< Oufunuo 14 >
1 Ehenyizye nawenye Mwana Ngole ayemeleye hwitagalila lyane pamwanya Pigamba Sayuni. Pandwemo no mwene bhali 144, 000 abhetawa lyakwe ni tawa lya Baba wakwe lisimbiwe humaso gabho.
Kisha nikatazama na hapo mbele yangu alikuwepo Mwana-Kondoo, akiwa amesimama juu ya Mlima Sayuni. Pamoja naye walikuwa wale 144,000 wenye Jina la Mwana-Kondoo na Jina la Baba yake likiwa limeandikwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
2 Novwa esauti afume amwanya yonwehwa nashi enshinto eyemenze minji nesauti engosi yendapusi. Esauti yenonwezye nashi bhabhakhoma enonji bhabhakhoma enonji zyabho.
Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni kama sauti ya maji mengi yaendayo kwa kasi na sauti kama ngurumo ya radi. Sauti hiyo niliyoisikia ilikuwa kama sauti ya wapiga vinubi wakipiga vinubi vyao.
3 Bhatela engoma empya hwitagalila hwitengo elyeshimwene nahwitagalila hwa anesho womi bhane nagogolo. Nomo hata yalinouwezo owamanyile olwo ong'oma kabhala 144, 000 bhashele bhabhuliwe afume mnsi.
Nao wakaimba wimbo mpya mbele ya hicho kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe wanne wenye uhai na wale wazee. Hakuna mtu yeyote aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao 144,000 waliokuwa wamekombolewa kutoka duniani.
4 Bhala bhabhala sebhahwiilufisye bhene hubhashe manabha hwihwutile bhene humbombo eyemalaya. Bhabhebha bhalondozezye Omwana Ngole paponti pahenda. Ebha madondo aya hwande hwa Ngolobhe nahwa Mwana Ngole.
Hawa ndio wale ambao hawakujitia unajisi kwa wanawake, kwa kuwa wao ni bikira. Wao humfuata Mwana-Kondoo kila aendako. Hawa wamekombolewa kutoka miongoni mwa wanadamu wakawa malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo.
5 Nalimo ilenka lyalyabhoneshe wilomu lyabho; sebhalawumiwa.
Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote.
6 Nalola ontumi owa mwabho aluha pahati eyemwanya, yashele aliakhete enongwa ezyamwanya owenongwa enyinza abhatangazizye bhabhakhala mnsi shila litaifa, ikabela, enjango, na bhantu. (aiōnios )
Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios )
7 Wabhakwizya hu sauti engosi, “Mwogopi Ongolobhe mpele owuzuvyo. Afwatanaje isiku elyalongwe lipalamie. Putaji omwene, omwene yabhombele emwanya, ne nsi, ne nsombi, na matoto ege menze.”
Akasema kwa sauti kubwa, “Mcheni Mungu na kumpa utukufu, kwa maana saa ya hukumu yake imewadia. Mwabuduni yeye aliyeziumba mbingu, dunia, bahari na chemchemi za maji.”
8 Ontumi owamwabho - ontumi owa bhele - walondozya wayanga, “Ogwiye, ogwiye Babeli wogosi, washele ohabhamwelezezye eshikholwe eshe umalaya neshikholwe shashele shaletile ilyoyo pamwanya pakwe.”
Malaika wa pili akafuata akisema, “Umeanguka! Umeanguka Babeli Mkuu, ule uliyafanya mataifa yote kulewa kwa mvinyo wa ghadhabu ya uasherati wake.”
9 Ontumi owamwabho - ontumi owatatu - abhalondozezye, ayanjile husauti ngosi, “Wawonti yabhahupute oyo omnyama nesanamu yakwe, naposhele eshilanjizo shapamaso gakwe namakhono,
Malaika wa tatu akawafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, “Kama mtu yeyote anamwabudu huyo mnyama na sanamu yake na kutiwa chapa yake kwenye kipaji chake cha uso au kwenye mkono wake,
10 wope nantele abhamwele eshikholweshe ilyoyo lya Ngolobhe, eshikholwe shashele shashilenganyiziwe na hwitwe nantele adibhanye hu shikombe shelyoyo lyakwe. Omntu yashele abhamwele abhalabhe humwoto no mwoto oweshibiliti pitagalila pantumi bhakwe abhinza napitagalila pa Mwana Ngole.
yeye pia atakunywa mvinyo wa hasira kali ya Mungu ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake pasipo kuchanganywa na maji. Naye atateswa kwa moto uwakao na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele za Mwana-Kondoo.
