< Приче Соломонове 9 >
1 Премудрост сазида себи кућу, и отеса седам ступова;
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.
2 Покла стоку своју, раствори вино своје, и постави сто свој.
Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.
3 Посла девојке своје, те зове сврх висина градских:
Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita kutoka mahali pa juu sana pa mji.
4 Ко је луд, нека се уврати овамо. И безумнима вели:
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!
5 Ходите, једите хлеба мог, и пијте вино које сам растворила.
Njooni, mle chakula changu na mnywe divai niliyoichanganya.
6 Оставите лудост и бићете живи, и идите путем разума.
Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 Ко учи подсмевача, прима срамоту; и ко кори безбожника, прима руг.
“Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha hukaribisha matukano; yeyote anayekemea mtu mwovu hupatwa na matusi.
8 Не карај подсмевача да не омрзне на те; карај мудра, и љубиће те.
Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia; mkemee mwenye hekima naye atakupenda.
9 Кажи мудроме, и биће још мудрији; поучи праведног, и знаће више.
Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa na hekima zaidi; mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi kufundishika.
10 Почетак је мудрости страх Господњи, и знање је светих ствари разум.
“Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.
11 Јер ће се мном умножити дани твоји и додаће ти се године животу.
Kwa maana kwa msaada wangu siku zako zitakuwa nyingi, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
12 Ако будеш мудар, себи ћеш бити мудар; ако ли будеш подсмевач, сам ћеш теглити.
Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo; kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”
13 Жена безумна плаха је, луда и ништа не зна;
Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele; hana adabu na hana maarifa.
14 И седи на вратима од куће своје на столици, на висинама градским,
Huketi kwenye mlango wa nyumba yake, juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,
15 Те виче оне који пролазе, који иду право својим путем:
akiita wale wapitao karibu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao.
16 Ко је луд? Нека се уврати овамо. И безумном говори:
Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”
17 Вода је крадена слатка, и хлеб је сакривен угодан.
“Maji yaliyoibiwa ni matamu; chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”
18 А он не зна да су онде мртваци и у дубоком гробу да су званице њене. (Sheol )
Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu. (Sheol )