< 4 Mojzes 16 >

1 Torej Korah, Jichárjev sin, Kehátov sin, Lévijev sin ter Datán in Abirám, Eliábova sinova in Peletov sin On izmed Rubenovih sinov, so vzeli može
Sasa Kora mwana wa Izihari mwana wa Kohathi mwana wa Lawi, pamoja na Dathani na Abiramu mwana wa Eliabu, na Oni mwana wa Peleti, wa uzao wa Reubeni, waliwakusanya wanaume kadhaa.
2 in se vzdignili pred Mojzesom, z nekaterimi izmed Izraelovih otrok, dvesto petdesetimi princi skupnosti, slavnimi v zboru, možmi z ugledom,
Wakamwinukia Musa, pamoja na wanaume fulani kutoka wana wa Israeli, viongozi wa watu wapatao mia mbili na hamsini waliokuwa wakifahamika katika ile jamii.
3 in se skupaj zbrali zoper Mojzesa in zoper Arona ter jima rekli: »Preveč si jemljeta nase, glede na to, da je vsa skupnost sveta, vsakdo izmed njih, in da je Gospod med njimi. Zakaj se torej povzdigujeta nad Gospodovo skupnost?«
Walikusanyika pamoja kumpinga Musa na Haruni. Wakawaambia, “Ninyi sasa mnatumia mamlaka zaidi ya uwezo wenu! Watu wote wamejitenga, kila mmoja wao, na BWANA yuko pamoja nao. Kwa nini mnajiinua sana juu ya watu wengine wa BWANA?”
4 Ko je Mojzes to slišal, je padel na svoj obraz
Musa alipoyasikia hayo, akalala kifudifudi.
5 in govoril Korahu in vsej njegovi skupini, rekoč: »Celo jutri bo Gospod pokazal kdo so njegovi in kdo je svet; in povzročil mu bo, da pride bliže k njemu. Celo tistemu, ki ga je izbral, bo povzročil, da se približa k njemu.
Akamwambia Kora na wote aliokuwa nao, “Asubuhi BWANA atafanya ijulikane ni nani walio wake na nani aliyetengwa kwa ajili yake. Atamleta huyo mtu karibu na yeye. Yule anayemchagua atamleta karibu naye.
6 Storite to: ›Vzemite kadilnice, Korah in vsa njegova skupina
Fanya hivi, wewe Kora na kundi lako.
7 in jutri dajte vanje ogenj pred Gospodom in nanj položite kadilo. Zgodilo se bo, da bo mož, ki ga bo Gospod izbral, ta bo svet. Vi si preveč jemljete nase, vi Lévijevi sinovi.‹«
Kesho mchukue vyetezo na muweke moto na ubani ndani yake mbele ya BWANA. Yule ambaye BWANA amemchagua, atamtenga kwa BWANA. Sasa imetosha ninyi watu wa uzao wa Lawi,”
8 Mojzes je rekel Korahu: »Poslušajte, prosim vas, vi Lévijevi sinovi.
Tena Musa akamwambia Kora, “Sasa unisililize, ninyi watu wa uzao wa Lawi:
9 Ali se vam zdi le majhna stvar, da vas je Izraelov Bog ločil od Izraelove skupnosti, da vas privede bliže k sebi, da opravljate delo Gospodovega šotorskega svetišča in da stojite pred skupnostjo, da jim služite?
Je ni jambo dogo kwenu kwamba Mngu wa mbinguni amewatenga ninyi kutoka watu wa Israeli, ili awalete ninyi karibu na yeye, ili mfanye kazi katika masikani ya BWANA na kusimama mbele ya watu ili muwatumikie?
10 Privedel te je blizu k sebi in vse tvoje brate, Lévijeve sinove s teboj. Ali iščete tudi duhovništvo?
Amewasogeza karibu, na ndugu zako, wa uzao wa Lawi pamoja nanyi, na sasa mnataka na ukuhani pia!
11 Zaradi katerega vzroka sta tako ti in vsa tvoja skupina zbrana skupaj zoper Gospoda, in kaj je Aron, da mrmrate zoper njega?«
Hiyo ndiyo sababu wewe na kundi lako mmekusanyika pamoja kinyume na BWANA. Kwa nini mnalalamika juu ya Haruni, ambaye anamtii BWANA?”
