< Bahebeli 5 >

1 Shimilumbo Mukulene uliyense ukute kusalwa kufuma pakati pa bantu banendi, ne kubikwa ne Lesa kwambeti abaimaninenga kuli Lesa. Ncito yakendi ni yakubenga bipo ne milumbo kwambeti Lesa alekelele bwipishi bwa bantu.
Kwani kila kuhani mkuu, aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu, amechaguliwa kusimama badala yao katika vitu vinavyohusiana na Mungu, ili aweze kutoa kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
2 Pacebo cakwambeti neye walefuka, encakute kubela wabomba moyo kubantu bakute kwinsa byaipa mwakubula kwinshiba.
Anaweza kujishughulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwa kuwa yeye mwenyewe pia amezungukwa na udhaifu.
3 Neco pakuba muntu walefuka nkela kutwala milumbo kuli Lesa ya kufunya bwipishi bwa bantu banendi bonka sobwe, nsombi ne bwipishi bwakendi.
Kwa sababu ya hili, ana wajibu wa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zake kama afanyavyo kwa dhambi za watu.
4 Nkakute kulisala ne kulipa bulemu mwine bwakuba Shimilumbo Mukulene sobwe, nsombi Lesa eukute kumukuweti abe Shimilumbo Mukulene mbuli ncalakuwa Aloni.
Na hakuna mtu achukuaye heshima hii kwa ajili yake mwenyewe, lakini badala yake, lazima aitwe na Mungu, kama alivyokuwa Haruni.
5 Copeleco, neye Klistu uliya kulipa bulemu mwine bwakuba Shimilumbo Mukulene sobwe, nsombi Lesa ewalamwambileti, “Njobe mwaname ame lelo ndaba Baiso.”
Hata Kristo hakujipa heshimu mwenyewe kwa kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Badala yake, Mungu alisema kwake, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako.”
6 Kayi mu Mabala, napambi palembweti, “Nukabengowa Shimilumbo cindi conse mbuli bushimilumbo bwa Melekisedeki.” (aiōn g165)
Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
7 Yesu kacili muntu pacishi capanshi walikupaila ne kusenga kuli Lesa mwakompolola kalila misonshi kuli Lesa uyo wela kumupulusha ku lufu. Cebo cakulicepesha kayi ne kulibenga, Lesa walamukumbula.
Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa.
8 Nikukabeti Yesu walikuba Mwanendi Lesa, mapensho ngalakumanya alamwiyisha kunyumfwila Lesa.
Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.
9 Mpwalaba welela cakupwililila walaba citatiko calupulusho lwa cindi conse ku bantu balamunyumfwilinga. (aiōnios g166)
Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios g166)
10 Neco Lesa walamubika kuba Shimilumbo Mukulene, bushimilumbo bwa Melekisedeki.
kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki.
11 Nkute makani angi akwamba, nomba ayuma kwamba kuli njamwe pakwinga nkamukute kunyumfwa bwangu.
Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.
12 Nambi canga celela kwambeti pacino cindi mube beshikwiyisha, mulayandanga muntu wela kumwiyisha biyo bitanshi bya maswi a Lesa. Mu musena wakwambeti mulye byakulya byakutamfuna, mucili mwelela kunwowa mukupa.
Ijapokuwa kwa kipindi hiki mlipaswa kuwa walimu, bado kuna umuhimu wa mtu kuwafundisha mafundisho ya awali ya kanuni za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa na si chakula kigumu.
13 Uliyense ucinwa mukupa ulyeti mwana kateta wabula lwinshibo mubintu byalulama.
Kwa kuwa yeyote anywaye maziwa tu hana uzoefu katika ujumbe wa haki, kwa kuwa bado ni mtoto.
14 Nomba byakulya byakutamfuna ni bya makulene, abo bela kusebensesha ngofu sha lwinshibo lwakushiyanisha pakati pa caina ne caipa kwelela.
Kwa upande mwingine, chakula kigumu ni cha watu wazima, wale ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.

< Bahebeli 5 >