< 3 Mojzes 18 >

1 Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
2 »Govori Izraelovim otrokom in jim reci: ›Jaz sem Gospod, vaš Bog.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
3 Ne boste delali po ravnanjih egiptovske dežele, v kateri ste prebivali, in po ravnanjih kánaanske dežele, kamor vas vodim, ne boste delali. Niti se ne boste ravnali po njihovih odredbah.
Msitende mambo ambayo watu wa Misri huyatenda, mahali mlikokuwa mkiishi awali. Na ni lazima msitende mambo yale wanayoyatenda watu wa Kanaani, nchi ambayo ninawapeleka nyinyi. Msifuate desturi zao.
4 Izvrševali boste moje sodbe in se držali mojih odredb, da v njih hodite. Jaz sem Gospod, vaš Bog.
Sheria zangu ndizo mtakazozitenda, na amri zangu ndizo mtakazozishika, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
5 Vi se boste torej držali mojih zakonov in mojih sodb, katere, če jih človek izvršuje, bo živel v njih. Jaz sem Gospod.
Kwa hiyo ni lazima mzitunze hukumu zangu na sheria zangu. Ikiwa mtu amezitii, ataishi kwa sababu ya hizo. Mimi Ndimi Yahweh.
6 Nihče izmed vas se ne bo približal kateremukoli, ki mu je bližnji sorodnik, da odkrije njihovo nagoto. Jaz sem Gospod.
Pasiwepo kwenu atakayelala na yeyote aliye na uhusiano wa karibu naye. Mimi ndimi Yahweh.
7 Nagote svojega očeta ali nagote svoje matere ne boš odkril. Ona je tvoja mati; ne boš odkril njene nagote.
Usimfedheheshe baba yako kwa kulala na mama yako. Yeye ni mama yako! Haikupasi kumfedhehesha yeye.
8 Nagote žene svojega očeta ne boš odkril. To je nagota tvojega očeta.
Usilale na yeyote wa wake za baba yako; Usimfedheheshe namna hiyo baba yako.
9 Nagote svoje sestre, hčere tvojega očeta ali hčere tvoje matere, bodisi je ona rojena doma ali rojena zunaj, torej njune nagote ne boš odkril.
Usilale na yeyote aliye mmoja miongoni mwa dada zako, ama ni binti ya baba yako au ni binti ya mama yako, ama aliyelelewa nyumbani mwenu au mbali nawe. Usilale na dada zako.
10 Nagote hčere svojega sina ali hčerine hčere, torej njune nagote ne boš odkril, kajti njuna je tvoja lastna nagota.
Usilale na binti ya mwanao, au binti ya binti yako. Hiyo ingekuwa aibu yako mwenyewe.
11 Nagote hčere žene tvojega očeta, rojene tvojemu očetu; ona je tvoja sestra, ne boš odkril njene nagote.
Usilale na binti ya mke wa baba yako, aliyezaliwa kwa baba yako, yeye ni dada yako, na usilale naye.
12 Ne boš odkril nagote sestre svojega očeta; ona je bližnja sorodnica tvojega očeta.
Usilale na dada ya baba yako. Yeye ni ndugu wa karibu kwa baba yako.
13 Ne boš odkril nagote sestre svoje matere, kajti ona je bližnja sorodnica tvoje matere.
Usilale na dada ya mama yako. Yeye ni ndugu wa mama yako.
14 Ne boš odkril nagote brata svojega očeta, ne boš se približal njegovi ženi; ona je tvoja teta.
Usimfedheheshe ndug wa baba yako kwa kulala na mke wake. Usimkaribie kwa kusudi hilo; yeye ni shangazi yako.
15 Ne boš odkril nagote svoje snahe, ona je sinova žena; ne boš odkril njene nagote.
Usilale na binti- mkwe wako, Yeye ni mke wa mwanao; usilale naye.
16 Ne boš odkril nagote žene svojega brata. To je nagota tvojega brata.
Usilale na mke wa kaka yako; usije ukamfedhesha yeye katika njia hii.
17 Ne boš odkril nagote ženske in njene hčere niti ne boš vzel hčere njenega sina ali hčere njene hčere, da bi odkril njeno nagoto, kajti oni sta njeni bližnji sorodnici. To je zlo.