12 Mojzes je poslal, da pokliče Datána in Abiráma, Eliábova sinova, ki sta rekla: »Ne bova prišla gor.
Kisha Musa akamwita Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, lakini wakasema, “hatutakuja.
13 Je to majhna stvar, da si nas privedel gor iz dežele, kjer tečeta mleko in med, da nas ubiješ v divjini, razen da se narediš princa nad nami?
Kwani jambo dogo kwamba umetuleta mpaka kwenye nchi inayotiririka maziwa na asali, ili kutuua katika jangwa hili? Sasa unataka kujifanya kuwa mtawala wetu!
14 Še več, nisi nas privedel v deželo, kjer tečeta mleko in med ali nam dal dediščino polj in vinogradov. Ali boš iztaknil oči teh ljudi? Ne bomo prišli tja gor.«
Na kwa nyongeza, haujatuingiza kwenye nchi ya kutiririka maziwa na asali, au kutupa urithi wa mashamba na mashamba ya mizabibu. Sasa unataka kutupofusha na ahadi hewa? Hatutakuja kwako.”
15 Mojzes je bil zelo ogorčen in rekel Gospodu: »Ne spoštuj njihovih daritev. [Niti] enega osla nisem odvzel od njih niti nisem nič slabega storil enemu izmed njih.«
Musa alikasirika sana na akamwambia BWANA, “Usisipokee sadaka zao. Sijachukua punda mmoja kutoka kwao, na sijamdhuru hata mmoja wao.”
16 Mojzes je rekel Korahu: »Bodite ti in vsa tvoja skupina jutri pred Gospodom, ti, oni in Aron.
Kisha Musa akamwambia Kora, “Kesho wewe na kundi lako mtaenda mbele za BWANA-wewe na wao na Haruni.
17 Vsak mož naj vzame svojo kadilnico in vanjo položi kadilo in prinesite jih pred Gospoda, vsak mož svojo kadilnico, dvesto petdeset kadilnic; tudi ti in Aron, vsak izmed vaju svojo kadilnico.«
Kila mmoja wenu atatwaa chetezo na kuweka ubani ndani yake. Ndipo kila mtu atamletea BWANA chetezo chake, vyetezo mia mbili na hamsini. Wewe na Haruni, pia, kila mmoja ataleta chetezo chake.
18 Vzeli so vsak mož svojo kadilnico in vanje dali ogenj in nanj položili kadilo in z Mojzesom in Aronom stali v vratih šotorskega svetišča skupnosti.
Kwa hiyo kila mtu alitwaa chetezo chake, akaweka moto ndani yake, akaweka na ubani ndani yake, na kusimama mbele ya lango la hema ya kukutania pamoja na Musa na Haruni.
19 Korah je pri vratih šotorskega svetišča skupnosti zoper njiju zbral vso skupnost in Gospodova slava se je prikazala vsej skupnosti.
Kora naye akawakusanya watu wote waliokuwa kinyume na Musa na Haruni hapo kwenye lango la hema ya kukutania, na kisha utukufu wa BWANA ukaonekana kwa watu wote.
20 Gospod je spregovoril Mojzesu in Aronu, rekoč:
Ndipo BWANA aliposema na Musa na Haruni:
21 »Ločita se izmed te skupnosti, da jih lahko v hipu pokončam.«
“Tokeni ninyi kutoka hawa watu ili nipate kuwaangamiza haraka.”
22 Onadva pa sta padla na svoja obraza in rekla: »Oh Bog, Bog duhov vsega mesa, ali bo en človek grešil in boš ogorčen nad vso skupnostjo?«
Musa na Haruni wakalala kifudifudi na kusema, “Mungu, Mungu wa wote wenye mwili, kama mtu akitenda dhambi, ni lazima uwe na hasira na watu wote?”
23 Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
BWANA akanena na Musa, akamwambia,
24 »Govori skupnosti, rekoč: ›Vzdignite se proč od bližine šotora Koraha, Datána in Abiráma.‹«
“Sema na watu wote, uwaaambie, 'Tokeni kwenye hema ya Kora, Dathani, na Abiramu.'”
25 Mojzes se je dvignil in odšel k Datánu in Abirámu, in Izraelove starešine so mu sledili.
Kisha Musa akaamuka akaenda kwa Dathani na Kwa Abiramu; viongozi wa Israeli wakamfuata.
