< Притчи Соломона 10 >
1 Сын премудр веселит отца, сын же безумен печаль матери.
Mithali za Sulemani. Mwana mwenye hekima humfurahisha baba yake lakini mwana mpumbavu huleta majonzi kwa mama yake.
2 Не пользуют сокровища беззаконных, правда же избавит от смерти.
Hazina zilizolimbikizwa kwa uovu hakosa thamani, bali kwa kutenda haki hujilinda mbali na kifo.
3 Не убиет гладом Господь душу праведную, живот же нечестивых низвратит.
Yehova hawaachi wale watendao haki wapate njaa, bali hamu ya waovu huizuia.
4 Нищета мужа смиряет: руце же мужественных обогащаются.
Mkono mlegevu humfanya mtu awe masikini, bali mkono wa mtu mwenye bidii hupata utajiri.
5 Сын наказан премудр будет, безумный же слугою употребится: спасется от зноя сын разумный, ветротленен же бывает на жатве сын беззаконный.
Mwana mwenye busara hukusanya mazao wakati wa kiangazi, bali ni aibu kwake alalaye wakati wa mavuno.
6 Благословение Господне на главе праведнаго: уста же нечестивых покрыет плачь безвременный.
Zawadi kutoka kwa Mungu zipo juu ya kichwa cha wale watendao haki; bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
7 Память праведных с похвалами: имя же нечестивых угасает.
Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
8 Премудр сердцем приимет заповеди: непокровенный же устнама остроптевая запнется.
Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
9 Иже ходит просто, ходит надеяся: развращая же пути своя, познан будет.
Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.
10 Намизаяй оком с лестию собирает мужем печали: обличаяй же со дерзновением миротворит.
Yeye ambaye hukonyeza kwa jicho lake huleta majonzi, bali mpumbavu mwenye maneno mengi atatupwa chini.
11 Источник жизни в руце праведнаго: уста же нечестиваго покрыет пагуба.
Kinywa cha mwenye kutenda haki ni kama chemchemi ya maji ya uzima, bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
12 Ненависть воздвизает распрю: всех же нелюбопрителных покрывает любовь.
Chuki huchochea mafarakano, bali upendo hufunika juu ya makwazo yote.
13 Иже от устен произносит премудрость, жезлом биет мужа безсердечна.
Hekima inapatikana kwenye kinywa cha mtu mwenye ufahamu, bali fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa yule asiye na akili.
14 Премудрии скрыют чувство, уста же продерзаго приближаются сокрушению.
Watu wenye hekima hutunza maarifa, bali kinywa cha mpumbavu huleta uharibifu karibu.
15 Стяжание богатых град тверд, сокрушение же нечестивых нищета.
Mali ya mtu tajiri ni mji wake mwenye ngome; ufukara wa masikini ni uharibifu wao.
16 Дела праведных живот творят, плодове же нечестивых грехи.
Mshahara wa watenda haki huelekea kwenye uzima; manufaa ya waovu huelekea dhambini.
17 Пути жизни хранит наказание: наказанием же не обличеный заблуждает.
Kuna njia kwenda kwenye uzima kwa yule anayefuata maongozo, bali anayekataa maonyo hupotea.
18 Покрывают вражду устне правыя: износящии же укоризну безумнейшии суть.
Yeye afichaye chuki anamidomo ya uongo, na yeye anayesambaza kashfa ni mpumbavu.
19 От многословия не избежиши греха: щадя же устне, разумен будеши.
Katika maneno mengi, hapakosi uhalifu, bali aliyemwangalifu katika usemi wake ni mwenye busara.
20 Сребро разжженое язык праведнаго: сердце же нечестиваго изчезнет.
Ulimi wa yule atendaye haki ni fedha safi; kuna thamani ndogo katika moyo wa mbaya.
21 Устне праведных ведят высокая: безумнии же в скудости скончаваются.
Midomo ya yule atendaye haki huwastawisha wengi, bali wapumbavu hufa kwa sababu ya kukosa akili.
22 Благословение Господне на главе праведнаго, сие обогащает, и не имать приложитися ему печаль в сердцы.
Zawadi njema za Yehova huleta utajiri na haweki maumivu ndani yake.
23 Смехом безумный творит злая: премудрость же мужеви раждает разум.
Uovu ni mchezo achezao mpumbavu, bali hekima ni furaha kwa mtu mwenye ufahamu.
24 В погибели нечестивый обносится: желание же праведнаго приятно.
Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa.
25 Преходящей бури, нечестивый изчезает, праведный же уклонився спасается во веки.
Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.
26 Якоже гроздие зеленое вред зубом и дым очима, тако законопреступление творящым е.
Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
27 Страх Господень прилагает дни: лета же нечестивых умалятся.
Hofu ya Yehova huongeza maisha, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
28 Пребывает с праведными веселие, упование же нечестивых погибает.
Matumaini ya wale watendao haki ndiyo furaha yao, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
29 Утверждение преподобному страх Господень, сокрушение же творящым злая.
Njia ya Yehova huwalinda wale wenye uadilifu, bali kwa waovu ni uhalibifu.
30 Праведник во веки не поколеблется: нечестивии же не населят земли.
Wale watendao haki hawataondolewa, bali waovu hawatabaki katika nchi.
31 Уста праведнаго каплют премудрость, язык же неправеднаго погибнет:
Katika kinywa cha wale watendao haki hutoka tunda la hekima, bali ulimi wa kupotosha utakatwa.
32 устне мужей праведных каплют благодати, уста же нечестивых развращаются.
Midomo ya wale watendao mema huyajua yanayokubalika, bali kinywa cha waovu, huyajua yanayopotosha.