Usilale na mwanamke kisha na binti yake, au binti wa mwanawe au binti wa binti yake. Hao ni ndugu zake wa karibu, na kulala nao lingekuwa ni uovu.
18 Niti ne boš vzel žene k njeni sestri, da jo dražiš, da odkriješ njeno nagoto poleg druge v njenem času življenja.
Usimwoe dada ya mke wako kuwa mke wako wa pili na kulala naye wakati bado mke wako wa kwanza angali hai.
19 Prav tako se ne boš približal ženski, da odkriješ njeno nagoto, dokler je oddvojena zaradi svoje nečistosti.
Usilale na mwanamke wakati wake wa hedhi.
20 Poleg tega ne boš meseno ležal z ženo svojega soseda, da bi se z njo omadeževal.
Yeye ni najisi kwa wakati huo. Usilale na mke wa jilani yako na kujichafua mwenyewe kwake katika njia hii.
21 Nikomur izmed svojega semena ne boš dovolil iti skozi ogenj k Molohu niti ne boš oskrunil imena svojega Boga. Jaz sem Gospod.
Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto, ili kwamba muwatoe sadaka kwa Moleki, kwa sababu msije mkalinajisi jina la Mungu wenu. Mimi ndimi Yahweh.
22 Ne boš ležal z moškimi kakor z ženskami. To je ogabnost.
Usilale na mwanaume mwingine kama ulalavyo na mwanamke. Jambo hili lingekuwa uovu.
23 Niti ne boš ležal z nobeno živaljo, da s tem omadežuješ samega sebe niti ne bo nobena ženska stala pred živaljo, da leže dol k njej. To je zmešnjava.
Usilale na myama yeyote na kujitia unajisi kwake. Haimpasi mwanamke kufikiria kulala na mnyama ye yote. Huo ungekuwa upotovu.
24 Ne omadežujte se z nobeno od teh stvari, kajti v vseh teh so omadeževani narodi, ki jih jaz preženem pred vami.
Msijichafue wenyewe katika njia hizi, kwa kuwa katika njia hizi mataifa yamechafuliwa, mataifa ambayo Nitayafukuza yatoke kwa ajili yenu.
25 Zemlja je omadeževana, zato obiščem krivičnost le-te na njej in sama zemlja izbruha njene prebivalce.
Ni kwa sababu nchi imenajisiwa, hivyo niliiadhibu dhambi yao, nayo nchi ikawatapika wakazi wake
26 Zato se boste držali mojih zakonov in mojih sodb in ne boste zagrešili nobene od teh ogabnosti; niti kdorkoli izmed vašega lastnega naroda niti katerikoli tujec, ki začasno biva med vami
Kwa hiyo, yawapasa kuzishika amri zangu na maagiza yangu, na msifanye aina yoyote ya mambo haya ya machukizo, wala Mwisraeli mzaliwa au Mgeni aishie miongoni mwenu.
27 (kajti vse te ogabnosti so storili ljudje dežele, ki so bili pred vami in dežela je omadeževana),
Kwa kuwa ni uovu huu ambao watu wametenda, wale ambao waliishi hapa kabla yenu, na sasa nchi imenajisiwa.
28 da dežela tudi vas ne izpljune, ko ste jo omadeževali, kakor je izpljunila narode, ki so bili pred vami.
Kwa hiyo, muwe waangalifu ili kwamba nchi isiwatapike nyinyi baada ya kuwa mmeinajisi, kama ilivyowatapika wale watu waliokuwako kabla yenu.
29 Kajti kdorkoli bo zagrešil katero izmed teh ogabnosti, celo duše, ki jih zagrešijo, bodo iztrebljene izmed svojega ljudstva.
Yeyote anayefanya mambo haya ya kuchukiza, watu wafanyao mambo hayo ya kuchukiza lazima watakatiliwa mbali kutoka miongoni mwa watu wao.
30 Zatorej se boste držali mojih odredb, da ne zagrešite kateregakoli izmed teh gnusnih običajev, ki so bili zagrešeni pred vami in da se ne omadežujete v tem. Jaz sem Gospod, vaš Bog.‹«
Kw a hiyo inawapasa kuzishika amri zangu na sitende mojawapo ya desturi hizi zenyekuchukiza ambazo zilitendwa hapo kabla yenu, ili msijinajisi wenyewe kwa hizo. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.

< 3 Mojzes 18 >