< Salmos 120 >

1 Um Canto de Ascensões. Na minha angústia, chorei a Javé. Ele me respondeu.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 Entregar minha alma, Yahweh, de lábios mentirosos, de uma língua enganosa.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 O que será dado a você e o que será feito mais a você, sua língua enganosa?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Setas afiadas dos poderosos, com brasas de zimbro.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Ai de mim, que vivo em Meshech, que eu moro entre as barracas de Kedar!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 Minha alma já tem sua morada há muito tempo com aquele que odeia a paz.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 Eu sou pela paz, mas quando eu falo, eles são a favor da guerra.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Salmos 120 >