< 3 Janez 1 >

1 Starejšimi Gaju ljubljenemu, katerega jaz ljubim v resnici.
Mimi mzee nakuandikia wewe Gayo, rafiki yangu, ninayekupenda kweli.
2 Ljubljeni, v vsem želim, da se ti naj dobro godi in bodeš zdrav, kakor se dobro godi duši tvoji.
Mpenzi wangu, nakutakia mafanikio mema ya kila aina; nakutakia afya njema ya mwili kama ulivyo nayo rohoni.
3 Kajti veselil sem se močno, ko so prišli bratje in so pričali za resnico tvojo, kakor ti živiš v resnici.
Nimefurahi sana ndugu kadhaa walipofika hapa, wakaiambia juu ya uaminifu wako kuhusu ukweli; naam, wewe unaishi daima katika ukweli.
4 Večjega veselja nimam od tega, da čujem, da otroci moji živé v resnici.
Hakuna kitu kinachonifurahisha zaidi kuliko kusikia kwamba watoto wangu wanaishi katika ukweli.
5 Ljubljeni, zvesto ravnaš v tem, kar delaš za brate in za tujce,
Mpenzi wangu, wewe ni mwaminifu kila mara unapowahudumia ndugu, hata kama ni wageni.
6 Kateri so pričali za ljubezen tvojo pred občino; in dobro bodeš storil, če jih spremljaš kakor je vredno Boga.
Ndugu hao wamelieleza kanisa hapa habari za upendo wako. Tafadhali uwasaidie waendelee na safari yao kwa namna itakayompendeza Mungu,
7 Kajti zaradi imena njegovega zo izšli, ničesa ne jemajoč od poganov;
Maana wanaanza safari yao katika utumishi wa Kristo bila kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini.
8 Mi torej smo dolžni sprejemati take, da postanemo sodelalci resnici.
Basi, sisi tunapaswa kuwasaidia watu hawa, ili nasi tupate kushiriki katika kazi yao kwa ajili ya ukweli.
9 Pisal sem občini; ali Dijotrefej, ki hoče prvakovati med njimi, nas ne sprejme.
Niliandika barua fupi kwa hilo kanisa; lakini Diotrefe, ambaye hupenda kuwa kiongozi wao, hataki kabisa kunisikiliza.
10 Zato, če pridem, opomnim ga del njegovih, ki jih dela, s hudobnimi besedami blebetajoč zoper nas; in ne zadovoljen s tem, ne samo sam ne sprejema bratov, temuč tudi njim, ki hočejo, brani in jih iz občine meče.
Basi, nitakapokuja nitayafichua mambo yote anayofanya, maneno mabaya anayotutolea na uongo anaosema juu yetu. Isitoshe, yeye hukataa kuwakaribisha hao ndugu walio safarini, na hata huwazuia watu wengine wanaotaka kuwakaribisha, na hujaribu kuwafukuzia nje ya kanisa.
11 Ljubljeni, ne posnemaj slabega, nego dobro. Kdor dobro dela, je iz Boga; kdor pa slabo dela, ni videl Boga.
Mpenzi wangu, usifuate mfano mbaya, bali mfano mwema. Kila atendaye mema ni wa Mungu; lakini anayetenda mabaya hajapata kumwona Mungu.
12 Demetriju so pričali vsi in sama resnica; in tudi mi pričamo, in veste, da je pričanje naše resnično.
Kila mtu anamsifu Demetrio; naam, ukweli wenyewe unamsifu. Nasi pia tunatoa ushahidi wetu juu yake, nawe wajua kwamba tunachosema ni kweli.
13 Mnogo sem imel pisati, ali nočem ti pisati s črnilom in peresom;
Ninayo bado mengi ya kukwambia, lakini sipendi kuyaandika kwa kalamu na wino.
14 Upam pa videti te skoraj, in govorila bodeva iz ust do ust. Mir ti! Pozdravljajo te prijatelji. Pozdravi prijatelje po imenu.
Natumaini kukuona karibuni na hapo tutazungumza ana kwa ana. Nakutakia amani. Rafiki zako wanakusalimu. Wasalimu rafiki zetu wote kila mmoja binafsi.

< 3 Janez 1 >