< Isaías 2 >
1 Isto é o que Isaías, filho de Amoz, viu a respeito de Judá e Jerusalém.
Vitu ambavyo Isaya mtoto Amozi alivijua katika maono, kuhusu Yuda na Yerusalemu.
2 Acontecerá nos últimos dias, que a montanha da casa de Yahweh será estabelecida no topo das montanhas, e deve ser levantada acima das colinas; e todas as nações devem fluir para ele.
Na itakuwa katika siku za mwisho, ule mlima wa nyumba ya Yahwe itaanzishwa kama mlima mrefu zaidi, na utanyanyuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatakusanyika pale.
3 Muitos povos devem ir e dizer, “Venha, vamos até a montanha de Yahweh”, para a casa do Deus de Jacob; e ele nos ensinará seus caminhos, e nós caminharemos em seus caminhos”. Pois a lei sairá de Sião, e a palavra de Yahweh de Jerusalém.
Watu wengi watakuja na kusema, ''Njooni, twendeni juu ya mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, kwa hiyo anaweza kutufundisha baadhi ya njia zake na tunaweza kutembea katika njia zake.'' Nje ya Sayuni itaenda sheria na neno la Yahwe litatoka Yerualemu.
4 Ele julgará entre as nações, e decidirá a respeito de muitos povos. Eles devem bater suas espadas em arados, e suas lanças em ganchos de poda. A nação não levantará espada contra a nação, nem devem aprender mais a guerra.
Atahukumu kati ya mataifa na atatoa maamuzi kwa watu wote; watayapiga nyungo mapanga yao kuwa majembe, na mikiku yao kama ya kukatia ndoano; taifa halitanyanyua upanga juu ya taifa lingine, na wala hawata jiandaa kwa vita tena.
5 Casa de Jacob, venha, e vamos caminhar na luz de Yahweh.
Nyumba ya Yakobo, njooni, na tutembee katika mwanga wa Yahwe.
6 Pois você abandonou seu povo, a casa de Jacob, porque eles são preenchidos a partir do leste, com aqueles que praticam a adivinhação como os filisteus, e eles apertam as mãos com os filhos de estrangeiros.
Kwa maana mmewatekeleza watu wenu, nyumba ya Yakobo, wamejazwa na desturi kutoka mashariki na dalili kutokea kama mfilisti, na watasalimiana kwa mikono na wana wa wageni.
7 A terra deles está cheia de prata e ouro, nem há um fim de seus tesouros. Suas terras também estão cheias de cavalos, nem existe nenhuma ponta de suas carruagens.
Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, na hakuna mipaka katika utajiri wao; nchi yao pia imejaa farasi, wala hakuna mipika ya magari.
8 A terra deles também está cheia de ídolos. Eles adoram o trabalho de suas próprias mãos, o que seus próprios dedos fizeram.
Nchi yao pia imejaa sanamu; wanaabu utengenezaji wa mikono yao wenyewe, vitu aambavyo vidole vyao vimetengeneza.
9 O homem é trazido para baixo, e a humanidade é humilhada; portanto, não os perdoe.
Watu watainama chini, na kila mmoja atanguka chini; hivyo basi msiwanyanyue juu.
10 Entre na rocha, e se esconder na poeira, de antes do terror de Yahweh, e da glória de sua majestade.
Nendeni maeneo yenye miamba na mjifiche kwenye aridhi kwa hofu ya Yahwe na kwa utukufu wa enzi yake.
11 A aparência sublime do homem será reduzida, a arrogância dos homens será curvada, e Yahweh sozinho será exaltado nesse dia.
Mtu anaye tazama kwa kujivuna atashushw chini, na kiburi cha watu kitashushwa chini, na Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
12 Pois haverá um dia de Yahweh de Exércitos para todos os que se orgulham e são arrogantes, e por tudo isso é levantado, e deve ser levada a baixo
Maana kutakuwa na siku ya Yahwe wa majeshi juu ya yeyote anayejigamba na kujiinua juu, na dhidi ya yeyote mwenye kiburi na atashushwa chini-
13 para todos os cedros do Líbano, que são altos e erguidos, para todos os carvalhos de Bashan,
na dhidi ya mierezi ya Lebanoni iliyo juu na kupandishwa juu, na dhidi ya mialoni ya Bashani.
14 para todas as altas montanhas, para todas as colinas que são erguidas,
Siku hiyo ya Yahwe wa majeshi itakuwa dhidi ya milima yote mirefu, na dhidi ya vilima vyote vilivyonyanyuliwa juu,
15 para cada torre alta, para cada muro fortificado,
na dhidi ya minara mirefu, na dhidi ya kila ukutaunaojitokeza,
16 para todos os navios de Tarshish, e para todas as imagens agradáveis.
na dhidi ya merikebu zote za Tarshishi, na dhidi ya vyombo vizuri vya meli.
17 A altura do homem deve ser curvada, e a arrogância dos homens deve ser reduzida; e Yahweh sozinho será exaltado naquele dia.
Kiburi cha mwanaume kitashushwa chini, na kiburi cha wanaume kitaanguka; Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
18 The os ídolos devem falecer por completo.
Sanamu zote zitaondolewa.
19 Men deve ir para as cavernas das rochas, e para os buracos da terra, de antes do terror de Yahweh, e da glória de sua majestade, quando ele se levanta para sacudir a terra poderosamente.
Wanaume wataingia kwenye mapango ya miamba na mashimo ya aridhi, kwa hofu ya Yahwe, na kwa utukufu wa enzi yake, atakapo nyanyuka na kuitisha nchi.
20 Naquele dia, os homens lançarão fora seus ídolos de prata e seus ídolos de ouro, que foram feitas para si mesmas para adorar, para as toupeiras e para os morcegos,
Siku hiyo watu watatupa sanamu zao za fedha na dhahabu ambazo wametengeneza wenyewe kwa ajili ya kuabudia - watazitupa mbali kwa fuko na popo.
21 para ir para as cavernas das rochas, e para as fendas das rochas irregulares, de antes do terror de Yahweh, e da glória de sua majestade, quando ele se levanta para sacudir a terra com força.
Watu wataingia kwenye miamba kupitia mwanya itakuwa miamba chakavu, kwa hofu ya Yahwe na utukufu wa enzi yake,
22 Pare de confiar no homem, cuja respiração está em suas narinas; de que conta ele é?
usimwaminia mtu, ambae pumzi yake inatokea katika pua yake, ni kwa kiasi gan?