< Псалтирь 2 >

1 Вскую шаташася языцы, и людие поучишася тщетным?
Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
2 Предсташа царие земстии, и князи собрашася вкупе на Господа и на Христа Его.
Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
3 Расторгнем узы их и отвержем от нас иго их.
“Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
4 Живый на небесех посмеется им, и Господь поругается им.
Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
5 Тогда возглаголет к ним гневом Своим и яростию Своею смятет я:
Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
6 Аз же поставлен есмь Царь от Него над Сионом, горою святою Его,
“Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 возвещаяй повеление Господне. Господь рече ко Мне: Сын Мой еси Ты, Аз днесь родих Тя:
Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
8 проси от Мене, и дам ти языки достояние Твое, и одержание Твое концы земли:
Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
9 упасеши я жезлом железным, яко сосуды скудельничи сокрушиши я.
Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
10 И ныне, царие, разумейте, накажитеся вси судящии земли.
Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
11 Работайте Господеви со страхом, и радуйтеся Ему со трепетом.
Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
12 Приимите наказание, да не когда прогневается Господь, и погибнете от пути праведнаго, егда возгорится вскоре ярость Его: блажени вси надеющиися Нань.
Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.

< Псалтирь 2 >