< Salmos 137 >

1 Junto aos rios da Babilônia, lá nos sentamos. Sim, nós choramos, quando nos lembramos de Zion.
Kando ya mito ya Babeli tuliketi na tulilia tulipokumbuka kuhusu Sayuni.
2 Sobre os salgueiros naquela terra, penduramos nossas harpas.
Tulitundika vinubi vyetu kwenye miti ya Babylon.
3 Para lá, aqueles que nos levaram cativos nos pediram canções. Aqueles que nos atormentavam exigiam canções de alegria: “Cante-nos uma das canções de Zion!”
Huko watekaji wetu walitaka tuwaimbie, na wale walio tudhihaki walitutaka sisi tufurahi, wakisema, “Tuimbieni moja ya nyimbo za Sayuni.”
4 Como podemos cantar a canção de Yahweh em uma terra estrangeira?
Tungewezaje kuimba wimbo unaomuhusu Yahwe katika nchi ya ugeni?
5 Se eu me esquecer de você, Jerusalém, deixar minha mão direita esquecer sua habilidade.
Kama nikikusahau wewe, Yerusalemu, basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.
6 Deixe minha língua grudar no céu da minha boca se eu não me lembrar de você, se eu não prefiro Jerusalém acima de minha alegria principal.
Ulimi wangu na ushikamane juu ya kinywa changu kama nisipokufikiria tena, na kama sipendelei zaidi Yerusalemu kuliko furaha yangu kuu.
7 Lembre-se, Yahweh, contra as crianças de Edom no dia de Jerusalém, que disse: “Que se lixe! Arrasar até sua fundação”!
Kumbuka, Ee Yahwe, kile walichofanya Waedomu siku ya anguko la Yerusalemu. Walisema, “Ibomoeni, ibomoeni mpaka chini kwenye misingi yake.”
8 Filha da Babilônia, condenada à destruição, ele ficará contente por quem lhe reembolsar, como você fez conosco.
Binti za Babeli, hivi karibuni wataharibiwa- mtu na abalikiwe, yeyote atakaye walipizia yale mliotufanyia sisi.
9 Feliz ele deve estar, que pega e traça seus pequenos contra a rocha.
Mtu na abarikiwe, yeyote achukuaye na kusambaratisha watoto wenu juu ya jiwe.

< Salmos 137 >