< Псалтирь 1 >
1 Блажен муж, иже не иде на совет нечестивых, и на пути грешных не ста, и на седалищи губителей не седе:
Amebarikiwa mtu yule asiye enenda katika ushauri wa waovu, au kusimama katika njia ya wenye dhambi, au kukaa katika kusanyiko la wenye mizaha.
2 но в законе Господни воля его, и в законе Его поучится день и нощь.
Bali yeye huifurahia sheria ya Yahwe, na huitafakari sheria yake mchana na usiku.
3 И будет яко древо насажденое при исходищих вод, еже плод свой даст во время свое, и лист его не отпадет: и вся, елика аще творит, успеет.
Atakuwa kama mti uliopandwa karibu na mkondo wa maji ambao huzaa matunda yake kwa majira yake, ambao majani yake hayakauki; lolote afanyalo litafanikiwa.
4 Не тако нечестивии, не тако: но яко прах, егоже возметает ветр от лица земли.
Waovu hawako hivyo, wao badala yake ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Сего ради не воскреснут нечестивии на суд, ниже грешницы в совет праведных.
Kwa hivyo waovu hawatasimama katika hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Яко весть Господь путь праведных, и путь нечестивых погибнет.
Kwa kuwa Yahweh huikubali njia ya wenye haki, njia ya waovu itaangamizwa.