11 Ni lyosi elya bhabhe hwabho wabhala wilawila nasebhali notoyo pasanya no siku - ebho bhabhahuputa omnyama ne sanamu yakwe, na shila mntu yaposheye eshilanjizyo eshitawa lyakwe. (aiōn )
Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn )
12 Owu wito wagolele na jimbe hwa bhelweteho bhala bha whogopa endajizyo ezya Ngolobhe no lweteho hwa Yesu.”
Hapa ndipo penye wito wa subira na uvumilivu wa watakatifu; wale wanaozishika amri za Mungu na kudumu katika uaminifu kwa Yesu.
13 Nonvwa esauti afume amwanya iyanga, “Simba ega: Nahwashi abhafwe bhabhafwashe Gosi.” “Shashesho,” ayanga Ompepo, “aje bhawezye atoye afume humbombo zyabho, maana embombo zyabho zyaibhalondozya.”
Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wamebarikiwa wafu wafao katika Bwana tangu sasa.” “Naam,” asema Roho, “watapumzika kutoka taabu zao, kwa kuwa matendo yao yatawafuata.”
14 Nahenyizye nalola hwalini bhengo izelu nayakheye pibhengo aliomo yali nashi Omwana wa Mntu. Ali ne taji eye dhahabu hwitwe lyakwe ne nsengo enyoji hukhono gwakwe.
Nikatazama, hapo mbele yangu palikuwa na wingu jeupe, na aliyekuwa ameketi juu ya hilo wingu alikuwa “kama Mwana wa Adamu” mwenye taji ya dhahabu kichwani mwake na mundu mkali mkononi mwake.
15 Ontumi owamwabho nantele ahenzele afume hu hekalu akwizizye hu sauti ngosi abhale hwola yakheye pibhengo: “Ega ensengo yaho oyande avune. Afwatanaje omda ogwa vunile gufishile, manaa mavuno gagali mnsi gakhomile.”
Kisha malaika mwingine akaja kutoka hekaluni naye akamwita kwa sauti kubwa yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akasema, “Chukua mundu wako ukavune kwa kuwa wakati wa mavuno umewadia, kwa maana mavuno ya dunia yamekomaa.”
16 Nantele ola yali pibhengo ashizizye ensengo yakwe pamwanya pansi nesi yavunwa.
Hivyo yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akauzungusha mundu wake duniani, nayo dunia ikavunwa.
17 No ntumi owa mwabho wenza afume hu hekalu elya mwanya; wape alinensengo enyoji.
Malaika mwingine akatoka katika hekalu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.
18 Na asele ontumi owamwabho wenza afume humadhabahu, no ntumi yali na madalaka pamwanya pa mwoto. Wakwizya husauti engosi ontumi yali nensengo enyoji, “Ega ensengo enyoji naogabhonganye amasamba ege mzabibu afume hu mazabibu owa pansi, afatanaje ozabibu eshi gutonile.”
Kisha malaika mwingine, aliyekuwa na mamlaka juu ya moto, akatoka kwenye madhabahu, naye akamwita yule malaika mwenye mundu mkali kwa sauti kubwa, akisema, “Chukua mundu wako mkali ukakusanye vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva.”
19 Ontumi atwalile ensengo yakwe hunsi nabhonganye amayabhililo ege zabibu egeensi naagalisizye mwipipa igosi elye shimwelo yilyoyo lya Ngolobhe.
Hivyo yule malaika akauzungusha mundu wake duniani na kukusanya zabibu za dunia na kuzitupa kwenye shinikizo kubwa la ghadhabu ya Mungu.
20 Izubhulilo elye shimwelo lya polelwe lya polelwe hwonze yemenze ni danda litiha afume hwelo hwikhalilo lye falasi, hushinza 1, 600.
Lile shinikizo likakanyagwa nje ya mji, nayo damu ikatiririka kama mafuriko kutoka hilo shinikizo kufikia kimo cha hatamu za farasi, kwa umbali wa maili 200.