26 Spregovoril je skupnosti, rekoč: »Odidite, prosim vas, od šotorov teh zlobnežev in ne dotikajte se ničesar njihovega, da ne bi bili použiti v vseh njihovih grehih.«
Akaongea na watu wote akasema, “Sasa jitengeni na hema ya hawa watu waovu na msiguse kitu chochote kilicho chao, vinginevyo mtaangamizwa na dhambi zao.”
27 Tako so se na vsaki strani umaknili od šotora Koraha, Datána in Abiráma. Datán in Abirám pa sta prišla ven in stala v vratih svojih šotorov s svojima ženama, svojimi sinovi in svojimi majhnimi otroki.
Kwa hiyo watu wote toka pande zote za hema ya Kora, Dathani na Abiramu wakaondoka. Dathani na Abiramu wakatoka nje wakasimama kwenye lango la hema zao, wakiwa na wake wao, wana, na watoto wao.
28 Mojzes je rekel: »S tem boste spoznali, da me je poslal Gospod, da storim vsa ta dela, kajti nisem jih storil po svoji lastni pameti.
Kisha Musa akasema, “Kwa hili sasa mtatambua kuwa BWANA amenituma kufanya kazi hizi zote, kwa kuwa sijazifanya kwa uwezo wangu.
29 Če ti možje umrejo običajne smrti vseh ljudi, ali če so obiskani po obiskanju vseh ljudi, potem me Gospod ni poslal.
Kama hawa watu watakufa kifo cha kawaida ambacho humpata kila mmoja, basi BWANA hakunituma.
30 Toda če Gospod naredi novo stvar in zemlja odpre svoja usta in jih požre, z vsem, kar jim pripada in gredo hitro dol v jamo, potem boste razumeli, da so ti ljudje izzivali Gospoda.« (Sheol h7585)
Lakini kama BWANA aumbaye malango ya ardhi ambayo huwameza kama mdomo mkubwa, pamoja na familia zao, na kama wataingia ndani ya shimo wakiwa hai, ndipo mtakapojua kuwa wamemdharau BWANA,” (Sheol h7585)
31 Pripetilo se je, ko je končal govorjenje vseh teh besed, da so se tla, ki so bila pod njimi, razklala narazen
Mara ghafla Musa alipomaliza kusema maneno haya, aridhi ya pale walipokuwa ikafunguka.
32 in zemlja je odprla svoja usta in jih požrla in njihove hiše in vse ljudi, ki so pripadali Korahu in vse njihove dobrine.
Dunia ikafungua makanwa yake na kuwameza, familia zao na watu wote wa Kora, pamoja na mali zao zote.
33 Oni in vsi, ki so pripadali k njim, so živi odšli dol v jamo, in zemlja se je zaprla nad njimi in izginili so iz skupnosti. (Sheol h7585)
Wao na kila mmoja kwenye familia zao wakaingia ndani shimoni wakiwa hai. Dunia ikwafunika, na kwa njia hii wakapotea kutoka miongoni mwa ile jamii. (Sheol h7585)
34 Vsi Izraelci, ki so bili naokoli njih, so pobegnili ob njihovem kričanju, kajti rekli so: »Da ne bi zemlja požrla tudi nas.«
Nao Israeli yote waliokuwa karibu nao wakakimbia kwa sababu ya vilio vyao. Walisema kwa mshangao, “Nchi isije kutumeza na sisi!”
35 In prišel je ogenj od Gospoda in použil dvesto petdeset mož, ki so darovali kadilo.
Kisha moto ukashuka toka kwa BWANA na kuwaangamiza wale wanaume 250 waliokuwa wametoa ubani.
36 Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
Tena BWANA akanena na Musa, akasema,
37 »Govori Eleazarju, sinu duhovnika Arona, da kadilnice pobere iz gorenja, ogenj pa iztrese daleč proč, kajti te so posvečene.
“Mwambie Eliazari mwana wa Haruni yule kuhani achukue vile vyetezo kutoka ule moto, kwa kuwa vile vyetezo vimetengwa ka ajili yangu. Na aumwage ule moto mbali.
38 Kadilnice teh grešnikov [ki so grešili] zoper svoje lastne duše, naj preoblikujejo v široke plošče za pokritje oltarja, kajti darovali so jih pred Gospodom, zato so posvečene in te bodo znamenje Izraelovim otrokom.«
Vitwae vile vyetezo vya wale waliopoteza maisha yao kwa sababu ya dhambi zao. Na vifanyike kuwa mbao za kufuliwa ili viwe vifuniko vya madhabahu. Kwa kuwa wale watu walivitoa kwangu, kwa hiyo ni vitakatifu. Vitakuwa ishara ya uwepo wangu kwa wana wa Israeli.”
