< Provérbios 20 >
1 O vinho é zombador, a bebida forte é causadora de alvoroços; e todo aquele que errar por causa deles não é sábio.
Divai ni dhihaka na kinywaji kikali ni mgomvi; anayepotea kwa kunywa hana busara.
2 O temor ao rei é como um rugido de leão; e quem se ira contra ele peca contra sua [própria] alma.
Kumwogopa mfalme ni kama kumwogopa simba kijana aungurumaye, yeyote anayemkasirisha hutoa fidia ya maish yake.
3 É honroso ao homem terminar a disputa; mas todo tolo nela se envolve.
Ni heshima kwa mtu yeyote kujiepusha na mafarakano, bali kila mpumbavu hurukia kwenye mabishano.
4 O preguiçoso não lavra no inverno; [por isso] ele mendigará durante a ceifa, pois nada terá.
Mtu mvivu halimi majira ya kipupwe; hutafuta mazao wakati wa mavuno lakini hapati kitu.
5 O conselho no coração do homem [é como] águas profundas; mas o homem prudente [consegue] tirá-lo para fora.
Makusudi ndani ya moyo wa mtu ni kama maji yenye kina, bali mtu mwenye ufahamu huyateka.
6 Muitos homens, cada um deles afirma ter bondade; porém o homem fiel, quem o encontrará?
Mara nyingi mtu husema yeye ni mwaminifu, lakini ni nani awezaye kumpata yule mwaminifu?
7 O justo caminha em sua integridade; bem-aventurados [serão] seus filhos depois dele.
Mtu atendaye haki hutembea katika uaminifu wake na wana wake wanaofuata baada yake wanafuraha.
8 O rei, ao se sentar no trono do juízo, com seus olhos dissipa todo mal.
Mfalme anayeketi kwenye kiti cha hukumu akifanya kazi za kuhukumu hupembua kwa macho yake mabaya yote yaliyoko mbele yake.
9 Quem poderá dizer: “Purifiquei meu coração; estou limpo de meu pecado”?
Nani anayeweza kusema, “Nimeuweka safi moyo wangu; nipo huru na dhambi zangu”?
10 Dois pesos e duas medidas, ambos são abominação ao SENHOR.
Mizani tofauti na vipimo visivyosawa - Yehova huvichukia vyote.
11 Até o jovem é conhecido pelas suas ações, se sua obra for pura e correta.
Hata kijana hujulikana kwa matendo yake, kwa mwenendo wake kama ni safi na uadilifu.
12 O ouvido que ouve e o olho que vê, o SENHOR os fez ambos.
Masikio yanayosikia na macho yanayoona- Yehova aliyafanya yote.
13 Não ames ao sono, para que não empobreças; abre teus olhos, e te fartarás de pão.
Usipende usingizi au utakuwa masikini; fumbua macho yako na utakuwa na vyakula tele.
14 [Preço] ruim, [preço] ruim, diz o comprador; mas quando vai embora, então se gaba.
“Mbaya! Mbaya!” anasema mnunuzi, lakini akiondoka anajisifu.
15 Há ouro, e muitos rubis; mas os lábios do conhecimento são joia preciosa.
Ipo dhahabu na mawe ya thamani, lakini midomo yenye maarifa ni kito cha thamani.
16 Toma a roupa daquele que fica por fiador de estranho; toma como penhor daquele [que fica por fiador] da estranha.
Chukua vazi kama mmiliki wake ataweka fedha kama dhamana kwa deni la mgeni, na lichukue kama anaweka dhamana kwa uzinifu.
17 O pão da mentira é agradável ao homem; mas depois sua boca se encherá de pedregulhos.
Mkate uliopatikana kwa ulaghai unaladha tamu, lakini baadaye kinywa chake kitajaa kokoto.
18 Os planos são confirmados por meio do conselho; e com conselhos prudentes faze a guerra.
Mipango huimarishwa kwa ushauri na kwa mwongozo wa busara utapigana vita.
19 Quem anda fofocando revela segredos; por isso não te envolvas com aquele que fala demais com seus lábios.
Mmbea hufunua siri na kwa hiyo hupaswi kushirikiana na watu ambao huongea sana.
20 Aquele que amaldiçoar a seu pai ou a sua mãe terá sua lâmpada apagada em trevas profundas.
Kama mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itapulizwa katikati ya giza.
21 A herança ganha apressadamente no princípio, seu fim não será abençoado.
Urithi uliopatikana mwanzoni kwa haraka utakuwa na mema kidogo mwishoni.
22 Não digas: Devolverei o mal; Espera pelo SENHOR, e ele te livrará.
Usiseme “Mimi nitakulipiza kwa kosa hili” Msubiri Yehova na yeye atakuokoa.
23 O SENHOR abomina pesos falsificados; e balanças enganosas não são boas.
Yehova huchukia mizani isiyo sawa na vipimo vya udanganyifu si vizuri.
24 Os passos do homem pertencem ao SENHOR; como, pois, o homem entenderá seu caminho?
Hatua za mtu huongozwa na Yehova; namna gani basi ataifahamu njia yake?
25 Armadilha ao homem é prometer precipitadamente algo como sagrado, e [somente] depois pensar na seriedade dos votos[ que fez].
Ni mtego kwa mtu kusema kwa pupa, “Kitu hiki ni kitakatifu” na kuanza kufikiri juu yake kwamba kina maana gani baada ya kufanya kiapo.
26 O rei sábio espalha os perversos, e os atropela.
Mfalme mwenye busara huwapepeta waovu na huligeuza juu yao gurudumu la kupuria.
27 O espírito humano é uma lâmpada do SENHOR, que examina todo o interior do ventre.
Roho ya mtu ni taa ya Yehova, hutafiti sehemu zake zote za ndani kabisa.
28 A bondade e a fidelidade protegem o rei; e com bondade seu trono é sustentado.
Agano la uaminifu na udhamini humhifadhi mfalme; kiti chake cha enzi hufanywa thabiti kwa upendo.
29 A beleza dos jovens é sua força; e a honra dos velhos é [seus] cabelos brancos.
Utukufu wa watu vijana ni nguvu zao na fahari ya watu wazee ni mvi zao.
30 Os golpes das feridas purificam os maus; como também as pancadas no interior do corpo.
Mapigo yanayoleta kidonda huusafisha ubaya na vichapo hufanya sehemu za ndani kabisa kuwa safi.