleshe cangofu kunyamfwa Zena shimilawo, ne Apolo, pabulwendo bwabo, nekuboneti bintu byonse byayandika kuli endibo bilakwana.
Harakisha na umtume Zena mtaalamu katika sheria, na Apolo, pasipo kupungukiwa na kitu.
14 Bantu betu belela kwiya kulibenga kwinsa bintu byaina, kwambeti banyamfwilishe mubintu bilayandikinga, kutambeti bekalenga mubuyumi bwabula pindu.
Watu wetu lazima wajifunze kujishughulisha katika kazi nzuri ambazo zinagusa mahitaji muhimu ili kwamba wasije wakawa wasiozaa matunda.
15 Bonse mbotuli nabo balamupanga mitende. Utupeleko mitende banetu bashoma, luse lwa Lesa lube nenjamwe mwense.
Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale watupendao katika imani. Neema iwe nanyi nyote.

< Tito 3 >