39 Duhovnik Eleazar je vzel bronaste kadilnice, s katerimi so darovali tisti, ki so bili sežgani in preoblikovane so bile v široke plošče za pokritje oltarja,
Naye Eleazari yule kuhani akavichukue vile vyetezo vya shaba ambavyo vilikuwa vimetumiwa na wale watu walioungua, na vikafuliwa kuwa vifuniko vya madhbahu,
40 da bodo spomin Izraelovim otrokom, da noben tujec, ki ni od Aronovega semena, ne pride blizu, da bi daroval Gospodu, da ne bo kakor Korah in kakor njegova skupina; kakor mu je po Mojzesovi roki rekel Gospod.
ili kuwa ukumbusho kwa wana wa Israeli, ili kwamba asije akatokea mtu toka nje ya uzao wa Haruni akaja kutoa ubani kwa BWANA, ili wasije kuwa kama Kora na kundi lake— kama vile BWANA alivyoamuru kupitia kinywa cha Musa.
41 Toda naslednji dan je vsa skupnost Izraelovih otrok mrmrala zoper Mojzesa in zoper Arona, rekoč: »Vidva sta ubila Gospodovo ljudstvo.«
Lakini siku iliyofuata asubuhi watu wa Israeli wakamlalamikia Musa na Haruni. Nao walisema, “Umeua watu wa BWANA.”
42 Pripetilo se je, ko je bila zoper Mojzesa in Arona zbrana skupnost, da so pogledali proti šotorskemu svetišču skupnosti in glej, pokrival ga je oblak in prikazala se je Gospodova slava.
Kisha ikatokea, wakati watu walipokuwa wamekusanyika kinyume na Musa na Haruni, wakatazama kuielekea hema ya kukutania, na tazama lile wingu lilikuwa likiifunika. Utukufu wa BWANA ukaonekana,
43 In Mojzes in Aron sta prišla pred šotorsko svetišče skupnosti.
Musa na Haruni wakaja mbele ya hema ya kukutania.
44 Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
45 »Vzdignita se proč izmed te skupnosti, da jih lahko v hipu použijem.« In onadva sta padla na svoja obraza.
“Toka kati ya watu hawa ili niwaangamize haraka.” Musa na Haruni wakalala chini kifudifudi.
46 Mojzes je rekel Aronu: »Vzemi kadilnico, daj vanjo ogenj iz oltarja, nanj položi kadilo in hitro pojdi k skupnosti ter opravi spravo zanje, kajti od Gospoda je izšel bes. Začela se je kužna bolezen.«
Musa akamwambia Haruni, uchukue chetezo, na utie ndani moto kutoka madhabahuni, tia na uvumba ndani yake, upeleke haraka kwa watu, na ukafanye upatanisho kwao, kwa sababu hasira hii inatoka kwa BWANA. Tauni imeanza.”
47 Aron je vzel, kakor je Mojzes zapovedal in stekel na sredo skupnosti. In glej, kuga se je začela med ljudstvom. In nanjo je položil kadilo ter opravil spravo za ljudstvo.
Kwa hiyo Haruni akafanya kama alivyoelekezwa na Musa. Akakimbia kati ya watu. na Tauni ilikuwa imeanza kuenea kati ya watu, kwa hiyo akaweka ndani yake uvumba na akafanya upatanisho wa watu.
48 Stal je med mrtvimi in živimi in kužna bolezen je obstala.
Haruni akasimama kati kati ya zile maiti na watu hai; na kwa njia hii ile tauni ikazuiwa.
49 Torej tistih, ki so umrli od kužne bolezni, je bilo štirinajst tisoč sedemsto, poleg tistih, ki so umrli zaradi Korahove zadeve.
Idadi ya wale waliokuwa wamekufa kwa tauni walikuwa 14, 000, nje na wale waliokufa kutokana na swala la Kora.
50 In Aron se je vrnil k Mojzesu, k vratom šotorskega svetišča skupnosti in kužna bolezen je obstala.
Haruni akarudi kwa Musa kwenye lango la hema ya kukutania, na ile tauni ikakoma.

< 4 Mojzes 16 >