< Zaharija 10 >
1 Ištite od Gospoda dažda u vrijeme poznoga dažda, Gospod æe pustiti munje, i daæe vam izobila dažda i svakome trave u polju.
Mwombeni Bwana mvua wakati wa vuli; ndiye Bwana atengenezaye mawingu ya tufani. Huwapa watu manyunyu ya mvua, pia mimea ya shambani kwa ajili ya kila mtu.
2 Jer likovi govore ništavilo i vraèi vide laž i govore zaludne sne, tješe taštinom; zato otidoše kao stado, i ojadiše se, jer ne bješe pastira.
Sanamu huzungumza udanganyifu, waaguzi huona maono ya uongo; husimulia ndoto ambazo si za kweli, wanatoa faraja batili. Kwa hiyo watu wanatangatanga kama kondoo walioonewa kwa kukosa mchungaji.
3 Gnjev se moj raspali na pastire, i pokarah jarce; jer Gospod nad vojskama obide stado svoje, dom Judin, i uèini da su mu kao konj okiæen za boj.
“Hasira yangu inawaka dhidi ya wachungaji, nami nitawaadhibu viongozi; kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote atalichunga kundi lake, nyumba ya Yuda, naye atawafanya kuwa kama farasi mwenye kiburi akiwa vitani.
4 Od njega je ugao, od njega kolje, od njega luk ubojiti, od njega izlazi i svaki nastojnik.
Kutoka Yuda litatokea Jiwe la pembeni, kutoka kwake vitatoka vigingi vya hema, kutoka kwake utatoka upinde wa vita, kutoka kwake atatoka kila mtawala.
5 I oni æe biti kao junaci, gaziæe u boju kao blato po ulicama, i biæe se, jer je Gospod s njima, i koji jašu na konjma osramotiæe se.
Kwa pamoja watakuwa kama mashujaa wanaokanyaga barabara za matope wakati wa vita. Kwa sababu Bwana yu pamoja nao, watapigana na kuwashinda wapanda farasi.
6 I ukrijepiæu dom Judin, i dom æu Josifov spasti, i dovešæu ih natrag, jer mi ih je žao, i biæe kao da ih nijesam odbacio, jer sam ja Gospod Bog njihov i uslišiæu ih.
“Nitaiimarisha nyumba ya Yuda na kuiokoa nyumba ya Yosefu. Nitawarejesha kwa sababu nina huruma juu yao. Watakuwa kama watu ambao sijawahi kuwakataa kwa sababu mimi ndimi Bwana Mungu wao, nami nitawajibu.
7 I oni od Jefrema biæe kao junak, i srce æe im biti veselo kao od vina, i sinovi njihovi vidjeæe i veseliæe se, i srce æe im se radovati o Gospodu.
Waefraimu watakuwa kama mashujaa, mioyo yao itafurahi kana kwamba ni kwa divai. Watoto wao wataona na kufurahi, mioyo yao itashangilia katika Bwana.
8 Zazviždaæu im i sabraæu ih, jer æu ih izbaviti, i oni æe se umnožiti kao što su se bili umnožili.
Nitawaashiria na kuwakusanya ndani. Hakika nitawakomboa, nao watakuwa wengi kama walivyokuwa mwanzoni.
9 I rasijaæu ih meðu narode da se u daljnijem mjestima opominju mene, i živeæi sa sinovima svojima da se vrate.
Ijapokuwa niliwatawanya miongoni mwa mataifa, hata hivyo wakiwa katika nchi za mbali watanikumbuka mimi. Wao na watoto wao watanusurika katika hatari nao watarudi.
10 I dovešæu ih natrag iz zemlje Misirske, i sabraæu ih iz Asirske, i dovešæu ih u zemlju Galadsku i na Livan; i neæe im biti dosta mjesta.
Nitawarudisha kutoka Misri na kuwakusanya toka Ashuru. Nitawaleta katika nchi ya Gileadi na Lebanoni, na hapo hapatakuwa na nafasi ya kuwatosha.
11 I od tjeskobe æe prijeæi preko mora, i razbiæe vale u moru, i sve æe dubine rijeci presahnuti, i oboriæe se ponos Asirski i palica æe se Misirska uzeti.
Watapita katika bahari ya mateso; bahari iliyochafuka itatulizwa na vilindi vyote vya Mto Naili vitakauka. Kiburi cha Ashuru kitashushwa, nayo fimbo ya utawala ya Misri itatoweka.
12 I ukrijepiæu ih Gospodom, i oni æe hoditi u ime njegovo, govori Gospod.
Nitawaimarisha katika Bwana, na katika jina lake watatembea,” asema Bwana.