< Bahebeli 13 >

1 Kamupitilishani kusunana umo ne munendi mbuli banse baciklistu.
Basi upendo wa ndugu na uendelee.
2 Kamutambulanga bensu mu manda enu, pakwinseco, nabambi balatambula bangelo mwakuteshiba.
Msisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi, baadhi wamewakaribisha malaika pasipo kujua.
3 Kamubayeyanga bantu banenu bali mujele, kubeti mwasungilwa pamo. Kamubayeyanga banenu balapengenga kubeti mulapengelenga pamo.
Kumbuka wote waliomo gerezani, kana kwamba mulikuwa nao kule pamoja nao, na kama miili yenu ilitendewa kama wao.
4 Cikwati cela kupewa bulemu ne bantu bonse, kayi bulili bwacikwati bube bwabula kusafwana, pakwinga Lesa lakomboloshonga bonse bakute nsala ya bukome ne kwinsa bupombo.
Basi ndoa na iheshimiwe na wote na basi kitanda cha ndoa kifanywe kuwa safi, kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
5 Kamutaba beshi kuyandishisha mali, mbyomukute bimukwanine. Ntepasa Lesa walambeti, “Nteti nkakushiyepo nambi kukutaya sobwe.”
Basi njia zenu za maisha ziwe huru katika upendo wa pesa. Muwe wanoridhika na vitu mulivyonavyo, kwani Mungu mwenyewe alisema, “Sitawaacha ninyi kamwe, wala kuwatelekeza ninyi.”
6 Katuyumishani myoyo kayi twambeti, “Mwami Lesa eshikunyamfwa, paliya nceti nkatine. Anu nicani ncela kunjinsa muntu?”
Basi tulidhikeni ili tusema kwa ujasiri, “Bawa ni msaidizi wangu; Sitaogopa. Mwanadamu aweza kunifanya nini?”
7 Kamubayeyanga batangunishi abo balamwambila mulumbe wa Lesa. Yeyani cendo ne lufu lwabo, kamukonkelani lushomo lwabo.
Wafikirieni wale walio waongoza, wale waliongea neno la Mungu kwenu, na kumbukeni matokeo ya mienendo yao; igeni imani zao.
8 Yesu Klistu uliya kushintapo lilo, nkela kushinta lelo, kayi nteti akashintepo. (aiōn g165)
Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn g165)
9 Kamutaleka biyisho bya bwepeshi bimupatushe pa nshila ya cancine ncine. Caina kwambeti kwinamoyo kwa Lesa kuyumishe myoyo yetu, kutambeti kukonkelowa milawo ilambanga sha byakulya, pakwinga bonse balakonkelenga milawo iyi paliya nceyalabenshila.
Usije ukaongozwa na mafundisho mbalimbali ya kigeni kwani ni vizuri kwamba moyo ujengwe kwa neema, na siyo kwa sheria kuhusu chakula hayo hayatawasaidia wale wanaoishi kwa hayo.
10 Beshimilumbo bali kusebensa mu Tente ya Lesa nkabelela kumantapo pa milumbo ya kulumbanya nkotukute kubenga pa nteme yetu.
Tunayo madhabau ambayo wale wanaotumika ndani ya hekalu hawana haki ya kula.
11 Mukulene wa Shimilumbo wa Ciyuda wali kutwala mulumbo wa milopa ya banyama mu Cipinda Caswepeshesha, kwambeti ifunye bwipishi, nsombi mitunta ya banyama balikuya kwitentela kunsa kwamishasha.
Kwa kuwa damu za wanyama, zilizotolewa dhabihu kwa ajili ya dhambi, ililetwa na kuhani mkuu ndani ya sehemu takatifu, lakini miili yao ilichomwa nje ya kambi.
12 Pacebo cilico, neye Yesu walafwila kunsa kwa munshi kwambeti asambishe bwipishi bantu ne milopa yakendi.
Kwa hiyo Yesu naye aliteseka nje ya lango la mji, hili kwamba kuweka wakfu watu kwa Mungu kupitia damu yake.
