< Oufunuo 15 >

1 Nantele nalola endango eyamwabho amwanya, engosi eyaswijiziwe; hwali ntumi saba bhali na makhono saba gashele gali makhoma agamalezye (hwego egilyoyo lya Ngolobhe lyali liyiye).
Ndipo nikaona ishara nyingine kubwa ya ajabu mbinguni: malaika saba wenye yale mapigo saba ya mwisho, kwa sababu kwa mapigo hayo ghadhabu ya Mungu ilikuwa imekamilika.
2 Nalolile lila lyalyafumile abhe nsombi eya bilauri yehasangenywe no mwoto, na eyemeleye mnshenje mwe bahali pashele bhala bhabhali bhamemile hwuyo omnyama ne sanamu yakwe, napamwanya pe namba ye longozya itawa lyakwe. Bali bhakhatilie enonji zyabhapete no Ngolobhe.
Nikaona kile kilichoonekana kama bahari ya kioo iliyochanganyikana na moto. Kando ya hiyo bahari, walikuwa wamesimama wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake pamoja na tarakimu ya jina lake. Mikononi mwao walikuwa wameshika vinubi walivyopewa na Mungu.
3 Bhali bhatela eng'oma ya Musa, otumwa wa Ngolobhe, ne ng'oma eya Mwana Ngole: “Embombo zyao ngosi zyashele ziswijisya, Ogosi Ongolobhe, yatabhala gonti. Owawetushele namadala gakwe gelyoli, Omwene owe mataifa.
Nao wakaimba wimbo wa Mose, mtumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwana-Kondoo, wakisema: “Bwana Mungu Mwenyezi, matendo yako ni makuu na ya ajabu. Njia zako wewe ni za haki na za kweli, Mfalme wa nyakati zote!
4 Wenu yabhamenwe ahuhwogope awe Gosi nalizuvye itawa lyaho? Oli wewe womwene womwinza. Hu Mataifa gonti gayenza nahupute hwitagalila lyaho afwatane oli mwinza nembombo zyaho zimanyishe.”
Ni nani ambaye hatakuogopa wewe Bwana na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako ndiwe mtakatifu. Mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako, kwa kuwa matendo yako ya haki yamedhihirishwa.”
5 Hu mambo ego nahenyizye, nesehemu enyinza sana, pashele pali ni hema elye ushuhuda, lyalyahiguliwe amwanya.
Baada ya haya nikatazama, nalo hekalu, la hema la Ushuhuda, lilikuwa limefunguliwa mbinguni.
6 Afume opinza sana bhenza antumi saba bhali na makhono saba, bhakwete amenda aminza gagalabha, nilamba elye dhahabu azyongole mmafubha gabho.
Ndani ya lile hekalu wakatoka malaika saba wakiwa na mapigo saba. Walikuwa wamevaa nguo safi za kitani ingʼaayo na kufungwa mikanda ya dhahabu vifuani mwao.
7 Omo owabhala ebhewomi bhane wafumia hwa ntumi saba amabakuli saba ege dhahabu yehamemile ilyo lya Ngolobhe yakhala wila na wila. (aiōn g165)
Ndipo mmoja wa wale viumbe wanne wenye uhai akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, yeye aishiye milele na milele. (aiōn g165)
8 Papali pinza sana hwa memile ilyosi afume huuzuvyo wa Ngolobhe na afume huwezo wakwe. Nomo ha omo yawezizye awinjile paka amakhono saba agantumi saba pagali gakamilishe.
Nalo lile hekalu lilijawa na moshi uliotokana na utukufu wa Mungu na uweza wake, wala hakuna yeyote aliyeweza kuingia mle hekaluni mpaka yale mapigo saba ya wale malaika saba yalipomalizika.

< Oufunuo 15 >