13 Neco katuyani kuli Yesu kumishasha twenga tusampulwe pamo.
Na kwa hiyo twendeni kwake nje ya kambi, tukizibeba fadheha zake.
14 Pakwinga pano pa cishi capanshi paliya munshi wekalikana ngotwela kwikalamo cindi conse, tulapembelelenga munshi ulesanga.
Kwani hatuna makao ya kudumu katika mji huu. Badala yake tutafute mji ambao unakuja.
15 Neco, katutwalani mulumbo cindi conse kuli Lesa kupitila muli Yesu, mulumbo wa milomo yetu ilasuminishingeti, Yesu ni Mwami.
Kupitia Yesu mnapaswa mara kwa mara kujitoa sadaka ya kumtukuza Mungu, kumsifu kwamba tunda la midomo yetu likili jina lake.
16 Kamutalubako kwinsa byaina kayi ne kunyamfwana umo ne munendi, pakwinga iyi emilumbo ikute kumukondwelesha Lesa.
Na usisahau kufanya mazuri na kusadiana ninyi kwa ninyi, kwa kuwa ni kwa sadaka kama hiyo ndiyo Mungu hupendezwa sana.
17 Kamunyumfwilani batangunishi benu pa kukonkela malailile abo, pakwinga ebalembelenga buyumi bwenu eti bene beti bakapewe mulandu kuli Lesa. Na kamubanyumfwila inga basebensa ncito mwakukondwa, nomba na mubula kwinseco, nga basebensa ca nsoni, ico nkacela kumunyamfwa sobwe.
Tiini na kujishusha kwa viongozi wenu, kwani wanaendelea kuwalinda kwa ajili ya nafsi zenu, kama wale watakaotoa hesabu. Tiini ili kwamba viongozi wenu waweze kuwatunza kwa furaha, na sio kwa huzuni, ambayo haitawasaidia.
18 Pitilishani kutupaililako, nambi tucisheti tuliya miyeyo yaipa, nsombi tulayandanga kwinsowa bintu byalulama cindi conse.
Tuombeni, kwani tuna uhakikwa kwamba tuna dhamira njema, tunatamani kuishi maisha ya heshima katika mambo yote.
19 Kayi ndamusengenga ca moyo umo kwambeti Lesa akantume ca lino lino kuli njamwe.
Na nyote ninawatia moyo zaidi mfanye hivi, ili kwamba niweze kurudi kwenu hivi karibuni.
20 Lesa walamupundusha Mwami wetu Yesu, mwembeshi mukulene wa mbelele cebo ca milopa yakendi yalaba lushinisho lwa cipangano camuyayaya. (aiōnios g166)
Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios g166)
21 Neco Lesa wa lumuno amupe bintu byaina mbyomulayandanga pakwinsa luyando lwakendi. Kayi kupitila muli Yesu Klistu tumukondweleshe kwelana ne kuyanda kwakendi. Kuli Klistu kube bulemeneno kwa muyayaya. (aiōn g165)
Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
22 Mobanse ndamusengenga kamunyumfwishishani maswi akumuyuminisha awa, pakwinga nkalata iyi njondalembe nifupi,
Sasa ninakutia moyo, ndugu, kuchukualiana na neno la kutia moyo ambalo kwa ufupi nililiandika kwenu.
23 ndayandangeti mwinshibeti mwanse wetu Timoti lafumu mujele. Na ese calino lino, ninkese nendi ndakesanga uko.
Fahamu kwamba ndugu yetu Timotheo ameshaachiwa huru, ambaye pamoja naye nitawaona kama atakuja hivi karibuni.
24 Mutupeleko mitende batangunishi benu ne bantu bonse ba Lesa. Banse ba ku Italiya balamupanga mitende.
Salimia viongozi wako wote na waumini wote. Wale wanaotoka Italia wanakusalimia.
25 Kwina moyo kwa Lesa kube ne njamwe mwense.
Na neema iwe nanyi nyote.

< Bahebeli 13 >